Apitakujilamba
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 205
- 83
Naongeza speed mkuu. Nazidisha sadaka za kuteketeza kabisa
Kijana maneno yanaumba, kama humaanishi achana na hayo maneno.
Naongeza speed mkuu. Nazidisha sadaka za kuteketeza kabisa
Hii ya kulist watu ndio inanitia shaka,Mungu si anajua msululu nilioduu nao,by the way ni MSULULU 😂😂😂😂😂😂😉😉😉😉😉😉,sasa kwa nini niandike tena??..hii inakuwa km ritual fulani,lol....ila seriously km nitapata msaada wa kuacha kuangalia porn nitashukuru sana mwe!
Hili tatizo hili nitakusaidia kuomba.
Soo kind,thanks.
Kwa hiyo mtu asiyekuwa na mawazoHapo utakuwa huna uhuru wowote, kwa sababu nafsi na mawazo haviwezi kutenganishwa! Labda kama unamaanisha mwili (physical body)!
Ahsante kwa taarifa Kaunga. Be blessed
Je? inawezekana nafsi ikawa huru
lakini mawazo yakabaki kifungoni?
Kwa hiyo mtu asiyekuwa na mawazo
ni sawasawa na kutokuwa na nafsi
nimekumis thana 2015 ,tuziunganishe imani zet kiroho Amen
Sasa ziko migombani na effect zake si wanazipata huku? Ndivyo hivyo zikiwa destroyed huku basi zinapukutika huko huko. Ni vita ya kiroho na sio phisical. Hujaangaliaga movie za wanigeria?
mweh naeza andika page tatu....
ahsante kwa ujumbe
Very useful thread.........missed you tho.... Kaunga......
Sasa fanya hivi.........mimi nipo mbali na wewe.........kiimani tunaweza kuwa karibu kabisa.........andika jina langu.......halafu nipelekee...........anayeona gizani ananijua.........so anajua atafanya nini.........thanks........
Ulimwengu wa Roho ni mpana sana, inahitaji msaada wa Mwenyezi Mungu ili kuuelewa!!! Barikiwa Kaunga kwa kugusia walau kidogo ila ni kweli kabisa yale yafanyikayo katika ulimwengu wa Roho ndiyo haya tukutanayo katika ulimwengu wa kimwili...