Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #21
- Huwezi kumtumikia Mungu huku umemficha Shetani nyumbani uvunguni mwa kitanda chako, unatakiwa kumchukia shetiani kwa akili zako zote na uwezo wako wote, Slaa anapopewa kadi za wasioitaka CCM na huku yeye binafsi anajua anayo vipi akili au nafsi yake haimsuti?
- I mean kama Slaa ana kadi ya CCM airudshe now, kuendelea kuwa nayo ni dalili kwamba ahana uhakika na anachokifanya huko kwenu, hawezi kutumikia mabwana wawili kwa wakati mmoja!! mbona ni simple common sense tu!
Es!
Usibishe kwakutumia fikra zako mkuu, bisha kikatiba!
Lete vifungu vya katiba vinavyosema kuwa uanachama wa mwanaccm utakoma lini?
Kuwa na kati mbili sioo tatizo katiba ya ccm haizuii ndiomaana karume na Shein wanazo mbili, ya ccm na ASP.
Jambo muhimu hazitakiwi kuwa kadi hai, sasa mtueleze kadi ya Slaa huko kwenu mnatambua kama kadi hai?
Fungukeni wanaccm jadilini maendeleo mliyomletea mtanzania sio uzushi