If it is mere fabrications then why Muslims are adhering to these marriages called "nikah mut'ah" under the name of Allah!! Why the Sheikhs and Imams are allowing these marriages??Kaka..... there is nothing similar to that in the holy Qur'an or in the teachings of the holy prophet (pbuh) it's mere fublications of the critics of islam.
YAANI HAPA MFANO, UKISOMA BIBLIA HAKUNA SEHEMU AMBAYO INARUHUSU USHOGA LAKINI KUNA MAKANISA YANARUHUSU USHOGA. HAPO HUWEZI KUSEMA UKRISTO NDIO UMEFUNDISHA ILA NI HULKA ZA WATU ILI KUKIDHI MATAKWA YAOIf it is mere fabrications then why Muslims are adhering to these marriages called "nikah mut'ah" under the name of Allah!! Why the Sheikhs and Imams are allowing these marriages??
Kaka...in islam we don't force any one to follow the true teachings of Allah...moreso there pple you call true Muslims but there just Muslim by names similar to Christians all don't practice true Christianity as it's taught in the holy bible...so don't be surprised to see the so called imams doing the opposite of islam.If it is mere fabrications then why Muslims are adhering to these marriages called "nikah mut'ah" under the name of Allah!! Why the Sheikhs and Imams are allowing these marriages??
Hapo ndipo tabu ilipo. Kwa maana hiyo wanatelekeza wake zaoCha kusikitisha huwaacha mabinti wadogo na ujauzito bila msaada
Hapana mkuu "Allah" imanishe Mungu kwa kiarabu fanya utafiti plz
Siwezi kukupa maana kamiri Ila niseme hivi Mungu wanaweza wakawa wengi ila "Allah" ni ahadi moja, very unique ana attributes au sifa 99, kwenye Qura'n kazisome uende utamuelewa zaidi,So what's Allah?
Hakuna mwanadamu, mwanadamu ni hadithi tu.
Kwa sababu, wataalamu wenyewe wa hizo habari za Wayahudi kama Professor James L Kugel,wanaosomahizo habari za mwanzo wa "mwanadamu" na kuumbwa kwa huyo Adam, katika lugha ambayo hizo habari iliandikwa originally, bila kuchakachuliwana tafsiri lukuki, kwa uchambuzi uliopitia chekecheo za kuelewa tamaduni na historia za jamii ambaz
Imani ni kukubali kitu bila uthibitisho.
Unayeharibu uzi ni wewe unayekataa watu wanaochimba mzizi wa mabo.
Kama Mungu hayupo, hizi hadithi nyingine ni za watu tu na hiyo leseni ya "Mungu kasema" inaondolewa.
Tunajua watu wanataka mabikira kwa sababu ya ukware wao tu.
Sasa hapo inakuwaje habari ya Mungu kuwepo iwe kuharibu uzi?
Hususan kama tunaambiwa leseni ya hili jambo ni ya kidini, kama dininzima ni uongo, basi msingi mziama wa leseni ni wa uongo.
Sitaki kujadili matawi ya tatizo kama tunaweza kujadili mzizi wa tatizo.
Mzizi wa tatizo ni watu kuamini Mungu. Ambaye hayupo, wanamtumia kujifurahisha nyege zao za mabikira.
Na hili ni tatizokubwa katika Uislamu.
Hata magaidi wanaambiwa wajiue, wakienda mbinguni watapata mabikira.
Mambo ya imani ni yapi?Ingependeza mambo ya imani yakabaki kuwa ya kiimani.
Mambo ya imani ni yapi?
Mwanamme anapomuingizia dude lake mwanamke bikira kwa ndoa ya muda mfupi ikiyohalalishwa na mtume wa dini, hilo ni jambo la imani au si la imani?
Mungu ni kwao waaminio lakini wasioamini wasipoamini wanahukumiwa?Mie sipo huko, kama utakumbuka wakati unanikuu mwanzo niliandika sisumbuliwi na anachoamini mtu, alimradi sheria zisivunjwe.
Unapotaka samaki apae hewani kama ndege mwenye mabawa ndio tatizo linaanzia hapo. Ukiambiwa Mungu ni kwao waaminio inamaana kama hauamini haikuhusu, na sio kosa. Tatizo ni kutaka uthibitishiwe jambo la kiimani kwa unavyotaka wewe, kinyume na imani.
Hayo mengine kuhusu mabikra kunaweza kuwa na sababu kadha wa kadha zinazopelekea watu kufikia maamuzi ya kufanya hayo mambo ya ndoa za mkataba.
Mungu ni kwao waaminio lakini wasioamini wasipoamini wanahukumiwa?
Kama wameleta mjadala hapa, ni ruhusa kujadili.Hata hilo swali unalouliza bado linaleta maana au kujadilika kwa muktadha wa waaminio.
Kama wameleta mjadala hapa, ni ruhusa kujadili.
Sijaingilia mawaidha msikitini.
Hata wewe ushakuja halafu unachomoa.Wasubiri waje mkuu
Hapana,
Allah mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote angekuwepo, watu wasingekuwa na tofauti katika kumjua.
Kwa nini kuwe na tofauti katika kumjua ikiwa.
1. Ana uwezo wote wa kujiweka wazi kwa wote, uwezo si shida.
2. Ana ujuzi wote wa kujiweka wazi kwa wote, ujuzi si shida
3. Ana upendo wote wa kujiweka wazi kwawote, upendo si shida.
Sasa kwa nini huyo Allah hajajiweka wazi kwa wote kwa namna ambayo haitaleta mgawanyiko katika viumbe wake, si tu wa Shia na Sunni, bali pia wa Wakristo, Waislamu, Wa Buddha etc?
Kwa nini kuwepo tofauti kubwa sana katikakumuelewa huyu Mungu kamakweli yupo, ana uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote?