Nani sasa wa kukupa huo urais au kutangaza ushindi wa nafasi ya urais tofauti na mgombea wa ccm? Hapo ndio kwenye tatizo lenyewe na wala tatizo sio sanduku la kura, sasa wewe kwa sababu umeachiwa mgawane kwenye ubunge na udiwani ndio akili yako inakupa matumaini kwamba ipo siku wataamua tu na kumtangaza mshindi wa urais mgombea wa chama tofauti na ccm?
Magufuli kaonesha uwezo waliyonao chama tawala na kwambao huo ubunge na udiwani wameamua tu mgawane ili kubalance mambo japo siku zote wao ndio wenye nguvu huko bungeni.
SexlessAcha uchochezi na uchongqnishi mleta mada. Hakuna aliyemnanga jiwe leo. Hayo ni mawazo yako tu.
Hebu mtaje mtu aliyemtaja jiwe kwa jina lake. Vinginevyo ni uzushi na uzandiki tu unaojaribu kuueneza.
Ni kwa sababu tu wewe ulikuwa bado unaendelea kuita ni uchaguzi kilichokuwa kinaendelea na ndio maana unasema Magufuli alipora uchaguzi, uchaguzi wa kupangiwa kwamba urais ni wa ccm tu ila ubunge na udiwani ndio mgawane, sasa huo uchaguzi au utoto?CCM haina uwezo tena wa kushinda bila wizi wa kura, na wala haitakaa ishinde tena kihalali bila wizi. Lakini Magufuli hakuwa mwizi wa kura, bali mporaji wa chaguzi zetu.
Kwa mara ya kwanza ndio naona viongozi wanapiga vijembe Hayati bila aibu. Akili za kipumbavu kabisa hizi. Rais anaongea maneno ya kejeri na wengine wanaiga.Ila jamaniiiii huyu mama anavumilia mengi, kama ni mm nisinge fika kwenye hvyo vikao, hata kama mumewe alikua na mapungufu ila sio kwa kusikia kauli hizi jamaniiiii 🥲
Du inchi iko kubaya sanaMh. Makamba baba yake January kasema kuwa Kinana na Kikwete hawajafa maana watu wabaya huwa wanakufa akimaanisha Dkt Magufuli alikuwa mtu mbaya ndiyo maana alikufa, Mkapa alikufa kwa sababu alikuwa mtu mbaya, Mwl Nyerere alikufa kwa sbabau alikuwa mtu mbaya, Mzee Karume alikufa kwa sababu alikuwa mtu Mbaya, Horace Kolimba alikufa kwa sababu alikuwa mtu Mbaya …..
Ni kwa sababu tu wewe ulikuwa bado unaendelea kuita ni uchaguzi kilichokuwa kinaendelea na ndio maana unasema Magufuli alipora uchaguzi, uchaguzi wa kupangiwa kwamba urais ni wa ccm tu ila ubunge na udiwani ndio mgawane, sasa huo uchaguzi au utoto?
Wewe unajichanganya kweli, hivi unataka kuniambia kabla ya Magufuli mlikuwa mnashindana na ccm kwenye sanduku la kura huku kukiwa na matumaini ya kumshinda ccm kupitia sanduku la kura?Usitake kupotosha, kwa trend ilivyokuwa inakwenda CCM kwa njia ya kura ilikuwa inakwenda kupoteza mpaka urais. Magufuli alivyoona hivyo na vile ni mpenda sifa za kishamba, akaanza kwa kupika idadi ya wapiga kura, kisha akapanga atangazwe kwa idadi gani ya kura. Kwajinsi uchaguzi ule ulivyokuwa wa kipuuzi, hata CCM waliona aibu kushangalia. CCM wanapenda kuiba, lakini kuwe na ushindani,na sio ule upuuzi aliofanya dhalimu.
Usimlinganishe masihi Kristo na binadamu.Habari mama,
Pole sana kwa msiba wa mumeo!, alikuwa great leader na wananchi wengi wanamkumbuka kwa utumishi wake ingawa ulikuwa mfupi kuliko kiongozi yeyote aliyetawala nchi yetu.
Hiyo Pole niliyotoa ni ya kawaida kwasisi binadamu maana wote tumefiwa wapendwa wetu lakini lengo kuu ni Pole kwa unayosikia na kuona kejeli na kubagazwa kwa marehemu mume wako hadharani bila woga tena kwa mambo mengine yasiyo msingi.
Sikia mama, mume wako alitimiza wajibu wake bila kujali pale alipokosea lakini wewe u hai ubavu wake ukisikia maneno magumu sana. Pengine unalazimika kuwatia moyo watoto lakini wewe mwenyewe umebeba mzigo mzito.
Imagine hata leo maneno yaliyotamkwa mbele yako! Tushukuru mama Samia walau kutuliza moyo wako baada ya maneno magumu leo lakini sio rahisi.
Endelea kuvumilia malimwengu, endelea kuipenda Tanzania! Jipe moyo kama Bikira Maria alivyojipa moyo alivyoshuhudia mwanae akiteswa na kufa msalabani!
Endelea kujipa moyo kama Bikira Maria alivyovumilia hata waliomtenda ubaya Yesu walipoeneza uzushi dhidi yake kuwa wanafunzi wake wamemwiba hakufufuka. Haikuwa rahisi ila moja ya tunu tunayojifunza juu ya Bikira Maria mara nyingi ni yote aliyaweka moyoni!
Kasome utenzi wa Bikira Maria Luka 1: 46-55 Ukutie nguvu. All shall be well![]()
Zamani ipi unayokusudia wewe?Zamani ndio walikuwa na uwezo huo ila sio sasa. Wanaweza kufanya chochote watakacho ila sio kwa ridhaa ya wananchi tena. Kama kuingia madarakani ni kwa kulazimisha, iko siku hata hao vyombo vya dola wataona na wao wanaweza kukaa madarakani, kwani hata wanaokaa madarakani hawakai kwa kura za wananchi.
Wewe unajichanganya kweli, hivi unataka kuniambia kabla ya Magufuli mlikuwa mnashindana na ccm kwenye sanduku la kura huku kukiwa na matumaini ya kumshinda ccm kupitia sanduku la kura?
Kwamba si kweli napotosha kuwa uchaguzi wa Tanzania ni kwamba nafasi ya urais ni ya ccm tu kisha ubunge na udiwani ndio wa kugawana?
Kabla hajajiunga jamii forums.Zamani ipi unayokusudia wewe?
....na wewe weka kidogo ya kwenye kikao japo kwa dondoo!Ila jamaniiiii huyu mama anavumilia mengi, kama ni mm nisinge fika kwenye hvyo vikao, hata kama mumewe alikua na mapungufu ila sio kwa kusikia kauli hizi jamaniiiii 🥲
Hivi tunaelewana kweli? Nakwambia hali ya uchaguzi ilivyo ni kwamba piga uwa lazima ccm ndio atangazwe mshindi wa nafasi ya urais kwa njia yeyote ile, na miaka yote kumekuwa na malalamiko hayo.Narudia tena, usilete upotoshaji usio na tija. CCM waliendelea kuwa wezi wa kura, lakini bado walikuwa wanazidiwa na wapinzani. Na nafasi walizopata za ubunge, udiwani na hata kura za urais zilikuwa zinapanda kila uchaguzi. Na sio kwamba CCM walikuwa wanapanga iwe hivyo, ila walikuwa hawana jinsi kwani ndio uhalisia.
Dhalimu alipoingia kwakuwa alikuwa mpenda sifa, akaamua kunajisi uchaguzi ili aonekane kuwa alikuwa anakubalika sana, yeye na chama chake. Hiyo ndiyo sababu ya yeye kupika idadi ya wapiga kura, na kuagiza wagombea wa CCM watangazwe kwa shuruti. Ukweli huu uko wazi wala hauna kificho.
Kabla hajajiunga jamii forums.
Nina mashaka makubwa na utashi wa baadhi ya wanachama wenzetu, ninadhani ipo haja kuwapima akili watu kabla ya kupewa platforms kuzungumza na public, madhara wanayoleta kwenye familia zetu hayana afya hata kidogoHiyo Pole niliyotoa ni ya kawaida kwasisi binadamu maana wote tumefiwa wapendwa wetu lakini lengo kuu ni Pole kwa unayosikia na kuona kejeli na kubagazwa kwa marehemu mume wako hadharani bila woga tena kwa mambo mengine yasiyo msingi.
Tatizo likianza usipolizuia, fahamu litaendelea. Marehemu alikuwa mropokaji mkubwa, na hakuna aliyemkemea. Alichokianzisha kinaendelea, tuendelee kushangilia.Mzee Makamba kakosea sana...Bora aache wahuni WA mitandaoni kuropoka hayo sio yeye
Na kweli Mungu wetu analipenda Taifa hili. Ametutoa kwenye utawala wa shetani, akatuweka huru. Tuutumie uhuru wetu kwa hekima ili kuwa na Taifa bora. Tumepata uafadhali lakini hatujaufikia ukamilifu. Bado tupo gizani. Bado tuna katiba, Rais mfalme, chama dola, n.k.Aaaamen.
Justice is coming,
God has remembered our nation, Tanzania.
Unaweza kukuta huyu mama sasa hivi ana amani kama Makamba!Habari mama,
Pole sana kwa msiba wa mumeo!, alikuwa great leader na wananchi wengi wanamkumbuka kwa utumishi wake ingawa ulikuwa mfupi kuliko kiongozi yeyote aliyetawala nchi yetu.
Hiyo Pole niliyotoa ni ya kawaida kwasisi binadamu maana wote tumefiwa wapendwa wetu lakini lengo kuu ni Pole kwa unayosikia na kuona kejeli na kubagazwa kwa marehemu mume wako hadharani bila woga tena kwa mambo mengine yasiyo msingi.
Sikia mama, mume wako alitimiza wajibu wake bila kujali pale alipokosea lakini wewe u hai ubavu wake ukisikia maneno magumu sana. Pengine unalazimika kuwatia moyo watoto lakini wewe mwenyewe umebeba mzigo mzito.
Imagine hata leo maneno yaliyotamkwa mbele yako! Tushukuru mama Samia walau kutuliza moyo wako baada ya maneno magumu leo lakini sio rahisi.
Endelea kuvumilia malimwengu, endelea kuipenda Tanzania! Jipe moyo kama Bikira Maria alivyojipa moyo alivyoshuhudia mwanae akiteswa na kufa msalabani!
Endelea kujipa moyo kama Bikira Maria alivyovumilia hata waliomtenda ubaya Yesu walipoeneza uzushi dhidi yake kuwa wanafunzi wake wamemwiba hakufufuka. Haikuwa rahisi ila moja ya tunu tunayojifunza juu ya Bikira Maria mara nyingi ni yote aliyaweka moyoni!
Kasome utenzi wa Bikira Maria Luka 1: 46-55 Ukutie nguvu. All shall be well![]()