Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,436
Ni jambo la bahati mbaya sana kwamba chadema mmepigwa na dhoruba kali sana ambalo mtahangaika nalo kwa muda sana na kupoteza muda mwingi ambao ungetumika kutumikia wananchi na pia kujenga imani ya Chama na viongozi wenu mbele ya Umma; Lakini yote ni sehemu ya siasa za ushindani katika demokrasia ya uliberali, kote, marekani n.k; Personal attacks ni sehemu ya mchezo wa kisiasa, ndio maana unaitwa mchezo mchafu, kwahiyo msilaumu CCM kwa hilo;
Bila uangalifu, jambo hili litaipelekesha Chadema kwa muda mrefu sana, miezi sita, mwaka, huku Dr. Slaa akijikuta akitumia muda mwingi kujibu hoja hii badala ya kujadili masuala muhimu huko majukwaani; Ukichanganya na tetesi kwamba pia anamsimamisha Josephine Kawe kwa nguvu, licha ya uwepo wa Mbunge mahiri Halima Mdee pale, there is a big chance kwamba Dr. Slaa's popularity itaporomoka kwa kasi ya ajabu, na pengine jina lake kuwa irrelevant katika political landscape of the country ifikapo 2015;
Vinginevyo yote ni katika kutumikia wananchi, Vyama ni njia tu; Wassira alikuwa mbunge wa NCCR kwa miaka mitano, akiishambulia CCM majukwaani, leo Wassira kwenye mkutano wa CCM Taifa, wajumbe wetu wanampa kura nyingi kuliko hata majina yanayotajwa kuwania Urais 2015 kupitia CCM;
Wanachadema, hizi ndio siasa, jipangeni;
Bila uangalifu, jambo hili litaipelekesha Chadema kwa muda mrefu sana, miezi sita, mwaka, huku Dr. Slaa akijikuta akitumia muda mwingi kujibu hoja hii badala ya kujadili masuala muhimu huko majukwaani; Ukichanganya na tetesi kwamba pia anamsimamisha Josephine Kawe kwa nguvu, licha ya uwepo wa Mbunge mahiri Halima Mdee pale, there is a big chance kwamba Dr. Slaa's popularity itaporomoka kwa kasi ya ajabu, na pengine jina lake kuwa irrelevant katika political landscape of the country ifikapo 2015;
Vinginevyo yote ni katika kutumikia wananchi, Vyama ni njia tu; Wassira alikuwa mbunge wa NCCR kwa miaka mitano, akiishambulia CCM majukwaani, leo Wassira kwenye mkutano wa CCM Taifa, wajumbe wetu wanampa kura nyingi kuliko hata majina yanayotajwa kuwania Urais 2015 kupitia CCM;
Wanachadema, hizi ndio siasa, jipangeni;