<br /><br /><font size="3">tuponguze siasa sasa ni wakati wa kuangalia manufaa ya vitu vinavyofanyaka<br /><br />
sio kwa sababu kikwete na serikali yake wamekuwa wachemshashi basi kila kitu ni washemshaji<br /><br />
ili wamepatia labda tu cha kuoji ni huo mkataba unasemaje lakini wawekezaje wameshaweka wazi<br /><br />
wanalima kwa ajili ya TANZANIA na AFRIKA kwa ujmla sasa tunachotaka ni nini kama sio kilimo cha kisasa<br /><br />
ili kupata chakula kwa bei nafuu?<br /><br />
<br /><br />
hii ni move nzuri na inafaa pongezi hiyo ardhi ikijaa miti au kilimo cha mkono kwa miaka 99 kuna faida gani?<br /><br />
kwanza hao jamaa kulima na kusababusha chakula kupatikana kwa uhakika sio faraja?<br /><br />
<br /><br />
sio kila kitu kina faida ya moja kwa moja wakiti mwingine faida yake ni ile huduma inayokuja kutolewa kwa mfano hapa chakula nafuu na cha ukakika</font>
<br />Heri waje, Wabantu wamelala. Kazi ya mbantu ni kusinzia kila baada ya nusu, hawezi kufanya au kusikiliza kitu kwa nusu saa lazima alale.
<br /><br />
<br /><br />
Kwa akili yako ya kwaida wewe mtu do you think the population of the Tanzanian will be how much for the coming 99 yrs? Fikiria mkuu vizuri kama currently tupo 44mil je kwa miaka kumi ijayo tutakua wangapi? so hilo pori litoke wapi? Tatizo c uwekezaji issue ni hyo miaka 99 plus hyo kodi kwa gvt ya kijiji,think twice again nimeona mchango wako huko juu ukisupport so tuishauri gvt hii vzr tusikurupuke hovyo au nawe ndio mwanasheria wa hyo wilaya?
- Full name: United Kingdom of Great Britain and Northern Ireland
- Population: 61.9 million (UN, 2010)
- Capital: London
- Area: 242,514 sq km (93,638 sq miles)
- Major language: English
- Major religion: Christianity
- Life expectancy: 78 years (men), 82 years (women) (UN
- Tanzania profile
- Full name: United Republic of Tanzania
- Population: 45 million (UN, 2010)
- Capital: Dodoma (official), Dar es Salaam (commercial)
- Largest city: Dar es Salaam
- Area: 945,087 sq km (364,900 sq miles)
- Major languages: English, Swahili
- Major religions: Christianity, Islam
- Life expectancy: 57 years (men), 59 years (women) (UN)
- Monetary unit: 1 Tanzanian shilling = 100 cents
- Main exports: Gold, sisal, cloves, coffee, cotton, cashew nuts, minerals, tobacco
- GNI per capita: US $500 (World Bank, 2009)
- Internet domain: .tz
- International dialling code: +255
SERIKALI INASEMAJE
Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Rajab Rutenge, alitetea uwekezaji huo akieleza kwamba ni wa faida kubwa kwa taifa na wakazi wa maeneo yanayozunguka makazi hayo kwani utaboresha upatikanaji wa chakula nchini.
Mimi ni mtalaamu wa masuala ya chakula na nchi yetu inakabiliwa na janga la njaa, ni lazima tushirikiane na kampuni ya Agrisol kumaliza tatizo hilo, alisema.
Kwa upande wake, Mwanasheria wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda ambaye ni mmoja wa waliotia saini makubaliano hayo, Patrick Mwakuysa, alisema kampuni hiyo ina lengo la kuongeza uzalishaji wa chakula, masoko na kutengeneza ajira kwa Watanzania.
CHANZO: GUARDIAN ON SUNDAY
[/QUOTE
haya magatezi ya mengi wakati mwengine yanafanya vita ya kibiashara bana kama yeye anataka kuwekaza si aende kuwekeza kwa bei nzuri kila kitu wao wanagomba tu kwa manufaa yao hata kilimanjaro hotel walisema hivyo lakini sasa watu wanakula ajira pale
[h=6]An article on a big US-based agri-business company which intends to invest heavily in Tanzania has appeared in some US newspapers, and picked by one of the English weeklies.
According to this article, which the local newspaper gave a screaming headline of US investor set to acquire large chunks of land in Tan...zania, the intention of t...he investor is to bring modern and sustainable agriculture to the country, so that even small holder farmers can learn techniques of the 21st century farming.
The land earmarked for the massive grain and livestock operation is not less than 800,000 hectares.
If things go as planned, the company will secure a 99-year lease of the extensive area for the purpose of growing crops to be sold in the country, the rest of East Africa and other neighbour countries.
Some of the experts and international NGOs specializing in Third World development trends are already sounding an alarm about land grabbing in some countries by foreigners, who take advantage of poverty and corruption in targeted regions to effect their mission.
Question here is: who should have powers to give 800,000 hectares to a foreigner under a 99-year lease????[/h]
Kwa vichwa vitupu kama huyu wallah tutuzwa tu, mungu atusaide vilaza kama hawa wapungueAcheni ushamba nyie msiokuwa na shukurani ya kulimiwa chakula. Wewe hujui kuwa nchi mpaka leo ina ardhi kubwa lakini hatujui kulima? Sasa huyu mmarekani akija kulima ili wewe na watoto wenu muwe na vyakula vingi kuna kosa gani? Acgeni kasumba ya nyerere ya kukaataa ma investors kwa kisingizio cha unyonyaji.
<br />hii system iliyoko madarakani tunatakiwa tuiangalie sana inamaana vizazi vyetu itakuwa matatizo ya ardhi
Afadhali hata hao wakija tutapata chakula na kupunguza utapiamlo, kuliko tuliowapa madini wanakamua peke yao sisi tunaishia kuomba chakula cha msaada. Nchi ishauzwa hii, we fikiria hapo jamaa hadi kuruhusi ardhi yote hiyo kakatiwa bei gani?
[h=6]An article on a big US-based agri-business company which intends to invest heavily in Tanzania has appeared in some US newspapers, and picked by one of the English weeklies.
According to this article, which the local newspaper gave a screaming headline of US investor set to acquire large chunks of land in Tan...zania, the intention of t...he investor is to bring modern and sustainable agriculture to the country, so that even small holder farmers can learn techniques of the 21st century farming.
The land earmarked for the massive grain and livestock operation is not less than 800,000 hectares.
If things go as planned, the company will secure a 99-year lease of the extensive area for the purpose of growing crops to be sold in the country, the rest of East Africa and other neighbour countries.
Some of the experts and international NGOs specializing in Third World development trends are already sounding an alarm about land grabbing in some countries by foreigners, who take advantage of poverty and corruption in targeted regions to effect their mission.
Question here is: who should have powers to give 800,000 hectares to a foreigner under a 99-year lease????[/h]
Mh, kweli naishiwa maneno. Hivi hao viongozi wetu wamelogwa na nani? Ole wetu Tanzaniataarifa zinasema eneo hilo ni kutokaGEITA.
Kwa wanaosoma Geology watakubaliana na mimi,kua kua ukanda wa Green belt,ni dhahabu tupu.
Sasa miaka iyo yote lazma tutaliwa.
Haya maneno yangu hayatasahaulika kama sio Kukumbukwa.
Mh, kweli naishiwa maneno. Hivi hao viongozi wetu wamelogwa na nani? Ole wetu Tanzania