Wanawake!! Wanawake!! Asha Rose Migiro aliwezeshwa huko UN, akapwaya vibaya!! Gertrude Mongera aliwezeshwa AU, akakwapua hadi furniture za ofisi!! Makinda aliwezeshwa, lakini ni balaa; hadi anatia kinyaa kama sio kichefuchefu!!! Poleni wanawake!
"Always Do the Right Thing Even if is a Little Dangerous;Thats how a Man Defines Himself!"
hicho kitu ulichokiandika naamini ndio falsafa yako so lazima ukifuate
Malcom X alishawahi kusema kitu kama hiki"I am for violence if non-violence means we continue postponing a solution to the American black man's problem just to avoid violence."Hasa maana ya falsafa hiyo ni kuwataka watu wasinyamaze tu hata kama wanaumia bila sababu za kuridhisha. Wakati wa uhujumu uchumi miaka ya 70 Mwalimu aliwaomba waTanzania wafunge mikanda ili kulinusuru Taifa kutokana na kuanguka kwa uchumi. Wananchi walimwelewa kwa sababu walijua kuwa mbele kutakuja kheri. Hivi leo hawa wana excuse gani? Watanzania wavumilie ili kije nini?
Cha kusikitisha is like serikali hii haiskii lugha nyingine zaidi ya vurugu. Mikopo ya wanavyuo mpaka wagome! Wananchi kudai maendeleo mpaka waandamane!
Siwaambii watu wafanye fujo asilani. Ila na serikali iamke. Watu hawa hawatakuwa hivi forever. Leo polisi watasaidia, kesho jeshi. Sawa ila kuna siku itaandamana Nchi nzima. Hapo sijui watapeleka nini?
Narudia kitu nilichowahi kusema kitambo.." Kama nchi hii itaingia kwenye machafuko, siyo kwa sasababu ya wapinzani, ni kwa sababu serikali imeyasababisha!
Wanawake!! Wanawake!! Asha Rose Migiro aliwezeshwa huko UN, akapwaya vibaya!! Gertrude Mongera aliwezeshwa AU, akakwapua hadi furniture za ofisi!! Makinda aliwezeshwa, lakini ni balaa; hadi anatia kinyaa kama sio kichefuchefu!!! Poleni wanawake!
Mkuu, Tatizo lilikuwa kwamba CCM waliongeza sifa kwenye chama ya kuwa spika lazima awe mwanamke hivyo Mhe.Samwel Sitta akakosa...............Walimuandaa Chenge ila JK haamini mioyo hata ya wabunge wa CCM hivyo hakutaka kufanya Jaribio