Nawewe je!Imani haba..
I will pray to the End...Nawewe je!
Ni Nani aliyekuambia walimtoa rehabWatafuta kiki wakina babu tale wameamua kumuacha jamaa. Walimtoa rehab baada ya mwezi huku msimamizi wa kituo alisema mwezi mmoja hautoshi walau akae hata miezi 6. Pole sana chidi benz, mkono mfururu yaani pahpahpah wamekaa!
Ndio kutafuta kiki kwenyewe huku, kwa hiyo kama alikimbia ndo inahararisha kumuacha? mbona walimpeleka WCB na kutoa nyimbo wakati wanajua kama alikimbia? Huku ni kutafuta kiki na hawakuwa na nia ya kumsaidia wala nini!!!Ni Nani aliyekuambia walimtoa rehab
Wakati yeye mwenyewe alikimbia mpaka kalapina akasema hatojisumbua kumsaidia tena
Mshaanza kuwalaumu watu ,mlaumuni chid mwenyewe
Ghafla nimemkumbuka RayC.Huyo chid benzi kweli anacheza na afya yake kasaidiwa lakini habebeki duh!
Dah nakumbuka Chidi wakati anatoka ghafla tu akapewa tuzo ya Mwanahiphop bora huku akiwa na ngoma mbili tu moja kamshirikisha matonya mpenzi usinipe lawama na nyingine Chidi soo akiwa na Klyn wabongo walinung'unika sana Chid kupewa ile tuzo maana wengi walikuwa hawamfahamu. Ikabidi Chidi awajibu kwa kurelease bonge la ngoma "MMENISOMA"
Acha kumpa rais wa kiume kazi za ajabu ajabu.unamchosha.Rodrigo Duterte aje awe rais wa Tanzania kwa miezi 6 tu kisha arudi zake ufilipino
Alivyoingia madarakani aliwapa wiki 2 drug lords,pushers na mateja wajisalimishe..maalfu ya mateja wakajisalimisha kituo cha polisi na rehab ..hapo wakifanyishwa mazoezi na matibabu
Kisha akatoa amri Wale mateja, pushers, drug lords wabishi wauliwe ..saizi mateja huko ufilipino wamejazana rehab na polisi
Nb:huku Tanzania rais anasema huku anacheka Cheka majina ya wauza unga ninayo lakini siwataji WTF
Rodrigo Duterte njoo tukupe urais miezi 6 tu kisha urudi ufilipino utusafishie taka taka hizi