Freeland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 14,481
- 10,217
wewe usiyetafuta kiki umemuweka rehab kwa muda gani?Watafuta kiki wakina babu tale wameamua kumuacha jamaa. Walimtoa rehab baada ya mwezi huku msimamizi wa kituo alisema mwezi mmoja hautoshi walau akae hata miezi 6. Pole sana chidi benz, mkono mfururu yaani pahpahpah wamekaa!