Tofauti ktk nchi hazitokani na kutokuwa na universala values ila ukomavu wa jamii za nchi husika na kupata nguvu kwa tamaduni na mifumo ya nchi nyingine ambazo hazina viwango bora ktik amambo kama democrasia na hai za binadamu.
Issue ya homesexuality, abortion etc hazina concfilicts at the core ila jinsi ya kuwatreat hao watu ndizo tofauti.Mfano mashoga wanalindwa si kwamba wapo sahihi sana, ila kwa vile wao ndio wanatakiwa kuwa responsible kwa matendo yao as long as hawamlaimishi mtu kuingia ktk mtindo huo wa maisha, pia wana haki naturally ya kuishi na haki hiyo kuheshimiwa.Sasa hapa tofauti ni jinsi gani wanajisiikia huru kuvunja haki yao kuishi kwa hasira za muda mfupi zinazochangiwa na mitizamo.Approach za kidini nazo ni kikwazo na source ya hizo tofauti za muonekano, hata mashoga wenyewe wengi hawajachukulia kama wafanyalo ni tatizo na hivyo approach iwe kutibu na si kuhalalisha na kuishi nalo.
Capital panishment lazima iwe tofauti kwa vile kila mtu ana sammple fulani ya data inayojibu views zake ila at the core mkosaji lazima aadhibiwe.Ila hiyo adhabu inaweza kuwa na kazi zaidi kama ku eliminate mwuovu kama miaka hii hakuna namna ya recovery kwa mkosaji na uwepo wake unasababisha mauaji mengine.Sasa hapa si principal ndio ina shida ila intentions wakati wa kutend ahiyo purnishment na experience ya nchi husika.
Universal values si social theories au theories nyingine zinazo evolve with society.Truth si relative, watu wanaong`ang`ania truth kuwa relative si honest people, ni watu kama wajamaa, wakomunist na madictator wengine au hata watu wa dini za East zinazopingana na mifumo ya Judeo-Christian.Na hii ina nia ya kuhalalisha nia zao.Waislama wana uongo mtakatifu hasa pale unapotumika kwa maslahi ya dini.Waafrica huwa wanapeana reward kwa mtu aliyedanganya kwa faida ya jamii zao.Tayari wanajiamulia kuchagua wapi waone uongo ni mbaya.Lakini hapa haiondoi ukweli kuwa uongo ni mbaya, hata pale unapompatia mtu faida,kwani atakuwa kapa hiyo faida kwa hila na kumyima mwingine haki ya kufanyahamu anachodeal nacho.