Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
- Thread starter
- #81
Ujumbe mzuri.
Sijaelewa mantiki ya hapo red.
Sirias kabisa unaanza kutaja msururu wa watu waliokupak.ua/uliowapakua mbele za watu??!!!!!!!
How if wengine huwajui majina yao?
Ndio umalizie "wengine nimesahau majina yao" Isnt it?
How if wengine umewasahau?
How if miongoni mwa niliowapakua mmoja ni mtoto wa mchungaji????????
How if nilizini na ng'ombe?
Wangapi wanaanika uchafu wao makanisani baada ya siku mbili tatu wanarudia yale yale????????
Hapo red unaandika majina kwenye karatasi halafu unayapeleka mbele kama sadaka bila kuandika jina lako.
And then wakati wa kuvunja maagano unasema Baba navunja muunganiko na watu wote ambao majina yao nimeyaandika kwenye karatasi. Ni tendo la kiimani zaidi.
Kuhusu kusahau majina, it is okay kama unakumbuka sura au tukio hasa kwa one night stand au kubakwa nenda kwa Mungu wako aonaye sirini utafunguliwa.
Hii waweza fanya mwenyewe hata nyumbani sio lazima kwenye mkutano.
Kuhusu watu wanaotubu na kuanguka. Ni kitu cha kawaida, haijalishi umeanguka mara ngapi inajalisha umeweza simama tena. Yesu kwenye safari yake akiwa amebeba msalaba alianguka mara 3 kwa ajili ya udhaifu wa mwili. Nasi tunaanguka mara nyingi kwa ajili ya udhaifu wa moyo. Kujifungua na vifungo vya nafsi vitatuimarisha na kututia nguvu ya kuepuka vishawishi. Matamanio yetu yawe ktk kuuelekea utakatifu.