Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,487
Mmenikumbusha ile sheria ;maarufu ya human resource deployment act,,,au NGUVU KAZI,ilikua maarufuku kuonekana kuonekana mitaani mda wa kazi,,watu walilima kwenye mashamba ya kijiji kwa lazima,,,
licha ya vita vya uhujumu kupamba moto:biashara ya vitu vya magendo toka kenya nayo ilikua imeshika hatamu,
mi nakumbuka SAS ndo alifungua mpaka wa kenya:kwani kipindi anaanza kazi ndo vitu vya kenya vikaanza kupatikana na kuuzwa bila kificho
licha ya vita vya uhujumu kupamba moto:biashara ya vitu vya magendo toka kenya nayo ilikua imeshika hatamu,
mi nakumbuka SAS ndo alifungua mpaka wa kenya:kwani kipindi anaanza kazi ndo vitu vya kenya vikaanza kupatikana na kuuzwa bila kificho