Sokoine was not a hero, Salim was...

Sokoine was not a hero, Salim was...

na hapa ndipo tatizo letu lilipo kujitetea kusiko na mashiko tatizo hapa ni sera au kukosekana kwa vifaa?

swala ni vifaa kua vibovu sio sera alishikndwa nin huyo mkurugenzi kufanya ubunifu kihakikisha vifaa vinafanya kazi?

ameshindwa kazi aondoke utasemaje ww ni mkurugenzi wa hospitali wakati watu wanakufa hovyo tu bila sababu?

Tumia akili ndogo tu.
Kama hakuna sera ya afya inayowezesha Muhimbili et al kujitegemea kibajeti mtafukuza wakurugenzi kila baada ya wiki na hakuna marekebisho yatakayopatikana milele.
Tatizo hapa ni sera ya afya inayoweza kutatua tatizo la upungufu wa vifaa.
huyo mkurugenzi anayefanya kazi chini ya sera dhaifu akiwa mbunifu kwa kuwataka wagonjwa watoe pesa mtaanza kulia-lia kuwa mmeombwa rushwa.

Pombe na wewe tumieni akili.
 
Sio kweli mkuu wangu...naamini tungekuwa mbali sana...Watu wachache wangeishi kwataabu lkn..Taifa lingekuwa Imara kuzalisha bidhaa zake...Angalia watawala waliotaka shortcut mpaka sasa kuna nini chamaana kimefanyika tunaomba hadi kujengewa VYOO then tunasema tumeendelea hii ni aibu.....!!!

Mimi naamini kuwa maaendeleo ni kwenda mbele. Kuboresha ulichonacho au hali uliyonayo na siyo kurudi nyuma. Ukiwa unaogea sabuni leo ukianza kuogea majani ujuwe unarudi nyuma. Kama wanafunzi wanatumia madawati leo ukiona wanaanza kukaa chini na kuandika kwenye mchanga badala ya daftari unarudi nyuma.

Kama taifa bado tuna matatizo sana. Hakuna sababu ya kuagiza mitumba mpaka leo hii. Kama ikiwezekana nguo tunazoagiza kutoka nje ziongezewe ushuru ili nyingi zishonwe nchini
 
Mjadal huu umeletwa sasa kwasababu bwana Pombe anakimbilia ku-deal na matokeo ya tatizo badala ya kushughulikia chanzo cha tatizo.
Refer issue ya Mkurugenzi wa Muhimbili.
Je sera ya afya iko madhubuti kuwezesha bajeti ya ndani Muhimbili kushuhulikia matatizo yaliyokutwa na Pombe hadi kumtimua mkurugenzi??

Kama umeyapenda ya Magufuli hewala kama hujayapenda hewala.

Damned if you do damned if you don't.

#HapaKaziTu
 
Mimi naamini kuwa maaendeleo ni kwenda mbele. Kuboresha ulichonacho au hali uliyonayo na siyo kurudi nyuma. Ukiwa unaogea sabuni leo ukianza kuogea majani ujuwe unarudi nyuma. Kama wanafunzi wanatumia madawati leo ukiona wanaanza kukaa chini na kuandika kwenye mchanga badala ya daftari unarudi nyuma.

Kama taifa bado tuna matatizo sana. Hakuna sababu ya kuagiza mitumba mpaka leo hii. Kama ikiwezekana nguo tunazoagiza kutoka nje ziongezewe ushuru ili nyingi zishonwe nchini
unataka tuanze kuvaa kaunda suti tena?,,,aah wapi,mitumba iendelee tu,ishu ya kurudi kununu vitambaa kushona suruali nani anaweza tena?
 
Kama umeyapenda ya Magufuli hewala kama hujayapenda hewala.

Damned if you do damned if you don't.

#HapaKaziTu

kazi ya kuwatimua watendaji na kuacha sera mbovu ziendelee kutamalaki ni kazi ya mfalme juha.
Pombe atafukuza wakurugenzi wote kila kukicha na hakuna marekebisho yoyote yatakayopatikana kwakuwa tatizo ni sera na sio watendaji.
 
unataka tuanze kuvaa kaunda suti tena?,,,aah wapi,mitumba iendelee tu,ishu ya kurudi kununu vitambaa kushona suruali nani anaweza tena?

Hiyo mitumba haishonwi? Ukitaka kuvaa Kaunda suti ni juu yako.
 
KVM hata mitumba huko inakotoka inashonwa, lakini inashonwa kwenye viwanda bora mashine za kisasa na ubora wa vitambaa vinavyotumika unakuwa wa hali ya juu sana. Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kushona Jeans kilikuwa kinaitwa Ubungo Garments kilikuwa kinauza nguo zake mpaka Marekani, sasa hivi kimegeuzwa kuwa Ofisi za wanaharakati wa kupigania haki za kijinsia!
 
KVM hata mitumba huko inakotoka inashonwa, lakini inashonwa kwenye viwanda bora mashine za kisasa na ubora wa vitambaa vinavyotumika unakuwa wa hali ya juu sana. Tanzania tulikuwa na kiwanda cha kushona Jeans kilikuwa kinaitwa Ubungo Garments kilikuwa kinauza nguo zake mpaka Marekani, sasa hivi kimegeuzwa kuwa Ofisi za wanaharakati wa kupigania haki za kijinsia!

Sema haki ya mungu?
 
kazi ya kuwatimua watendaji na kuacha sera mbovu ziendelee kutamalaki ni kazi ya mfalme juha.
Pombe atafukuza wakurugenzi wote kila kukicha na hakuna marekebisho yoyote yatakayopatikana kwakuwa tatizo ni sera na sio watendaji.

Naiona hoja lakini Tanzania haina ukosefu wa sera. Tatizo letu limekuwa kutekeleza. Kuna sera nyingi tunaanzisha kwa gharama kubwa lakini zinafanyiwa kazi na akina Kagame.

Kwa nini waumize kichwa wakati tayari kuna mawazo mazuri mahali. Ni kufanya modification za hapa na pale ku suit mazingira yao.
 
Tumia akili ndogo tu.
Kama hakuna sera ya afya inayowezesha Muhimbili et al kujitegemea kibajeti mtafukuza wakurugenzi kila baada ya wiki na hakuna marekebisho yatakayopatikana milele.
Tatizo hapa ni sera ya afya inayoweza kutatua tatizo la upungufu wa vifaa.
huyo mkurugenzi anayefanya kazi chini ya sera dhaifu akiwa mbunifu kwa kuwataka wagonjwa watoe pesa mtaanza kulia-lia kuwa mmeombwa rushwa.

Pombe na wewe tumieni akili.
Kama sera ni mbovu kwa nini huyu mkurugenzi hakuzibadilisha? Kwa nini alikubali kufanya kazi sehemu ambayo kuna sera dhaifu?
 
Mimi naamini kuwa maaendeleo ni kwenda mbele. Kuboresha ulichonacho au hali uliyonayo na siyo kurudi nyuma. Ukiwa unaogea sabuni leo ukianza kuogea majani ujuwe unarudi nyuma. Kama wanafunzi wanatumia madawati leo ukiona wanaanza kukaa chini na kuandika kwenye mchanga badala ya daftari unarudi nyuma.

Kama taifa bado tuna matatizo sana. Hakuna sababu ya kuagiza mitumba mpaka leo hii. Kama ikiwezekana nguo tunazoagiza kutoka nje ziongezewe ushuru ili nyingi zishonwe nchini

Mkuu sizungumzii...kwamba leo tufulie mPAPAI nazungumzia watawala waliopita kwamba walitaka Shortcut...lkn wangefikiria faida ya Miaka zaidi ya 100 leo hii tusingejisifu kwa kuagiza Sabuni Kenya....kumbuka nyakati hizo Nchi ilikuwa bado haijakaa sawa zilikuwa zinatafutwa kila mbinu kuhakikisha km Taifa tunakuwa watu waaina gani...Niambie leo hii...kipi tunaweza kufanya kama Taifa mfano mzuri ni Kiwanda cha ya Nyumbu pale Kibaha watu waikuwa wanayaponda kwasababu tunaweza kugiza VX..unataka kuniambia Serikali ingeweka nguvu yakuboresha Technolojia tungekuwa wapi....Tatizo tuna watawala wenye uwezo mdg wakufikiri...Nch za wenzetu zimeendelea sababu walifikiria zaidi ya Karne kwamba NCHI yao itakuwa wapi think mkuu Utaelewa hoja yangu
 
Ni kweli SAS aliamuru wanajeshi Kufumua sketi walizovaa wanawake au ni stori za mitaani tu ?
 
Kama sera ni mbovu kwa nini huyu mkurugenzi hakuzibadilisha? Kwa nini alikubali kufanya kazi sehemu ambayo kuna sera dhaifu?
usikurupuke hovyo kama Pombe.
hebu fanya research kazi ya kutengeneza sera ni ya nani?
mmesoma shule gani nyie watu??
 
Sema haki ya mungu?
Huo ndiyo ukweli, Ubungo Garments walikuwa wanauza mashati na suruali za Jeans huko Marekani. Kuna wakati Nicodemus Banduka akiwa Meneja wa kiwanda hicho alipata kashfa ya kukihujumu kiwanda. Pembeni yake kikaanzishwa kiwanda cha kufuma nyuzi za kutengenezea vitambaa kikiitwa Ubungo Spinning!
 
Kuna kitu kimejificha kwenye kumpaka matope Sokoine na kumpa credit SAS. Kwa leo tuishie hapo.




Umesahau kuwa kuna watu wameapa kuwa kamwe Kiongozi wa nchi hii hawezi kutoka ......kaz..ini mwa Tanzania.
Jaza hapo utapata majibu ya malengo ya mleta mada.
 
Back
Top Bottom