Special dedication to JF ladies[MMU] from .......

Special dedication to JF ladies[MMU] from .......

Asante kwa ushauri mzuri.
Nakutuma uwambie,"mke nguo mgomba kupalilia", "Usiache mbachao kwa msala upitao" "Akuafaaye kwa dhiki ndio rafiki" "Pema ujapo pema ukipema si pema tena", "Heri kenda shika kuliko kumi nenda rudi".
Teh nimejitahidi sana hapo
 
Usijali mama utapata tu

Kuna vijana wa shoka na wanaojua majukumu yao kaka akina Mentor ninong'oneze tu nami nitamaliza kila kitu wewe ni kunywa maji tu...lol!!!

We nichagulie baba paroko mie sichagui,,,
Sifa kuu, me napenda awe anakunywa pombe,, mengine ntavumilia.
 
Last edited by a moderator:
Nina uzoefu wa kufanya mambo magumu na kurekebisha yaliyoshindikana kwa miaka 10 sasa
Do you think there is something hard for me?
No!!

Utathibitisha tu siku moja
Nitafutie KOKUTONA alipo tafadhali
Nimemmis sana!!

371951.jpg
 
Nzamuona pee..nami nimemmissijeee sasa

CC Eiyer

Asante kwa kuja hapa
Sijakuona basi mapigo yangu ya moyo yamebadilika
Lakini kwa kua nimekuona basi nimesikia furaha kubwa

Asante sana kwa kuitikia wito!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom