Mkuu hizo ni prpaganda uchwara ndiyo maana jambo la maana kama kuikwa kwa katiba ya CCM hakuna hata mwana CCM yeyote anayehoji. Hakuna asiyejua kuwa wanaousema ni uongo, na mbinu wanazodhani wataidhoofisha CDM. Watanzania wa leo sio wa jana, CCM watatumia pesa nyingi kuwatumia vijana ndani ya CDM kuendeleza ajenda hii lakini hatudanganyiki.