Somo la Katiba ya CCM kwa Nape & Co

Somo la Katiba ya CCM kwa Nape & Co

Huyu air head Nape asikuumizeni kichwa, kuna politicians wenye integrity na kuna air head kama yeye wasio na upeo wa kufikiri, kutambua wala kuona mbele zaidi ya kivuli chake mwenywe. politics kwao ni sawa na ugomvi wa wake wenza au kasheshe za majirani zilizojaa mipasho na bataani. Na awaulize wanasiasa wote Tanzania, kutokana na mfumo haramu wa chama kimoja ni nani baada ya mabadiliko ya multiparty system aliejali kuwarejeshea kadi yao? Hivi hii kazi ya uenezi ni kubishana upuuzi wa kadi au kueleza policy za chama na kuwavuta wananchi?

Huyu ndie aliekwenda Zanzibar katika mkutano wa hadhara akawaamrisha vijana wa CCM kuwashughulikia wapinzani wao kabla ya kuwafikisha katika mikono ya sheria, kama angelikuwa katika nchi zilizo na uhuru wa mahakama na sheria angelikwisha poteza hadhi hata ya kuongoza familia yake mwenyewe. Au kuwashurutisha civil servants kuattend mikutano yao ya kisiasa kwanza yeye ni kama nani katika serikali ya wananchi wote hata awe na kauli ya kuwashurutisha civil servants kuingilia mahusiano ya kisiasa? the man has shown stupidity on epic propotion, Nape Nauye -air head at his best.
 
so nikisirimu kua mkristo toka uislamu lazima nichome kuruani? Da!mtanzania kazi ipo.

Hata ukimaliza shule tu kitambulisho hulazimishwi kukirudisha shuleni au hulazimishwi kubaki nacho,

Hawa proccm wamekosa hoja sasa wameamua kuzikimbilia hoja nyepesi na kukeshe huko wakipigishana soga huko.
 
Huyu air head Nape asikuumizeni kichwa, kuna politicians wenye integrity na kuna air head kama yeye wasio na upeo wa kufikiri, kutambua wala kuona mbele zaidi ya kivuli chake mwenywe. politics kwao ni sawa na ugomvi wa wake wenza au kasheshe za majirani zilizojaa mipasho na bataani. Na awaulize wanasiasa wote Tanzania, kutokana na mfumo haramu wa chama kimoja ni nani baada ya mabadiliko ya multiparty system aliejali kuwarejeshea kadi yao? Hivi hii kazi ya uenezi ni kubishana upuuzi wa kadi au kueleza policy za chama na kuwavuta wananchi?

Huyu ndie aliekwenda Zanzibar katika mkutano wa hadhara akawaamrisha vijana wa CCM kuwashughulikia wapinzani wao kabla ya kuwafikisha katika mikono ya sheria, kama angelikuwa katika nchi zilizo na uhuru wa mahakama na sheria angelikwisha poteza hadhi hata ya kuongoza familia yake mwenyewe. Au kuwashurutisha civil servants kuattend mikutano yao ya kisiasa kwanza yeye ni kama nani katika serikali ya wananchi wote hata awe na kauli ya kuwashurutisha civil servants kuingilia mahusiano ya kisiasa? the man has shown stupidity on epic propotion, Nape Nauye -air head at his best.

Daaaah mkuu umemmaliza kabisa, yaani nimependa maelezo yako mkuu,

Napenda nirudie zaidi na zaidi kuyasoma.
 
- Huwezi kumtumikia Mungu huku umemficha Shetani nyumbani uvunguni mwa kitanda chako, unatakiwa kumchukia shetiani kwa akili zako zote na uwezo wako wote, Slaa anapopewa kadi za wasioitaka CCM na huku yeye binafsi anajua anayo vipi akili au nafsi yake haimsuti?

- I mean kama Slaa ana kadi ya CCM airudshe now, kuendelea kuwa nayo ni dalili kwamba ahana uhakika na anachokifanya huko kwenu, hawezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja!! mbona ni simple common sense tu!

Es!

sometimes kusema huju unaloliandika si mbaya.kuna uovu hupaswi kumbuka kama unakukumbusha kulipiza kisasi na kufanya uovu mwingine, ila kuna taabu na mengine ambayo ukiyakumbuka yanakuhamasisha kufanya bidii ili ufanye yaliyo bora zaidi.Slaa anayo haki kuwa na kadi ya CCM ili akumbuke alichowafanyia CCM na kuja kuwa chama kibaya hivi, na hii inaweza mmotivate kufanya biddi zaiid ktk CDM.Pope John Paul aalikuwa na picture na vitambulisho vya enzi akiwa mwanajeshi kt vita ya 1 na 2 ya dunia.Mbona waumini na Kanisa halikuchukulia kuwa ni issue?
 
Hilo ndilo jibu analostahili kujibiwa Yericko, hicho kipande cha katiba alichokinukuu hakina kabisa uhusiano na kuwa au kutokuwa na kadi. Kinaongelea uanachama, hiii ni hoja tofauti kabisa na kuwa mwanachama au la, na iwapo Nape alisema Dr bado ni mwanachama anastahili hilo darasa lakini kama aliongelea kadi kitu ambacho hata Dr mwenye amekili, basi Yericko ndiye anapaswa kujifundisha kiswahili upya.

unacheza sana wewe.Nape ana insist kuhsu kadi na baadaye akaanza jenga hisia kuwa na michango ili ajenge hoja kuwa dr. ni mwanachama kama yeye alivyowa wa CCJ.Hizo ni premise za uongo mkubwa unaokujaMnaangalia karibu sana.

Kwa fikra yako hii , unaweza ukaongea vichekesho sana kwa wanavijiji wanaokosa nguo na kuamua vaa nguo ya ccm na kwenda nayo shamba.CCM walivyo na fikra za peke yao wanaweza dhania kuwa wana ccm vijijini wameamua fuata ilani ya ccm na kilimo kwanza.
 
Wanabodi,
Kuna msemo unaosema kuwa, ukijibishana na kichaa na wewe unakuwa ni kichaa. Kwa maana nyingine, ukijibishana na "mpiga porojo" na wewe unakuwa ni "mpiga porojo".


Kwa viongozi wa CHADEMA kama wanavyopenda wananchi waamini, Nape Nnauye ni "mpiga porojo" lakini katika "porojo hizo", wanatumia nguvu kubwa katika kuzijibu. Kwa sisi tunaoangalia kwa mbali tunaachwa na maswali mengi yasiyokuwa na majibu zaidi ya kurudi kwenye usemi wa mwanzo na kuwa na hitimisho kuwa basi hata viongozi wa CHADEMA nao ni "wapiga porojo" (manzi ga nyanza) na kama sivyo, basi inawezekana maneno ya Nape Nnauye yakawa yamebeba ukweli ndani yake mpaka kufikia kujibiwa kwa nguvu na viongozi wengi wa chama kinachotaka watu wakiamini kama ni makini katika utendaji wake (damage limitation).

Watanzania kwa sasa hatuutumikishi ubongo wetu katika kujenga hoja na maswali magumu na kuyatafutia majibu na suruhisho mbadala badala yake tunaridhika kuwa kwenye "comfort zone" za kimaskini katika mawazo na fikra kuimba nyimbo zilezile ambazo wanasiasa wanaziimba.

Ndiyo maana hata wanasiasa wetu wako kwenye "comfort zone" za kimaskini katika mawazo na fikra. Kwa mawazo haya, Siyo kitu cha kushangaza pale wanasiasa wa vyama vyetu vikuu nchini wanapoanza kujadili kwa wiki nzima achilia mbali sekunde tano kuhusu kadi ya chama ( unayo, sina, mwanachama, siyo mwanachama ). Silly politics.

Nchi inahitaji jamii yenye mawazo na fikra pevu katika kupambana na changamoto za karne ya 21 na hii itatokea kama Wananchi wataondokana na hizi siasa za matukio na mufilisi.

Kama hivyo vyote vipo, basi siasa za Tanzania zina kansa ambayo inatakiwa "amputation" ndani ya fikra za wananchi kwa sababu nchi haiwezi kujengwa kwa porojo za kisiasa kama hizi bali kwa fikra malidhawa na zenye maono ya kukabiliana na changamoto za karne hii ya sayansi na tekinologia.

wow ..wondeful logic.Na hii nayo itakaa vyema? " mpinga ushoga naye ni shoga".
 
wow ..wondeful logic.Na hii nayo itakaa vyema? " mpinga ushoga naye ni shoga".

Mkuu,
Kama fikra pevu zinaainisha kama hii logic inashabihiana na kile kilichoko kwenye mada basi Unaruhusiwa kuipachika. Cha muhimu si kila logic inashabihiana na chochote na siyo kila chochote kinaweza kuwa na logic.
 
Yericko Nyerere umesema kweli tupu,

Ni kweli Nape kunauwezekano haijua katiba ya chama chake,

Kwa mtu makini aliyepewa dhamana na chama hawezi kuja na hoja yakitoto hivi.
 
Mkuu,
Kama fikra pevu zinaainisha kama hii logic inashabihiana na kile kilichoko kwenye mada basi Unaruhusiwa kuipachika. Cha muhimu si kila logic inashabihiana na chochote na siyo kila chochote kinaweza kuwa na logic.

Nimeamini ukitaka kuwajua watanzania wenye akili timamu njoo jf, huku kuna GT wa ukweli.

Mistari yako nimeipenda ndugu.
 
Yericko Nyerere umesema kweli tupu,

Ni kweli Nape kunauwezekano haijua katiba ya chama chake,

Kwa mtu makini aliyepewa dhamana na chama hawezi kuja na hoja yakitoto hivi.
Huyo ndie kiongozi wa chama kinachojiita ni chama tawala.

Je wanachama wake watakuwaje?

Ndio hawa hapa jamvini akini TandaleOne, Ritz, W.J.Malecela na wengine.
 
Nnauye Jr
sasa ww mama hauoni nyie ndio mmekosa uaminifu, kupokea ada ya mtu ambaye sio mwanachama? Mlipaswa kukataa malipo hayo kwa vile ni malipo haramu. Usipende kutambulisha mada nyepesi nyepesi hivyo kuwahadaa watanzania. Today 17:36
[URL="

Wao wakikaa wanawaza kuwa wana jf ni sawa na wanaccm waliopo pale Lumumba vibarazani wakipata gahawa.
 
Huyo ndie kiongozi wa chama kinachojiita ni chama tawala.

Je wanachama wake watakuwaje?

Ndio hawa hapa jamvini akini TandaleOne, Ritz, W.J.Malecela na wengine.

Kwa hiyo nyie mnajivunia kiongozi anayepora wake za watu na kutelekeza watoto wake pamoja na mama yao?
 
Huu ndio uongo wa makanjanja tulionao nchini,

Dr Slaa wapi na lini hilo gazeti limemuhoji? Acheni kulisha maneno vinywani mwa watu bila wao kusema.
Mkuu you are on a futile exercise ya ku-defend the indefesensible!
Boti la Dr Slaa kiuongozi linazama, tena kwa kasi kubwa.

Kitu kinachoitwa uadilifu-INTERGRITY, DrSlaa hajawahi kuwa nacho, na kwa umri alio nao hatabadilika na kuaminika.

Wewe endelea kupiga porojo za kumtetea.
Right now naona unabishana na dunia as if wewe ndio uko right , dunia wrong!
Think of that stance and reconsider your position.

Zoezi unalofanya ni kama kuzuia mto Ruvu usiingie Bahari ya Hindi,mtakwenda na maji.
 
- Huwezi kumtumikia Mungu huku umemficha Shetani nyumbani uvunguni mwa kitanda chako, unatakiwa kumchukia shetiani kwa akili zako zote na uwezo wako wote, Slaa anapopewa kadi za wasioitaka CCM na huku yeye binafsi anajua anayo vipi akili au nafsi yake haimsuti?

- I mean kama Slaa ana kadi ya CCM airudshe now, kuendelea kuwa nayo ni dalili kwamba ahana uhakika na anachokifanya huko kwenu, hawezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja!! mbona ni simple common sense tu!

Es!
Huu ni mtazamo wako. Sina ugomvi nao. Lakini kumbuka historia haibadilishwi. Hivi kuendelea kutunza maeneo na nyumba zilizotumika kuuzia watumwa ni kuuenzi utumwa?

Kuwa na kadi ya CCM ni kutunza historia tu.
 
Kwa hiyo nyie mnajivunia kiongozi anayepora wake za watu na kutelekeza watoto wake pamoja na mama yao?

Hahaa mkuu unarusha mawe kwa mwenye nyumba ya tembe ilihali wewe waishi nyumba ya vioo utakuwa salama?

Mwenyekiti wako anawatoto kila mji nchini, na kudhihirisha hilo wengi wa mahawara wake aliwapa u dc na ubunge wa kuteuliwa.

Njoo tukupe mengi zaidi uliyokuwa hujui kijana.

Dr Slaa ni mwadilifu tena zaidi ya ujuavyo ndiomaana jamii inampenda na kumheshimu.
 
Huu ni mtazamo wako. Sina ugomvi nao. Lakini kumbuka historia haibadilishwi. Hivi kuendelea kutunza maeneo na nyumba zilizotumika kuuzia watumwa ni kuuenzi utumwa?

Kuwa na kadi ya CCM ni kutunza historia tu.

Watetezi wa ccm hawajui hata wanachokitetea!
 
Hahaa mkuu unarusha mawe kwa mwenye nyumba ya tembe ilihali wewe waishi nyumba ya vioo utakuwa salama?

Mwenyekiti wako anawatoto kila mji nchini, na kudhihirisha hilo wengi wa mahawara wake aliwapa u dc na ubunge wa kuteuliwa.

Njoo tukupe mengi zaidi uliyokuwa hujui kijana.

Dr Slaa ni mwadilifu tena zaidi ya ujuavyo ndiomaana jamii inampenda na kumheshimu.

Ccm wananichekesha sana, hivi wanapata wapi ujasili wa kukashifu maisha binafsi ya Dr Slaa?

Hivi mwenyekiti wao hawamuoni au hawajui?
 
Ccm wananichekesha sana, hivi wanapata wapi ujasili wa kukashifu maisha binafsi ya Dr Slaa?

Hivi mwenyekiti wao hawamuoni au hawajui?

Hawatuumizi vichwa, sie tunakimbiza kwa hoja tu hapa,
 
Back
Top Bottom