Soul ties au vifungo vya nafsi

Soul ties au vifungo vya nafsi

Very useful thread.........missed you tho.... Kaunga......
Sasa fanya hivi.........mimi nipo mbali na wewe.........kiimani tunaweza kuwa karibu kabisa.........andika jina langu.......halafu nipelekee...........anayeona gizani ananijua.........so anajua atafanya nini.........thanks........
 
Last edited by a moderator:
Ulimwengu wa Roho ni mpana sana, inahitaji msaada wa Mwenyezi Mungu ili kuuelewa!!! Barikiwa Kaunga kwa kugusia walau kidogo ila ni kweli kabisa yale yafanyikayo katika ulimwengu wa Roho ndiyo haya tukutanayo katika ulimwengu wa kimwili...
 
Last edited by a moderator:
Somo zuri thats why kuna vitu fulani ukisha kubali kukifanya mara moja kwa vyovyote inawezekana ukaendelea kwani ni kama tayari unakuwa umepanda mbegu fulani katika ulimwengu wa roho, umewahi kujiuliza kwa nini kuna mambo (hasa yasiyo kubarika kiadili) unafanya unaumia lakini kesho yake unaendelea???? Naandaa somo soon ntaleta
 
Kuna wakati nashindwa kabisa kufikiri sijui kwanini ......

Ngoja niendelee tu kufikiri na nitaweza kukielewa ninachotaka kukielewa
Samaritan uko wapi mkuu?
 
Last edited by a moderator:
Nimekuelewa na ningekuwa huko Dar ningehudhuria hiyo semina ili nikue zaidi kiroho. Asante sana kwa elimu hii.
 
na sie mabikra tunaruhusiwa kujumuika, au ni wale waliokua wanachepuka tu!!!! btw thanx kwa mwaliko
 
hapo kwa kwenda na list nahisi wengine nitakua nimewasahau au unaniruhusu kila nikija siku ya maombi niwe na update list software?
 
Ulimwengu wa Roho ni mpana sana, inahitaji msaada wa Mwenyezi Mungu ili kuuelewa!!! Barikiwa Kaunga kwa kugusia walau kidogo ila ni kweli kabisa yale yafanyikayo katika ulimwengu wa Roho ndiyo haya tukutanayo katika ulimwengu wa kimwili...
hapo kwa kwenda na list nahisi wengine nitakua nimewasahau au unaniruhusu kila nikija siku ya maombi niwe na update list software?
 
Very useful thread.........missed you tho.... Kaunga......
Sasa fanya hivi.........mimi nipo mbali na wewe.........kiimani tunaweza kuwa karibu kabisa.........andika jina langu.......halafu nipelekee...........anayeona gizani ananijua.........so anajua atafanya nini.........thanks........
nimekumis thana 2015 ,tuziunganishe imani zet kiroho Amen
 
Hii ya kulist watu ndio inanitia shaka,Mungu si anajua msululu nilioduu nao,by the way ni MSULULU 😂😂😂😂😂😂😉😉😉😉😉😉,sasa kwa nini niandike tena??..hii inakuwa km ritual fulani,lol....ila seriously km nitapata msaada wa kuacha kuangalia porn nitashukuru sana mwe!
 
Je? inawezekana nafsi ikawa huru
lakini mawazo yakabaki kifungoni?
 
Ahsante rafiki Kaunga...

Naamini hii itawasaidia wengi. Personnally, nawekezaga nguvu nyingi kwenye self liberation na kwa kweli inanisaidia.

I once told you my side!!
 
Last edited by a moderator:
Je? inawezekana nafsi ikawa huru
lakini mawazo yakabaki kifungoni?


Hapo utakuwa huna uhuru wowote, kwa sababu nafsi na mawazo haviwezi kutenganishwa! Labda kama unamaanisha mwili (physical body)!
 
Je? inawezekana kufunguliwa nafsi
Lakini mawazo yakabaki kifungoni?
 
Back
Top Bottom