Special dedication to JF ladies[MMU] from .......

Special dedication to JF ladies[MMU] from .......

Asante kwa kuja hapa
Sijakuona basi mapigo yangu ya moyo yamebadilika
Lakini kwa kua nimekuona basi nimesikia furaha kubwa

Asante sana kwa kuitikia wito!!!!

Mmhh that is so sweet of you.....

Tell me everything that made u miss me all the time when i was not around and i will give them to you
 
images

Thank you so much...!!!!!!
 
Hujiamini?

Suala sio kwamba sijiamini

Suala hapa ni wewe huaminiki kabisa

Ninaweza kuwa najiamini sana lakini hili sio suala linalohusu kujiamini kwangu bali linahusu wewe kuwa mkweli

Kama mimi najiamini halafu ukanidanganya kujiamini kwangu kutasaidia nini?

I trust myself but i don't trust you and you know why!
 
Suala sio kwamba sijiamini

Suala hapa ni wewe huaminiki kabisa

Ninaweza kuwa najiamini sana lakini hili sio suala linalohusu kujiamini kwangu bali linahusu wewe kuwa mkweli

Kama mimi najiamini halafu ukanidanganya kujiamini kwangu kutasaidia nini?

I trust myself but i don't trust you and you know why!

Ok nimekuelewa wangu..usikonde wala usipate shida...here i am, full access
 
Asante kwa kuja hapa
Sijakuona basi mapigo yangu ya moyo yamebadilika
Lakini kwa kua nimekuona basi nimesikia furaha kubwa

Asante sana kwa kuitikia wito!!!![/QUOTE]
Sasa mbona niliye mwita hunishukuru?
 
OUT OF TOPIC!!!!!!!!!!!

Yaani WATU WANAANZA KUKUTUKANA KWENYE THREAD YAKO MODES WANAJIKAUSHA KAU KAMA YALE MATUSI HAWAYAONI VILE UDHALILIKE WEEEEEEEE! Ukiona utu wako unapotea UJIBU KUTOA FAIR PLAY HAO FASTAAAA WANA KUBAN!

NDO NASEMAAA HIO TAREHE 6 SIRUDI WALA NINI? SINA MDA HUO! WAKATI WATU WANANITUKANA AAAH HAMUONI ILA NIKIJITETEA NDO MNAONA SANAAA! Kwanini mtu akianzisha vagi msimuwahi! Niliwaheshimu sana kufuta!

IM OUT OF HERE!!!!!!!!! PUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU!!!!!!!! Mliotumwa kunihujumu FANYENI PARTY SASA! Kijiwe kwa Dougiemasta12 instergram.

Eti JIREKEBISHEE!!!!!!!!!!!!!! So nijirekebishe niwe navumilia MITUSI NA KUVULIWA NGUO HADHARANI! SINA MDA HUO!!!!!!!!!

LARA 1 FOR LIFE!!!!!!!!!!!!!!!!

Hii ID nimezima nije NICHAMBE VYA MWISHO MWISHO! Hamkawii kuifungia!
 
OUT OF TOPIC!!!!!!!!!!!

Yaani WATU WANAANZA KUKUTUKANA KWENYE THREAD YAKO MODES WANAJIKAUSHA KAU KAMA YALE MATUSI HAWAYAONI VILE UDHALILIKE WEEEEEEEE! Ukiona utu wako unapotea UJIBU KUTOA FAIR PLAY HAO FASTAAAA WANA KUBAN!

NDO NASEMAAA HIO TAREHE 6 SIRUDI WALA NINI? SINA MDA HUO! WAKATI WATU WANANITUKANA AAAH HAMUONI ILA NIKIJITETEA NDO MNAONA SANAAA! Kwanini mtu akianzisha vagi msimuwahi! Niliwaheshimu sana kufuta!

IM OUT OF HERE!!!!!!!!! PUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU!!!!!!!! Mliotumwa kunihujumu FANYENI PARTY SASA! Kijiwe kwa Dougiemasta12 instergram.

Eti JIREKEBISHEE!!!!!!!!!!!!!! So nijirekebishe niwe navumilia MITUSI NA KUVULIWA NGUO HADHARANI! SINA MDA HUO!!!!!!!!!

LARA 1 FOR LIFE!!!!!!!!!!!!!!!!

Hii ID nimezima nije NICHAMBE VYA MWISHO MWISHO! Hamkawii kuifungia!

Povu la nin swaiba,jipange na ww utokemo na lara,
Jamaa kashajitetea yy single,naona koku anaingia kwa speed..

Hee heeeeee...
 
Suala sio kwamba sijiamini

Suala hapa ni wewe huaminiki kabisa

Ninaweza kuwa najiamini sana lakini hili sio suala linalohusu kujiamini kwangu bali linahusu wewe kuwa mkweli

Kama mimi najiamini halafu ukanidanganya kujiamini kwangu kutasaidia nini?

I trust myself but i don't trust you and you know why!

Acha uwoga ww,mtoto kashasema jiamin..unajictukia kwel..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom