Believe me kuna ambao niliwasahau, nimeomba usiku nimekumbuka 2. Lkn kuna mmoja siwezi mkumbuka kabisa. Lkn Mungu anamjua.hapo kwa kwenda na list nahisi wengine nitakua nimewasahau au unaniruhusu kila nikija siku ya maombi niwe na update list software?
Hii ya kulist watu ndio inanitia shaka,Mungu si anajua msululu nilioduu nao,by the way ni MSULULU 😂😂😂😂😂😂😉😉😉😉😉😉,sasa kwa nini niandike tena??..hii inakuwa km ritual fulani,lol....ila seriously km nitapata msaada wa kuacha kuangalia porn nitashukuru sana mwe!
Kumuachia Mungu ni uvivu na uzembe. Do your part. Ni therapeutic kulist itakupa nia ya kuacha.
Porn mimi niliacha baada ya kufunga kwaresma na kuclean laptop na kumuomba Invisible aniondoe jukwaa la wakubwa
Kuna wakati nashindwa kabisa kufikiri sijui kwanini ......
Ngoja niendelee tu kufikiri na nitaweza kukielewa ninachotaka kukielewa
Samaritan uko wapi mkuu?
Wewe ni kilaza kweli kweli.Jaribu kujisomea.Mi najua kazi ya moyo ni kupamp damu kumbe unahifadhi kumbukumbu?
Hili somo kwangu ni gumu sana. Naamini naweza kukaa na kutumia akili yangu kufungua hivyo vifungo...i don't think those spirits require devine power to be untied, akili yatosha tu...
Hili somo kwangu ni gumu sana. Naamini naweza kukaa na kutumia akili yangu kufungua hivyo vifungo...i don't think those spirits require devine power to be untied, akili yatosha tu...
Mkuu,salama?
Mkuu hili jambo nilikuwa nalifikiria hata mimi
Kimsingi nadhani kuna haja ya kuelekezwa namna watu watakavyoweza kujifungua kwenye vifungo hivi wao wenyewe huko waliko na sio kulazimika kwenda kwenye hii semina
Hebu chukulia mfano watu ambao hawapo Dar,inakuwaje sasa? Wapo wale ambao wapo Dar lakini hawawezi kufika hapo,inakuwaje?
Kama hii ni elimu basi ni vyema watu wakaelekezwa namna ya kufanya na huu ndio utakuiwa msaada halisi na sio kuwaambia watu waende mahali fulani,naomba nisieleweke kwamba nasema Kaunga amefanya jambo baya hapana,ila ninacholenga hapa ni kuboresha zaidi jambo ambalo amelileta hapa
Samaritan nimekusoma mkuu
Namkaribisha pia Ishmael na Mkuu wa chuo wapitie pande hizi kutoa elimu zaidi!
Kijana maneno yanaumba, kama humaanishi achana na hayo maneno.
Nimekupata mkuu ....Na hapo ndio linapokuja suala la umuhimu na thamani ya kazi ya msalaba iliyofanywa na Yesu Kristo pale msalabani. Alipokua hapa duniani, ilibidi watu wamtafute alipokua, ndio maana ilibidi aondoke na Msaidizi wake aje ili uwezo na nguvu zake ziwafikie watu wote wenye kuhitaji kokote walipo! Ubarikiwe sana kwa kuboresha mjadala mkuu.
Wapendwa wana MMU.
Kumekuwa kukisemwa mara kadhaa kuwa ukifanya mapenzi na mtu mnatengeneza muunganiko fulani ambao unakuathiri kwa namna moja au nyingine.
Wengi wetu tulivyoambiwa tulibaki na mshangao ulioambatana na tafakari yenye kukata tamaa sababu tunajua misururu tuliyofungama nayo.
Na kwa kiasi kikubwa hatujui cha kufanya. Habari njema ni kwamba kuna jinsi ya kujifungua au kufunguliwa najaribu kutohubiri injili sana ili nipate wasomaji wengi.
Vifungo vingine ni vile vinavyofanyika tunapoenda kwa waganga wa kishirikina. Chale tulizochanjwa, dawa tulizooga,dawa tulizokunywa, hirizi tulizozika majumbani mwetu kwenye biashara maofisini.
Kifupi we have sold our souls to the devil. Maana nafsi zetu zimeunganika na nguvu au power behind the charms, chale, concoction au chochote tulichofanya.
Maneno na ahadi za kipindi cha mapenzi hapa nakumbuka kuna mpenzi wangu mmoja aliniambia niseme kuwa sitamuacha mpaka kufa.
Kuna meingine nilimwambia 'nitamsubiri hata ikiwa ni life time kweli natakiwa nibadilishe hizo kauli cause I guess I am still waiting for him.
Mwisho ni porn. Hii huleta uzezeta,uzembe,umaskini, infedality, ndoa kuvunjika, kupunguza umakini katika chumba cha ndoa etc.
So guys I have said hapo juu. Kama unajiona in a way nafsi yako imefungamana na nyingine. Au kuna vitu hupendi kufanya ila unajikuta huwezi acha kufanya basi kwa walioko Dar.
Jumamosi pale emaus center Ubungo kuna ibada kali ya kujifungua na hivyo vifungo ili tuwe huru. Note the word kujifungua ni kuwa wewe unayo nguvu na mamlaka ya kujifungua.
Mradi tu ujue unachokifanya na uwe na imani kuwa kwa Damu ya Yesu ambayo inatosha huitaji kuchinja mbuzi au kuku basi all chains hata kama ni za diamond zinayeyuka.
Nenda na majina ya watu wote uliosex nao kama unataka kutoka katika vifungo nao. Usisahau kujifungua na matambiko na waganga wote.
Kama una addiction ya porn basi unatolewa ushauri pamoja na maombi ya kufunguliwa. Ibada inaanza saa nane mchana,leo pia ipo kwa wenye muda.
Mbarikiwe sana.Cc: Ngotty for clarification. Kongosho for critic na wemgine wote.
Karibuni.
Kuna vitabu ambavyo vipo kwenye series ya Uponyaji wa Mti wa Familia (Family Tree)
1. Kuvunja laana ya vizazi (generation curses)
2. Kuvunja ushirikina matambiko na ibada za kishetani
3. Kuvunja laana ya kutoa mimba
4. Laana ya maagano ya nafsi madhara ya vifungo vya nafsi
Vimeandikwa na Rev.Fr John Ofosu-Mireku ni padre toka Ghana.
jkomireku@yahoo.com
+233 243 165 893
hapo pa kwenda na majina ya wanawake tuliosex nao ndio mtihani kuwakumbuka majina utakumbukaje majina 140Amina
Kusema ukweli few years back ungeniambia habari za ulimwengu wa kiroho ni heshima yangu tu ya imani za watu zingenishanya nisikujibu kunya. I was totally ignorant traditional catholic.
Open mindedness yangu ndio ilinifanya nisikilize mahubiri ya wapentekoste na sasa kikundi cha karismatiki. Yaani nimeachwa na effect ya 'wow, ala kumbe, ndio maana.....' na vitu kama hivyo.
Nimefurahi na I have this sense of freedom inside yaani nimei claim back soul yangu kutoka kwa shetani and boy.. this feels so good..