Hivi tulitegemea Bar maid atoe ushauri gani kwa wanawake wenzie, si anajua kufa kufaana, au anamvizia Dr Slaa nini? maana mke wa Dr Slaa ni Diwani wa CCM kule Manyara, so Dr slaa akinyimwa unyumba yeye atampigia misele! du mama ana mbinu huyu!
Wanawake wazuri wazuri wameolewaa, yanabaki Manungayembe (kama SS) yanaangaika!
4 real? Ivi kweli Tz tuna wapinzani? Comments kama hizi zingetakiwa kummaliza huyu mama kisiasa kabisa. Lakini ndo hivyo tena. Watu wanachukulia kama ni jambo la kawaida!!
sina hakika kama ni mmoja wa wanawake waliopevuka kifikra kweli, kama yeye ana mawazo hayo sijui wanawe wa kike anawaleaje, anastahili ukombozi wa akili kule iliko laliaKwenye gazeti la Tanzania Daima la tarehe 21/06/2010 mwenyekiti wa UWT na pia waziri wa Utawala bora, Sophia Simba, amewashauri wanawake ambao ni wanachama wa CCM kutowapa unyumba waume zao ambao si wanachama wa CCM.
Sasa siasa na ndoa vinaendana kweli? Huku sio kuongeza soko la machangudoa Ohio na kuchochea maambukizi ya Ukimwi? Hao ma-housegirl watapona kweli? Au ndio kasi zaidi, nguvu zaidi, ari zaidi imekwisha anza? Hivi huku sio kuvunja katiba ya nchi ambayo inatoa uhuru kwa kila mwananchi kujiunga au kutojiunga na chama chochote cha siasa?
Hivyo mume hapati unyumba mpaka aoneshe kadi halisi ya uanachama wa CCM? Basi wanaume wengi watakaojiunga na CCM muda huu itakuwa ni utekelezaji wa ushauri wa mama Simba?
Kwenye gazeti la Tanzania Daima la tarehe 21/06/2010 mwenyekiti wa UWT na pia waziri wa Utawala bora, Sophia Simba, amewashauri wanawake ambao ni wanachama wa CCM kutowapa unyumba waume zao ambao si wanachama wa CCM.
Shangaziiiii hivi akili zako za kilo ngapi? au harddisk yako ni 5 MB, Shangazi nani anakuambia "Mtu Anaishi Kwa Ngono Tu?".We shangazi acha ushangingi, we huna ndoa na unataka na wenzio waachike sio, ushindwe.
Hivi tulitegemea Bar maid atoe ushauri gani kwa wanawake wenzie, si anajua kufa kufaana, au anamvizia Dr Slaa nini? maana mke wa Dr Slaa ni Diwani wa CCM kule Manyara, so Dr slaa akinyimwa unyumba yeye atampigia misele! du mama ana mbinu huyu!
Wanawake wazuri wazuri wameolewaa, yanabaki Manungayembe (kama SS) yanaangaika!
this is wrong in so many levels!
waziri wa utawala bora anaingilia masuala binafsi ya nyumba za watu.....wakiachika jee?
maskini anashindwa hata kuelewa kuwa tendo la ndoa halihitajii mwanamme tu.................huyo mke ikiwa yeye ndo ana hamu na tendo na ndoa afanyeje?
4 real? Ivi kweli Tz tuna wapinzani? Comments kama hizi zingetakiwa kummaliza huyu mama kisiasa kabisa. Lakini ndo hivyo tena. Watu wanachukulia kama ni jambo la kawaida!!