Nigeria atampasua Algeria na huyo Morocco vizuri kabisa.Refaree Dehane wa Mauritania refarii wa Yanga na Simba, Tena refarii aliepangwa awali walimkataa Morocco alkuwa kutoka Misri...
Ndo hivyo Kwa Afrika Mcheza kwao hutunzwa, wasije kosa mashabiki na viingilio uwanjani Mpira ni biashara.. japo ni kweli Morocco wapo vizuri na wapo juu rank za fifa lakn refarii kazingua kiasi chake mechi ya Leo Morocco na Cameroon...
Na endapo Algeria akishinda mechi yake robo fainali dhidi Nigeria it means nusu fainali ni Morocco Vs Algeria, Hawa jamaa ni wahasimu wakubwa sana Wana migigoro Yao ktka nyanja kisiasa km tuonavyo USA vs Venezuela/Iran, Israel Vs Palestine, Russia vs Ukraine so itakuwa nusu fainali ya aina yake yenye vitu vingi pia nje ya uwanja.
Umetuita utopoloni au sijakusikia vizuri
View: https://x.com/i/status/2009774460342046725
Diarra ni kipa haswa.
Sijui anafanya nini hapo Utoloponi!!
Huu moto aliokuwa anashika sio wa mchezo.
Cc: Mahondaw , Vincenzo Jr , Greatest Of All Time cocastic Joseverest
View: https://x.com/i/status/2009774460342046725
Diarra ni kipa haswa.
Sijui anafanya nini hapo Utoloponi!!
Huu moto aliokuwa anashika sio wa mchezo.
Cc: Mahondaw , Vincenzo Jr , Greatest Of All Time cocastic Joseverest
Mpira wa Africa utatutoa roho ngoja tusubiri kesho mpira biriani VISCA BARCAAAAAFT
Cameroon 0
Morocco 2
View: https://x.com/i/status/2009774460342046725
Diarra ni kipa haswa.
Sijui anafanya nini hapo Utoloponi!!
Huu moto aliokuwa anashika sio wa mchezo.
Cc: Mahondaw , Vincenzo Jr , Greatest Of All Time cocastic Joseverest
HatoboiMtamloga