Kitila Mkumbo
JF-Expert Member
- Feb 25, 2006
- 3,354
- 1,943
i) niliposema kuwe na ada simaanishi kwamba basi wale ambao hawakulipa hawatakuwa wanachama. Lahasha, ila tu kuwa wale watakaolipa watakuwa na added advantage, eg., kuwa na membership card, kuweza kuwa wajumbe wa bodi, etc. Lakini kila mtu ataendelea kuwa member kwa maana ya kuchangia kama ilivyo sasa. Vilevile haina maana kwamba watu watalazimishwa kubadilisha majina na kutumia majina yao halisi, lahasha. Lengo ni kufanya uendeshaji wa JF uwe endelevu na wa kitaasisi zaidi.