Special dedication to JF ladies[MMU] from .......

Special dedication to JF ladies[MMU] from .......

najaribu kukuelewa baba Proko sema its hard sometimes....
The more you try the more you push him away..........

Umehawahi kukagua ili uone tatizo lilipo?
Nijuavyo mimi hakuna asiyependa vitamu!!
 
Wii,mbona kama kuna uniformity kwenye hii sector?
Aaaargh!
Talk to them Eiyer wasi shift blames baadae

Hakuna tatizo la aina yoyote na nimefanya hili kwa niaba yao na kuna baraka zao kabisa

Mbona huamini?
Au wako ni Idd Amin??
.....lol!!!!!!!!!!!!!!!
 
wii naona amekuwa msemaji wao.....nilidhani parokian tu kumbe hadi huku

Baba paroko anatimiza majukumu yake kila mahali
Hana restriction popote pale

Kila siku kila mahali ni kwake
Hata kwenye kuweka mambo sawa kwenye mambo nyeti.....!!!!!!!!!!
 
Haha haaaaaa!!!
Keep on doing the good job baba paroko
Yasikushinde tu!

Nina uzoefu wa kufanya mambo magumu na kurekebisha yaliyoshindikana kwa miaka 10 sasa
Do you think there is something hard for me?
No!!

Utathibitisha tu siku moja
Nitafutie KOKUTONA alipo tafadhali
Nimemmis sana!!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna tatizo la aina yoyote na nimefanya hili kwa niaba yao na kuna baraka zao kabisa

Mbona huamini?
Au wako ni Idd Amin??
.....lol!!!!!!!!!!!!!!!
Soon utakuwa mtabiri baba Paroko
 
Nina uzoefu wa kufanya mambo magumu na kurekebisha yaliyoshindikana kwa miaka 10 sasa
Do you think there is something hard for me?
No!!

Utathibitisha tu siku moja
Nitafutie KOKUTONA alipo tafadhali
Nimemmis sana!!
Umbuje KOKUTONA soo na kunu,waitangwa ni Eiyer
 
Last edited by a moderator:
Eiyer, nashukuru kakangu. Nna swali ila nitakuuliza mwaka mpya. Uwe na wakati murua
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom