Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,186
- 3,418
- wahaya hawana kazi za shurba...ndio maana hata umtoe kijijini anakuwa laini...
- kuna aunt yangu alikuja toka bush...ana mng'ao kusema kakulia town...hakuna cha mtoto wa kike kuchunga wala kulisha ng'ombe...hata kilimo ni cha palizi tu sababu ndizi ukipanda umepanda...mikoa mingine mwanamke analima zaidi ya trekta..what do you expect...?
Wabiletwamu