Somo la Katiba ya CCM kwa Nape & Co

Somo la Katiba ya CCM kwa Nape & Co

- Habari za uhakika ni kwamba ni kweli Slaa amekuwa akilipia kadi yake ya CCM, pamoja na kuwa Kiongozi wa Chadema now what is that? I mean unamtetea tena kwa kutumia Katiba ya CCM, ndio ile ile tabia yenu kwamba hamkosei Chadema ila wengine tu ndio wabovu, bila hata aibu unateteta nini hapa?

- I mean can you Imagine ungenyamaza si ungeisaidia Chadema zaidi kuliko kukurupuka na mijadala ambayo hata facts huna, sasa kama sio aibu ni nini hii?

Es!
 
Dr Slaa kila unasema CCM chama cha mafisadi na karibia mnawatoa madarakani. Sasa kwa nini unag'ang'ania kadi ya CCM labda tufahamise tupe faida ya wewe kuienzi kadi ya CCM.
 
Ni jukwaa lipi alilokili kuilipia kadi Slaa?

Inamaana ccm imevunja katiba yake kwakupokea ada ya mwanachama aliyejiunga na chama kingine cha siasa?

Acheni wehu nyie vijana, someni katiba yenu muielewe inamtambuaje Dr Slaa?

- Mjadala umeuanza mwenyewe sasa unarudia kwenye tabia na uatamaduni wa matusi maana tayari umeshaishiwa hoja uchwara, so sad!! Bila matusi hamuwezi kushinda any debate lazima mrushe matusi!! SO MUCH FOR WAKOMBOZI!!

Es!
 
Ni jukwaa lipi alilokili kuilipia kadi Slaa?

Inamaana ccm imevunja katiba yake kwakupokea ada ya mwanachama aliyejiunga na chama kingine cha siasa?

Acheni wehu nyie vijana, someni katiba yenu muielewe inamtambuaje Dr Slaa?

Mkuu mbona umeanza kuchemka mapema au umeamua kuanza matusi ili upate pakutokea.

Unaweza kutupa faida ya Dr Slaa kuienzi na kuitunza kadi ya CCM mpaka leo.
 
Nnauye Jr
Today 17:36
#1 JF Senior Expert Member
verified.png
Array


Join Date : 14th September 2008
Posts : 402
Rep Power : 605
Likes Received453
Likes Given0


[h=2]
icon1.png
Mmejitahidi sana sana kumtetea BABU(Dr. Slaa), lakini....[/h] Wakuu,
Nazitambua juhudi za wafuasi wa babu na mashabiki wake katika kujaribu kumtetea ionekane ni jambo la kawaida sana kwa yeye babu( Dr. W. Slaa) kuwa na kadi ya CCM mpaka leo! Juhudi za kutumia social media na magazeti mengine hasa gazeti la M4C(TanzaniaDaima) kujaribu kumtetea babu na wakati huo kunikejeli na kunitukana japo kuwa kwa matusi ambayo lazima nikiri si mapya, yalishawahi kutumiwa dhidi yangu au watu wengine duniani. Hapa nitajibu hoja moja baada ya nyingine( wenye matusi mapya wanakaribishwa wakijisikia kunitukana tena).

1. Katika matamshi yangu hakuna mahali nilipohusisha kuwa na kadi na uanachama wa mtu.....hivyo wanaojaribu kubwabwaja kuwa sijui Katiba ya CCM wanakurupuka kwasababu ndogo sana..kukairishwa lazima kumtukana Nape hata bila kupima kwa makini hoja....nilichosema Dr. Slaa na baadhi ya vigogo wa CDM wana kadi za CCM na baadhi yao wanazilipia mpaka leo. Sijazungumzia uanachama wao...najua kuwa kwa katiba ya CCM ukisha kuwa mwanachama wa chama kingine uanachama wako CCM unakufa hapohapo.

2.Ni kweli kuwa hakuna mahusiano ya moja kwa moja kati ya kuwa na kadi ya CCM kwa babu na maendeleo ya wananchi masikini, lakini babu anatafuta kuwa kiongozi wa nchi ANAPASWA KUISHI YALE ANAYOYASEMA NA KUWA MWAMINIFU KWA NAFSI YAKE MWENYEWE. Ni Dr. huyu ambaye huhamasisha wananchi wengine warudishe kadi za CCM anapofanya mikutano ya hadhara wakati yeye kabaki nayo bila kuanza yeye kuongoza kwa kuonyesha njia kwa kuirudisha yake kwanza...USIPOKUWA MWAMINIFU KWA KIDOGO HUWEZI KUWA MWAMINIFU KWA KIKUBWA PIA....si ajabu alishindwa kutii kiapo chako na nadhiri yake kwa Mungu aliyoapa akiwa padri..leo nitashangaa akiwa mwaminifu kwa binadamu mwenzake kama kashindwa kumweshimu Mungu.

3.Lakini ni siku chache sana zimepita babu aliwatuhumu baadhi ya viongozi wa Chadema Kigamboni kuwa ni mapandikizi ya CCM kwa chama chake...nikashangaa sana, babu anawatuhumu wenzake ambao hawana hata kadi za CCM kama yeye kuwa ni mapandikizi ya CCM huku yeye ambaye kwa tafsiri hii ni pandikizi namba moja akijifanya ni msafi sana..nilichofanya ni kumkumbusha kuwa yeye ndio "pandikizi" namba moja kwahiyo aanze kujifukuza yeye.

Endeleeni kumtetea nianike mtiririko wa kulipia kwake kadi yake ya CCM.
 
Ni kweli kwamba hakuna sharti sehemu yoyote linalosema kwamba ili kuwa mwanachama wa chama kingine, ni lazima urudishe kazi ya chama chako cha awali; Lakini tatizo linakuja pale inaposemekana kwamba Dr. Slaa ni mwanachama hai na amekuwa analipia ada ya kadi yake ya CCM wakati wote, Je hii ni taarifa sahihi? Iwapo sio sahihi na kwamba tu ana kadi ya CCM katika makabrasha yake, suala hili linakuzwa bila sababu kwani hakuna cha ajabu hapo, lakini iwapo ni kweli mbali y akuwa na kadi, pia analipia ada yake kila mwaka, hapa kuna tatizo - kwani ina maana Dr Slaa ni mwanachama hai wa vyama CCM na Chadema - kwani uhai wa uanachama unapimwa kwa kigezo cha malipo yako ya ada kila mwaka;

Swali linalofuatia ni je, mtu anaweza kuwa mwanachama wa vyama viwili? Kwa uelewa wangu, it is not illegal lakini kuna justifications to expel mhusika from one or both parties, ikigundulika kwamba anatumikia vyama vyote viwili; je kutumikia maana yake nini - kupiga kura, kuhudhuria vikao vya wanachama? kulipia ada ya uanachama? kuwa kiongozi kupitia chama husika? Vyote manne kwa pamoja? Sina uhakika, kwani yote haya yap open to debate; Lakini suala muhimu na la msingi hapa ni kwamba Dr. Slaa kwa hili ameyumba, hasa iwapo taarifa kwamba amekuwa analipia kadi yake miaka yote ni za kweli, kwani nje ya suala hili la kuwa mwanachama hai badala ya mfu, he can easily get away na sakata hili;

Hakuna mahali popote ambapo Dr Slaa amehojiwa na kusema kuwa ANAILIPIA au ni mwanachama hai.

Dr Slaa hajahojiwa POPOTE na chombo chochote,

Huu ni uzushi uliotengenezwa na kiwanda cha uongo cha pale Lumumba chini ya ukurugenzi wa Nape Nnauye!

Nani kathibitisha kuwa Dr Slaa bado kaifadhi hiyo Kadi ya ccm?

Hakuna mwenye uhakika zaidi ya Dr Slaa au mke wake pekee.

Ila tunaweza kusimama na kupingana na uongo huu kuwa Dr Slaa amekili kumiliki na kuilipia kadi ya ccm.

Ninakanusha kuwa Dr Slaa hajawahi kuongea na chombo chochote cha habari juu ya umiliki na uhai wa kadi ya ccm tangu mwaka 2010 ambapo alisema kuwa ameihifadhi kama kumbukumbu tu (kadi mfu).

Dr Slaa hawezi kuongea na magazeti ya uhuru na ikawa ndio sehemu yake yakuongea na vyombo vya habari.

Uzushi ni jambo baya sana hasa unapoumbuka.
 
Mkuu Mchambuzi mbona unamhukumu Dr.slaa kwa hoja usio na uhakika nayo.?unavyosema "inasemekana Dr.slaa analipia kadi ya ccm" kwa nini usifanye uchunguzi ukajiridhisha ndio uibuke na hoja iliyoshiba vielelezo hapa...hivi kwani kumiliki (sio kulipia) kadi ya chama pinzini ni kosa kisheria au dhambi kiimani.?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mbona umeanza kuchemka mapema au umeamua kuanza matusi ili upate pakutokea.

Unaweza kutupa faida ya Dr Slaa kuienzi na kuitunza kadi ya CCM mpaka leo.

Ni kumbukumbu za mapito yake ya kisiasa.

Ukimaliza shule ya sekondari kitambulisho huwa unakirudisha shuleni?

Katiba ya chama chako unaijua vema?
 
Huyu ndie msemaji wa chama, chama kimempa dhamana ya kukihubiria mbele ya uso wa watanzani, lakini naamini chama kililenga ahubiri sera na mafanikio ya chama katika kuwaletea maendeleo watanzania!

Sijui hiyo kadi ikirudi itawasadieje watanzania na wana ccm?

halafu mwenyekiti wake kesho anamsifia kwenye vikao vyao kuwa "kijana wetu nape kawabana sana cdm". what? ni upuuuzi tu.
 
- Habari za uhakika ni kwamba ni kweli Slaa amekuwa akilipia kadi yake ya CCM, pamoja na kuwa Kiongozi wa Chadema now what is that? I mean unamtetea tena kwa kutumia Katiba ya CCM, ndio ile ile tabia yenu kwamba hamkosei Chadema ila wengine tu ndio wabovu, bila hata aibu unateteta nini hapa?

- I mean can you Imagine ungenyamaza si ungeisaidia Chadema zaidi kuliko kukurupuka na mijadala ambayo hata facts huna, sasa kama sio aibu ni nini hii?

Es!

Hizo habari za uhakika umezipata wapi?

Kumbe nabishana na mtu ambae huna uhakika na ukisemacho?

Katafute habari tena hapo Lumumba kijana. Hapa tunaongea na watu waliona uhakika na wakisemacho na wanaojua kuchambua katiba za vyama vyote vyamsingi,

Njoo na hoja za kutetea uongo wenu sio taarabu unazokuja nazo hapa.

Narudia tumia mda wako mwingi kuisoma katiba ya chama chako ya ccm.

Naamini utapevuka kiakili na kimwili.
 
halafu mwenyekiti wake kesho anamsifia kwenye vikao vyao kuwa "kijana wetu nape kawabana sana cdm". what? ni upuuuzi tu.

Wapuuzi kweli hawa vilaza!

Nawaona wanabadili ID kila sekunde, nawataka sana waje tupambane kwa hoja sio viroja.
 
Mkuu Mchambuzi mbona unamhukumu Dr.slaa kwa hoja usio na uhakika nayo.?unavyosema "inasemekana Dr.slaa analipia kadi ya ccm" kwa nini usifanye uchunguzi ukajiridhisha ndio uibuke na hoja iliyoshiba vielelezo hapa...hivi kwani kumiliki (sio kulipia) kadi ya chama pinzini ni kosa kisheria au dhambi kiimani.?

Hivi ni kitu gani umezungumza hapo juu, umenisoma vizuri na kuelewa hoja yangu ya msingi? mbona unajibu kama vile ume panic sana? tulia, chambua issue nzima vizuri, then rudi katika mjadala;
 
Tunataka mwanaccm yoyote aje na vielelezo kuonyeshe Dr.slaa amelipia lini mara ya mwisho kadi ya ccm.!
 
Hakuna mahali popote ambapo Dr Slaa amehojiwa na kusema kuwa ANAILIPIA au ni mwanachama hai.

Hilo ndio la msingi, na ndio maana nimesema kwamba iwapo suala ni kwamba ana kadi ya CCM kwenye makabrasha yake, sioni tatizo; lakini iwapo ni kweli amethibitishwa kuwa nayo na kuilipia, hilo ni suala lingine; Vinginevyo ningependa kuamini kwamba huu ni uzushi wa kisiasa, hadi pale nitakapo pata ushahidi;
 
Hivi ni kitu gani umezungumza hapo juu, umenisoma vizuri na kuelewa hoja yangu ya msingi? mbona unajibu kama vile ume panic sana? tulia, chambua issue nzima vizuri, then rudi katika mjadala;

Hehee msamehe alikuwa hajakusoma vizuri, lakini yupo njia moja na wewe.
 
Tunataka mwanaccm yoyote aje na vielelezo kuonyeshe Dr.slaa amelipia lini mara ya mwisho kadi ya ccm.!

Hawana vielelezo, labda wakatengeneze risiti feki kule kariakoo na kuzileta hapa, ila tutawakamata tu wapuuzi hawa.
 
Hilo ndio la msingi, na ndio maana nimesema kwamba iwapo suala ni kwamba ana kadi ya CCM kwenye makabrasha yake, sioni tatizo; lakini iwapo ni kweli amethibitishwa kuwa nayo na kuilipia, hilo ni suala lingine; Vinginevyo ningependa kuamini kwamba huu ni uzushi wa kisiasa, hadi pale nitakapo pata ushahidi;

Magazeti ya uhuru/mzalendo na mengineyo yanaandika habari zake kwa maagizo ya akina Nape.

Wanakaa nakupika uongo kila kukicha na bahati mbaya uongo wao ni wakipumbavu tu.
 
Ni kumbukumbu za mapito yake ya kisiasa.

Ukimaliza shule ya sekondari kitambulisho huwa unakirudisha shuleni?

Katiba ya chama chako unaijua vema?

Kwa hiyo wewe leo umejitolea kuitetea katiba ya CCM kisa Dr Slaa kaienzi kadi ya CCM.
 
Kwa hiyo wewe leo umejitolea kuitetea katiba ya CCM kisa Dr Slaa kaienzi kadi ya CCM.
Mkuu huyo ndio mpambe mkubwa wa Slaa, yani hata babu akiachia ushuzi yeye atasema inasaidia kupunguza mbu
 
Kwa hiyo wewe leo umejitolea kuitetea katiba ya CCM kisa Dr Slaa kaienzi kadi ya CCM.

Si leo tu, siku zote mimi huziheshimu katiba za vyama na tafa.

Heshimu katiba ya chama chenu mkuu.
 
Back
Top Bottom