whizkid JF-Expert Member Aug 2, 2010 357 240 Aug 4, 2011 #121 Hii topic nilikuwa sijaiona. Juzi nimeanzisha nyingine inayofanana na hii. Soma hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/160407-agriculture-tanzania-on-sale.html
Hii topic nilikuwa sijaiona. Juzi nimeanzisha nyingine inayofanana na hii. Soma hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/160407-agriculture-tanzania-on-sale.html
Untwa Member Jul 15, 2011 30 5 Aug 4, 2011 #122 Bado kidoogo tutaanza kuuzwa sisi watanzania kwa mwendo huu du!
Jefe Member Apr 15, 2011 7 1 Aug 4, 2011 #123 na kibaya zaidi, hii nchi ni ya wote lakini , sisi watoto wa wakulima wa jembe la mkono hatupati chochote.
na kibaya zaidi, hii nchi ni ya wote lakini , sisi watoto wa wakulima wa jembe la mkono hatupati chochote.
Moses Kyando Member Mar 4, 2010 48 7 Aug 5, 2011 Thread starter #124 Serikali sikivu serikali ya CCM ndiyo yenye kuleta neema hizi