Soma hapa: Ujue kwamba nchi imepigwa bei

hii system iliyoko madarakani tunatakiwa tuiangalie sana inamaana vizazi vyetu itakuwa matatizo ya ardhi
 
&lt;font size=&quot;3&quot;&gt;tuponguze siasa sasa ni wakati wa kuangalia manufaa ya vitu vinavyofanyaka&lt;br /&gt;<br />
sio kwa sababu kikwete na serikali yake wamekuwa wachemshashi basi kila kitu ni washemshaji&lt;br /&gt;<br />
ili wamepatia labda tu cha kuoji ni huo mkataba unasemaje lakini wawekezaje wameshaweka wazi&lt;br /&gt;<br />
wanalima kwa ajili ya TANZANIA na AFRIKA kwa ujmla sasa tunachotaka ni nini kama sio kilimo cha kisasa&lt;br /&gt;<br />
ili kupata chakula kwa bei nafuu?&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
hii ni move nzuri na inafaa pongezi hiyo ardhi ikijaa miti au kilimo cha mkono kwa miaka 99 kuna faida gani?&lt;br /&gt;<br />
kwanza hao jamaa kulima na kusababusha chakula kupatikana kwa uhakika sio faraja?&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
sio kila kitu kina faida ya moja kwa moja wakiti mwingine faida yake ni ile huduma inayokuja kutolewa kwa mfano hapa chakula nafuu na cha ukakika&lt;/font&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kwa akili yako ya kwaida wewe mtu do you think the population of the Tanzanian will be how much for the coming 99 yrs? Fikiria mkuu vizuri kama currently tupo 44mil je kwa miaka kumi ijayo tutakua wangapi? so hilo pori litoke wapi?

Tatizo c uwekezaji issue ni hyo miaka 99 plus hyo kodi kwa gvt ya kijiji,think twice again nimeona mchango wako huko juu ukisupport so tuishauri gvt hii vzr tusikurupuke hovyo au nawe ndio mwanasheria wa hyo wilaya?
 
Jamani hii serikali ipo makini? Ipigwe dawa(fumigation) iteketee kabisa kama mende!
 
Heri waje, Wabantu wamelala. Kazi ya mbantu ni kusinzia kila baada ya nusu, hawezi kufanya au kusikiliza kitu kwa nusu saa lazima alale.
<br />
<br />
Nawewe umesaidiaje kuokoa hao wabantu waliolala. Anza kwako halafu waponde wenzio ukiwa umetuonesha wewe umefanya nini kama na wewe hujalala.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kwa akili yako ya kwaida wewe mtu do you think the population of the Tanzanian will be how much for the coming 99 yrs? Fikiria mkuu vizuri kama currently tupo 44mil je kwa miaka kumi ijayo tutakua wangapi? so hilo pori litoke wapi? Tatizo c uwekezaji issue ni hyo miaka 99 plus hyo kodi kwa gvt ya kijiji,think twice again nimeona mchango wako huko juu ukisupport so tuishauri gvt hii vzr tusikurupuke hovyo au nawe ndio mwanasheria wa hyo wilaya?

[h=1]United Kingdom country profile[/h]
  • Full name: United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland
  • Population: 61.9 million (UN, 2010)
  • Capital: London
  • Area: 242,514 sq km (93,638 sq miles)
  • Major language: English
  • Major religion: Christianity
  • Life expectancy: 78 years (men), 82 years (women) (UN
  • Tanzania profile


  • Full name: United Republic of Tanzania
  • Population: 45 million (UN, 2010)
  • Capital: Dodoma (official), Dar es Salaam (commercial)
  • Largest city: Dar es Salaam
  • Area: 945,087 sq km (364,900 sq miles)
  • Major languages: English, Swahili
  • Major religions: Christianity, Islam
  • Life expectancy: 57 years (men), 59 years (women) (UN)
  • Monetary unit: 1 Tanzanian shilling = 100 cents
  • Main exports: Gold, sisal, cloves, coffee, cotton, cashew nuts, minerals, tobacco
  • GNI per capita: US $500 (World Bank, 2009)
  • Internet domain: .tz
  • International dialling code: +255

Tuna eneo mara 4 ya UK na huko wako 60x4 = 240 milioni ina maana kwa sasa tungekuwa milioni 240 bado kungekuwa hakuna shida yoyote maana UK hawana shida ya POPULATION na maeneo ya wazi ni mengi mno pamoja na reseve area za kufa mtu
pamoja mabwawa na maziwa ya kutengeneza.
sasa wewe unafikira kwamba tanzania itaendela kuwa masikini kwa mika yote?

lakini hata hivyo kuna tafiti kwamba 2090 watanzania watafika milioni 200
na sasa tungekuwa milioni 240 bado tusingekuwa na shida ya maeneo wewe unaishi kwa kufikiria kuwa na serikali mbovu kama hii ya sasa lakini kama uwekezaje utakuja tuhukubali na tuwekeze kwenye miundo mbinu hii ni pamoja na nyumba za watu kushi fikiria nje ya box

kwa mimi huu uwekezaje naukubali maana najua shida ya chakula wanayopata watu jembe la mkono kamwe halitotutoa katika ili dimbwi la ukosefu wa chakula

mimi naelewa kama mtu hata hoja mimi kilichopokwenye huo mkataba kama vile uwajibikaji na uwajibishwaji kama hao wawekezaji wakifanya kinyume na tuliyokubaliana nayo.
DUBAI imejengwa na wawekezaji
TAIFA KWANZA
 

MpandaArdhi.jpg

SERIKALI INASEMAJE
Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Rajab Rutenge, alitetea uwekezaji huo akieleza kwamba ni wa faida kubwa kwa taifa na wakazi wa maeneo yanayozunguka makazi hayo kwani utaboresha upatikanaji wa chakula nchini.
“Mimi ni mtalaamu wa masuala ya chakula na nchi yetu inakabiliwa na janga la njaa, ni lazima tushirikiane na kampuni ya Agrisol kumaliza tatizo hilo,” alisema.
Kwa upande wake, Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda ambaye ni mmoja wa waliotia saini makubaliano hayo, Patrick Mwakuysa, alisema kampuni hiyo ina lengo la kuongeza uzalishaji wa chakula, masoko na kutengeneza ajira kwa Watanzania.

CHANZO: GUARDIAN ON SUNDAY


[/QUOTE

haya magatezi ya mengi wakati mwengine yanafanya vita ya kibiashara bana kama yeye anataka kuwekaza si aende kuwekeza kwa bei nzuri kila kitu wao wanagomba tu kwa manufaa yao hata kilimanjaro hotel walisema hivyo lakini sasa watu wanakula ajira pale
 
[h=6]An article on a big US-based agri-business company which intends to invest heavily in Tanzania has appeared in some US newspapers, and picked by one of the English weeklies.

According to this article, which the local newspaper gave a screaming headline of US investor set to acquire large chunks of land in Tan...zania, the intention of t...he investor is to bring modern and sustainable agriculture to the country, so that even small holder farmers can learn techniques of the 21st century farming.

The land earmarked for the massive grain and livestock operation is not less than 800,000 hectares.

If things go as planned, the company will secure a 99-year lease of the extensive area for the purpose of growing crops to be sold in the country, the rest of East Africa and other neighbour countries.

Some of the experts and international NGOs specializing in Third World development trends are already sounding an alarm about land grabbing in some countries by foreigners, who take advantage of poverty and corruption in targeted regions to effect their mission.

Question here is: who should have powers to give 800,000 hectares to a foreigner under a 99-year lease????
[/h]


...Kutokana na Kupumbaa kwa WANANCHI na VIONGOZI wa taifa la Tanzania haya yanawezekana.

Wawekezaji ni wafanya bishara.... wanhitaji faida... Wanajaribu kutoa Hoja ya Kijinga .. wakitegea kuona kuwa WANANCHI au VIOGOZI wao watachukua hatua gani!! ... wanajaribu tu kwanza!!

Wakiona tumezubaa na kujikanyaka ...wao wanaenedela na mipango yao!! Kwani wafanye nini ... Si hoja ya kipumbavu na kijinga imekubalika kwa WANANCHI na VIOGOZI wao?
 
Acheni ushamba nyie msiokuwa na shukurani ya kulimiwa chakula. Wewe hujui kuwa nchi mpaka leo ina ardhi kubwa lakini hatujui kulima? Sasa huyu mmarekani akija kulima ili wewe na watoto wenu muwe na vyakula vingi kuna kosa gani? Acgeni kasumba ya nyerere ya kukaataa ma investors kwa kisingizio cha unyonyaji.
Kwa vichwa vitupu kama huyu wallah tutuzwa tu, mungu atusaide vilaza kama hawa wapungue
 
Mpaka miaka dala ipite jk atakuwa keshatumaliza naye keshanunua kisiwa atakachoishi yeye wake zake na nyumba ndogo na watoto na.....na.......
Loool nji hii bwana
 
Wewe ngosha acha wawekezaji waje tupate ajira.Mika 5 sasa mitaani baada ya chuo bila ajira ni mejaribu bodaboda mafuta yanazidi kupanda bei.Bora waje wawekeze kwenye kilimo pengine tutapata vibarua.
hii system iliyoko madarakani tunatakiwa tuiangalie sana inamaana vizazi vyetu itakuwa matatizo ya ardhi
<br />
<br />
 
Afadhali hata hao wakija tutapata chakula na kupunguza utapiamlo, kuliko tuliowapa madini wanakamua peke yao sisi tunaishia kuomba chakula cha msaada. Nchi ishauzwa hii, we fikiria hapo jamaa hadi kuruhusi ardhi yote hiyo kakatiwa bei gani?

Hupati chakula ndugu, utakuwa manamba, and this tyme kodi ya akili itaanzishwa! You look smart you die, you don't have the right to question kama wa-Zenj
 
taarifa zinasema eneo hilo ni kutokaGEITA.

Kwa wanaosoma Geology watakubaliana na mimi,kua kua ukanda wa Green belt,ni dhahabu tupu.
Sasa miaka iyo yote lazma tutaliwa.
Haya maneno yangu hayatasahaulika kama sio Kukumbukwa.
 
hivi serikali inashindwa nini kuwawezesha wawekezaji wazawa? Kuna kasumba ya mkoloni bado intusumbua. Mimi ninaamini huyo mmarekani ametuzidi na mtaji tu, lakini rasilimali watu tunayo, na uthubutu tunao. Mpaka kasumba hii itutoke tutaendelea kuwa watu wa kupelekeshwa na wengine tu.
 
[h=6]An article on a big US-based agri-business company which intends to invest heavily in Tanzania has appeared in some US newspapers, and picked by one of the English weeklies.

According to this article, which the local newspaper gave a screaming headline of US investor set to acquire large chunks of land in Tan...zania, the intention of t...he investor is to bring modern and sustainable agriculture to the country, so that even small holder farmers can learn techniques of the 21st century farming.

The land earmarked for the massive grain and livestock operation is not less than 800,000 hectares.

If things go as planned, the company will secure a 99-year lease of the extensive area for the purpose of growing crops to be sold in the country, the rest of East Africa and other neighbour countries.

Some of the experts and international NGOs specializing in Third World development trends are already sounding an alarm about land grabbing in some countries by foreigners, who take advantage of poverty and corruption in targeted regions to effect their mission.

Question here is: who should have powers to give 800,000 hectares to a foreigner under a 99-year lease????
[/h]


Hii issue nisha itoa kitambo sana na hakuna mtu alichangia ila leo nashukuru mungu watu wameona, tena Skynews TV walitoa na wakasema Kati ya Nchi 7 ambazo serikali zake ziko corrupted kwa kuuza Aridhi kwa wageni Tanzania imo ila cha ajabu Magazeti ya nchi hii haya semi hilo mtu wanje amesema nchi yetu inauzwa wamarekani wanauziwa Aridhi huko Arusha na kisingizio cha kuleta Universities
 
taarifa zinasema eneo hilo ni kutokaGEITA.

Kwa wanaosoma Geology watakubaliana na mimi,kua kua ukanda wa Green belt,ni dhahabu tupu.
Sasa miaka iyo yote lazma tutaliwa.
Haya maneno yangu hayatasahaulika kama sio Kukumbukwa.
Mh, kweli naishiwa maneno. Hivi hao viongozi wetu wamelogwa na nani? Ole wetu Tanzania
 
Mh, kweli naishiwa maneno. Hivi hao viongozi wetu wamelogwa na nani? Ole wetu Tanzania

Msiniambie kuwa mnaogopa kuwa hawa wataanzisha Migodi ya Kinyemela ndani ya mashabma yao?

Mkiniambia kuwa huo ndiyo wasiwasi wenu, basi masikitiko yangu ya uwezo wa watu wetu kujipambanua na mambo makubwa yanayotokea ulimwenguni yataporomoka kabisa.
 
Back
Top Bottom