Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

Special Thread: African Cup of Nations (AFCON) 2025 - Morocco

1000505036.jpg
 
Misri kajichomeka mwenyewe kwa Senego. Anaenda kupigika
Remember: Ni Mechi ya Kisasi Kikali hivyo sio rahisi hivyo mdomoni tu.
Miaka 2 nyuma Senegal ya akina S.Mane waliwafanyia Ukatili Misri ya rafiki ake Salah Kwanza Kwa kuwanyima ubingwa Afcon na kutokwenda kucheza kombe la Dunia Qatar
 
Nimeshuhudia AFCON nyingi ila hii ni Kali sana, imejaa ufundi mwingi sana. Michuano hii ina top players wengi wanaocheza vilabu vikubwa barani Ulaya na wanaanza kwenye first eleven ya vilabu vyao. Jambo zuri ni kwamba wanacheza kwa kujituma sana tofauti na AFCON 2023 iliyopita haikua na mvuto sana, wachezaji hawakucheza kwa intensity ya juu wakihofia kupata majeraha hata mechi nyingi ziliisha kwa sare ya bao Moja au bila kufungana.

Bingwa wa hii michuano atatoka kwenye mechi ya Nigeria vs Morocco. Hizi ndio timu zenye ufundi wa hali ya juu sana kwenye hii michuano.
 
Nimeshuhudia AFCON nyingi ila hii ni Kali sana, imejaa ufundi mwingi sana. Michuano hii ina top players wengi wanaocheza vilabu vikubwa barani Ulaya na wanaanza kwenye first eleven ya vilabu vyao. Jambo zuri ni kwamba wanacheza kwa kujituma sana tofauti na AFCON 2023 iliyopita haikua na mvuto sana, wachezaji hawakucheza kwa intensity ya juu wakihofia kupata majeraha hata mechi nyingi ziliisha kwa sare ya bao Moja au bila kufungana.

Bingwa wa hii michuano atatoka kwenye mechi ya Nigeria vs Morocco. Hizi ndio timu zenye ufundi wa hali ya juu sana kwenye hii michuano.
Morocco mtoe hapo, mbeleko fc
 
Back
Top Bottom