Nape BOYA
unajua utashangaa sana kuwa hayo mambo science inasaidia tuu kuyaelewa vyema na si vinginevyo.Wagiriki walifungua njia ktk fikra tuu na hiyo rule of the people ilikuwa ni kujaribu leta fairness, kwa kupunguza watu wachache kutawala wengine wengi, badala yake watu wengi wajitawale kwa vitu walivyovikubali kwa uelewa wao.In reality optimum and social harmon inafikiwa pale kunapokuwa na balance ya parameters nyingi.Na huvunjika pale panapotokea kuzidisha au kupunguza paramater moja au zaidi.Ila hakuna ugunduzi mpya.Kwa ujumla universala values zipo,ni sisi kuzigundua na kuzipenda na kuziheshimu na si relative.Realativity inakuja kutokana na jamii husika kuwana vipaumbele vingine.Mkuu,
Hii topic ni ndefu, we can go on and on bila kufikia tamati kwa sababu haya ni maswala yanayo evolve katika jamii inayochagizwa na mabadiliko ya kimazingira (technology, natural forces n.k). Ndiyo maana wagiriki walikuja na hii kitu inayoitwa "rule of the people" ili kupambana au kukabiliana na mabadiliko katika jamii na ndiyo maana kwa sasa tuna vyombo kama legislator, arbitrator na adminstrator katika jamii.
Niseme tu kwamba jamii na jamii imejengeka katika misingi ya core value (morality, ethics, custom n.k) na kwa hili ndiyo pale ambapo universal value underpin in a society. The challenge comes when the society rise above core value in a democratic world, na hapa ndiyo maana kunakuwa na maandamano kushinikiza legislators.
Hata hapo tu ameshindwa kutumia akili katika kudai kadi mfu ya ccm kwa Dr Slaa?
William J. Malecela
hehe Yeriko tulichokuwa tunaongea tazama le mutuz anakisema bila hata jijua ktk facebook page yake kama kawa.haya maboya yakienda ulaya yanadhani yakija yana mengi ya kutufundisha wakati walipoteza muda kupiga picture za kutumia watu pamoja na kujiingiza katk crimes na mambo mengine yasiyowajenga kuwa real men.
::::::::::::::::::::::::::::::::::
William J. Malecela
4 hours ago
@ LE MUTUZ: Something is a miss, miaka yangu yote 30 Majuu never did I dreamed kuwa na USD $ 100,000 Cash as my Money free of madeni, OR tAXES! to my shock 80% ya washikaji wangu niliowaacha Bongo, hiyo amount ni ABSOLUTELY NOTHING!!
- NOW SOMETIMES IT HITS ME HARD, KWAMBA DID SOMETHING WENT WRONG SOMEWHERE OR WHAT? AND IS LIFE A FAIR GAME OR WHAT? AND THE WORST THESE GUYS THEY GO TO MAJUU AS IF WANAENDA KARIAKOO? HA! HA! MIMI NILIPOKUWA MAJUU KUJA LIKIZO BONGO ILIKUWA PATASHIKA BIN KIZAZAAAH! HA! HA! HA! HA! HA!, I MEAN I THANK MY GOD I AM BACK NIKIWA MZIMA NA AFYA TELE AND I HAVE A CHANCE TO RECOVER AND THAANKS TO MY FRIENDS WHO ARE HELPING ME UP AND DOWN! BUT THE TRUTH REMAINS THE SAME THAT SOMETHING WENT SOMEWHERE OR SOMEBODY!! JIONI NJEMA SANA PEOPLE!! - LE MUTUZ!!
teh teh..in tanzania you will never miss a useless idiot in our political arena, just like any other social cretin:
![]()
jamaa kapendeza, kumbe ile kijani ni makosa tuu.Halafu na huko kuwehuka ndipo kunapendezeha zaidi hii picture.Atazuga kuwa ulikuwa mpango wa CCM kuzuga wananchi, bila kujua anaingia ktk dhambi nzuri zaidi ya kudanganya wananchi, na hivyo kuthibitisha wanachosema CDM kuwa CCM is nothing more than a bunch of socially pathetic cretins.
Hilo ndilo jibu analostahili kujibiwa Yericko, hicho kipande cha katiba alichokinukuu hakina kabisa uhusiano na kuwa au kutokuwa na kadi. Kinaongelea uanachama, hiii ni hoja tofauti kabisa na kuwa mwanachama au la, na iwapo Nape alisema Dr bado ni mwanachama anastahili hilo darasa lakini kama aliongelea kadi kitu ambacho hata Dr mwenye amekili, basi Yericko ndiye anapaswa kujifundisha kiswahili upya.
Aisee kweli mjinga ni mjinga tu hata ajifiche vipi ujinga wake huonekana tu!
Unaweza kujiuliza mara mbili na usipate majibu, hivi Nape na William Malecela wanaitetea ccm toka moyoni au wanaiangamiza ccm toka moyoni?
Tuwashangae waandishi wa habari ambao waliona hii kuwa habari kwa sababu imenenwa na Nape. Ikumbukwe kuwa Slaa hajaweka kufanya ni Siri yeye kuwa na kadi ya CCM. Hata wakati wa kampeni 2010 aliweka wazi na kusisitiza kuwa mtu si lazima kurejesha kadi ya Chama kukoma kuwa mwanachama. Katiba za vyama vingi vya siasa haviweki hili Kama sharti. Waandishi wa habari walipaswa kumkumbusha/kumuuliza hili alipolitoa.
ungemwambia kuna mengi utamfundisha angekuja juu sana.Ila alichoandika Le mutuz ni wazi anakiri kuna mengi utawafundisha hawa maboya, design ya Nape.
Aisee kweli mjinga ni mjinga tu hata ajifiche vipi ujinga wake huonekana tu!
Mimi nipo hapa, nitaendelea kuwafunza mambo mengi ya nchi hii,
Mmeishi mda mrefu ughaibuni sasa mmerudi mnakuja kupaparika na siasa bila kujua kiundani hata katiba ya chama chenu.
Nimeanza kuwafunza katiba ya chama chenu kisha nitakuja Katiba ya Nchi.
Tulia ufunzwe bonge!
Usimuingize kijana mwenzako chaka, ni mwehu pekee anayeweza kusimama mbele ya watu na kuelezea utekelezaji wa katiba na Ilani ya chama cha mapinduzi.Tunajitahidi hivi lakini nadhani ni mwathirika wa mapokeo mfu!
[h=2]Tangazo Maalum: Mradi wa Kazi Majuu![/h]- Wakuu wote JF, bila kumbagua yoyote nina rafiki wa kike wa kizungu anayefanya kazi kwenye mradi mmoja ambao ukitimiza msharti yake ambayo sio magumu sana, basi wanakupatia viza ya miaka mitano kwenda nchi moja majuu kufanya kazi, ni kwa professional mbali mbali na hata kwa wasio na professional wanakubalika,
- Ameniambia the goal ni matajiri flani hivi wa kizungu wanajaribu kuwasaidia watu kutoka nchi masikini, sasa naomba kusema hivi hapa JF wanaingia hata mabalozi mengi ya majuu bongo kila siku, kwa hiyo siwezi kuweka yote hapa wazi, lakini sina tatizo kumsaidia yoyote yule mwenye kuhitaji huu msaaada mradi tu msaidiwa awe bongo, na kuna fee ya dola mia tatu, mimi sifanyi lolote zaidi tu ya kuhakikisha kwamba una pass na unataka msaada, ninaku-connect una-deal nao mwenyewe, lakini ni lazima unifahamishe ili nimfahamishe huyu dada, aifuatilie fomu yako.
Tuwasiliane kwenye PM, au mtuwameli@yahoo.com. Mods na Utawala naomba muipe nafasi kidogo hapa ingawa sio pake, ili iwafikie ndugu zangu walalahoi, unajua sisi mabaharia huwa ni watu wa kusaidiana sana kwa sababu tusingefikia hapa tulipo bila kusaidiwa na wengine, na huwa hatusahau tulikotoa au kusahau wengine wenye shida.
Ahsanteni Wakuu.
Field Marshall Es, wazee wa sauti ya umeme!
Usimuingize kijana mwenzako chaka, ni mwehu pekee anayeweza kusimama mbele ya watu na kuelezea utekelezaji wa katiba na Ilani ya chama cha mapinduzi.
Nape yuko sahihi kabisa kwa anayoyafanya sababu ndio msingi wa pay cheque yake, au unataka akale wapi?