Something Special on Haya Girls

Something Special on Haya Girls

Kuna mambi huwa yanaletwa hapa hamvini hata huwa sijui wenzangu mnayapata wapi! Mimi nimeishi kikazi ktk mkoa wa kagera kwa takriban 7yrs. Hiki mleta post unachotaka kutuaminisha mimi sijawi kiona. Huko wapo wazuri na wabaya pia wapo. Nimekwenda hadi wilaya ya karagwe ambako ndiko maumbo ya kinyarwanda yanakopatikana, but still kuna ambao huwezi tazama mara mbili. Mtazamo wangu, uzuri wa mwanamke ni wewe mwenyewe, ndo maana hata wenye sura ngumu wanaolewa....!
Asante kwa kuweka hili wazi. Hizi soft skins wanazosema wahaya wa vijijini wanazo huko dijazoona bado, nimeenda na kukaa huko Kyerwa hadi milima ya Murongo, leo ndio nasikia eti wadada wa kihaya wana sura nzuri na ngozi nyororo kisa hawafanyi kazi ngumu kama wa mikoa mingine. Sijui hizo takwimu zatoka wapi Jamani...na vumbi lile...mmmmh...
 
So what?
Umeamka na pombe za krismas wew, Hivi msukuma utamwabia nini anayeamini mwanamke mzuri lazima awe na ngozi light??? Uzuri uko machozi kwa mtazamaji bwana!!!!!!
 
Nilikuwa napuuza sana sifa wanazopewa Wahaya
on their beauty..
Baada yakuwaona mwenyewe tena huko vijijini kwao. Nimeamini..

Kwa uzuri na muonekano wa nje, really Wahaya ni wazuri..
Rangi zao na maumbo yao ni mazuri!!

Wengi wao ni weusi afu rangi zao zinavutia..
Kifuani na kwa nyuma wengi wao wako vizuri

Sijui sasa kwa upande mwingine(behavior & sex)
wakoje, kupima hiki kipengele ni vigumu.

Compare na maeneo mengine, kwa uzuri nawapa credit!!

You chagga girls on ur natural beauty generally hamwafikii wahaya (si shindanishi) ila ndiyo ukweli huo..

Najua kuna watu watakuja hapa na dhana ya "beauty is on the eyes of beholder"... wapi bana? shape and colour ndiyo uzuri wa macho ulipo...

Wewe umeona kabila za kuongelea hapa ni Wahaya na Wachaga tu?
Mbona kuna kabila nyingi zipo vizuri tu.
 
Kwenye sex ni mambwambwa... And not good in be

Nlikuwa namasoma kama guest ila nimelazimika kusaini ili nimpinge mkuu hapa.. Wahaya ni wazur kitandan tena sana. Nlibahatika kutoka na mabinti wa kihaya wawili kwa nyakati tofauti kiukweli wote wanaridhisha kwa bed,na mengi aliyosema mtoa mada ni sahihi ila SURA zao majority ni mbaya na wana tabia za kibabe yan anaamini lake ndo sahihi kwa asilimia zote na hawapend kupingwa
 
Pamoja na kwamba kuna ukweli ila kama ni mume wako anatamka haya mbele yako utajisikiaje nisaidieni MankaM embu njoo nisaidie tinna cute Preta KOKUTONA wifi zangu nsadieni mchagga mie sina mume hapa

Hahahahaha!!! japo kuna ukweli hapo mpe adhabu,,,,, mnyime morning groly wiku nzima mpka afute kauli yake
 
Last edited by a moderator:
Wahaya si ndio wanafanya ile biashara pendwa ya buguruni,manzese,sinza na mwananyamala?

Mwandishi, ulitaka kutuaminisha kwamba uzuri wao ndo umepelekea wafanye biashara ile na hvyo kua na uhakika wa kuteka soko eeh...?
 
Beauty is something natural. But smartness can be acquired!!
 
Back
Top Bottom