Solution ni kuhama, hakuna kitu inaitwa Formal na Informal blessing

Solution ni kuhama, hakuna kitu inaitwa Formal na Informal blessing

Matayo 16:18
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda
Cheo Cha Pope Kiko wapi hapo?

Na Lini Petro alikuwa mkatoliki?
 
Cheo Cha Pope Kiko wapi hapo?

Na Lini Petro alikuwa mkatoliki?
Karne ya kwanza, Siku ya pentekoste ambayo ndiyo Yesu Kristu alipaa mbinguni na mitume wakanena kwa lugha.
 
Karne ya kwanza, Siku ya pentekoste ambayo ndiyo Yesu Kristu alipaa mbinguni na mitume wakanena kwa lugha.
Karne ya kwanza na siku ya pentecoste, Watumishi walikuwa adui wa ukristo wakimtafuta kuwauwa.

Uongo huo.

Ukatoliki asili yake ni upagani, ndomana Hadi Leo hamtengani na masanamu.
 
Salaam, Shalom!!!

Ulimwengu wa sasa una hadaa nyingi sana,

Watu wanaandika waraka, terminology nyiiingi, chenga za kutosha kufunika dhambi.

Marriage/ NDOA, ukitaja tu neno Hilo picha Inakuja ni muunganiko wa Mwanaume na Mwanamke Kwa Tendo TAKATIFU.

Leo wanakuja wahuni wanasema Eti, same sex mar...!!!

Marriage ni kitu kitakatifu, same sex kamwe haiwezi kuwa NDOA/ Marriage.

Wanaokwenda mbali zaidi na kutuambia kuwa Kuna baraka Rasmi( Formal blessing) na Baraka zisizo Rasmi ( Informal blessing).

Hakuna popote katika Neno la Mungu utakuta vitu vya namna hiyo.

Blessing ni blessing./ Baraka ni Baraka.

Curse ni curse/ LAANA ni laana!!

Baraka zisizo Rasmi ni Politics, siasa zinazoingizwa katika Imani.

Ndugu zangu mlioko huko mmekamatika, kimbieni, Shetani mzima mzima ameingia.

Kupinga Si solution, huwezi kumuelekeza tajiri namna ya kutumia pesa zake ilhali we ni kibarua.

Hameni, Hameni hameni 🙏🙏

Mungu wa Mbinguni awabariki.

Karibuni.
DUH!!! NAONA KUNA KAUKWELI FLANI HIVI HALAFU KAUKWELI KENYEWE KANAUMAAAAAAA....!!!!!!!!
 
Picha inaanzia wewe maskini kama hujahudhuria jumuia wanakuzika kwa kukufukia wanakataza kukuombea ila wale matajiri hata wawe na wake 2 na wanatambulika wakifa mambo yao yataenda vizuri watasaliwa bila tatizo lolote daaah hili dhehebu mbona lina sarakasi nyingi utafkiri Chama tawala vile!!!!!!
 
Karne ya kwanza na siku ya pentecoste, Watumishi walikuwa adui wa ukristo wakimtafuta kuwauwa.

Uongo huo.

Ukatoliki asili yake ni upagani, ndomana Hadi Leo hamtengani na masanamu.
Wewe mburula nenda kasome upya Biblia na historia ya kanisa kabla ya kuandika pumba hapa.
 
Hakuna kuchanganyikiwa.

Waliokuwa wanaambiwa juu ya Pope ni anaongozwa na Roho ya mpinga kristo, now uchaguzi uko kwao.

SHERIA na Amri za Mungu hazibadiliki, Jana Leo na hata milele.

USHOGA ni ushetani, kamwe haubarikiwi, mtu akubali kuacha atubu na anasamehewa na anafundishwa maisha ya utakatifu.

Kamwe Dhambi haibarikiwi Kwa Uongo na Hila ya kitu kinachoitwa "Informal blessing".
Mkuu ukifuata wewe sheria hizi nzuri inatosha, ingia mbinguni kwa furaha : Wacha watu waishi maisha waliochagua , usikaze shingo kusikitika mwingine ana ingia motoni maana after all utakuwa mbinguni ukishangilia . Waache wenye POPE waendelee na mtu wao. Enjoy being born again in peace .
 
Karne ya kwanza na siku ya pentecoste, Watumishi walikuwa adui wa ukristo wakimtafuta kuwauwa.

Uongo huo.

Ukatoliki asili yake ni upagani, ndomana Hadi Leo hamtengani na masanamu.
Unatesekea ukiwa wapi , mkuu , mbona kushupaza shingo na sanamu za watu? umefosiwa kuziabudu , If Yes pole , If NO then waache hata wanaoabudu mawe waache

We ushaona wakatoliki wakishupaza shingo kukashifu dini za wenzao? Songa mbele na utakatifu wako na maono yako

Not every belief needs your approval, and not every path requires your commentary.
What someone else chooses to follow does not steal from your purpose, your peace, or your salvation.
It is foolish to be bothered by other people’s choices—if your faith is solid, excellent, and secure, then live by it fully.
Stand firm in what you believe, but do not stress over how others walk their own paths,
because true growth begins with self, not comparison.
 
Back
Top Bottom