...
na miguu yao ndio huwa inanimaliza yani miguu ya bia haswaaa ...
Wewe nae nyamaza kabla haujapata kipigo
ndoa ipi wewe? hapa ni MMU siyo chit chat eti..
hny! nakusoma vyema ati!!
hunielewi wapi?
au bado unasoma?
naona sasa unavyomtuliza kimahabati!!
afu baadae utajidai umesahau au hujasema haya.
Kwi kwi kwi, ukisikia kulala maskini kuamka tajiri ndio kama hivi.
yaah..halafi ya wasukuma ya konyagi..
mwanamke anaendesha baiskeli na gunia la mahindi kama kilometa 20 kwa nini miguu isiote vigimbi?
Miguu ya bia usukumani ndio ilipo zaliwa.Ukijumlisha na tabia zetu plus ukarimu tisa kumi ile chocolate colour yetu uwiiiii no one like us.....
yaah..halafi ya wasukuma ya konyagi..
mwanamke anaendesha baiskeli na gunia la mahindi kama kilometa 20 kwa nini miguu isiote vigimbi?
nishike leo!! nipo maeneo ya sinza naelekea Mikocheni..
nishike na mimi nifurahi!!
nishike leo!! nipo maeneo ya sinza naelekea Mikocheni..
nishike na mimi nifurahi!!
yes! but i can read between lines..
much worse mnajuana vyeema na miss mmiliki..
Hiyo ni biashara kama nyingine...hata The Hague, Amsterdam wanauza...why not...
Kuuza na 'we niangusege' process ni ile ile...bora huyu wa pili anapata chochote...
hapa hujasema kweli..
Usukumani ni sehemu niliyoishi pia kwa muda mrefu.
wadada wakisukuma hadi kugundua uzuri wake ni shughuli pevu..