Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,590
- 8,724
The Boss
Candidly umeongea ....
KATIKA Watu wawili waliokubalika zaidi kwenye Jeshi la nchi hii Ni Nyerere ....wa pili wanayemuheshimu ni ....Salim AhMed Salim......., Kama alivyowasaidia wananchi walikuwa uchi ndio hivyo anatambulika jeshini ....Baada ya kutoka vitani ...magari mengi yalifia huko ....mengine yakawa grounded kwa kuwa serikali haikuwa na pesa ya vipuri.
Salim alienda Japan akiwa Prime Minister ....na akaomba msaada kwa kutumia influence yake kupitia rafiki yake ...ambaye walikuwa naye UN ...alipewa magari landcruizer left hand karibu 400 ..mpya ....akaja akagawa kwenye vikosi vyote jeshini .....akawa amewasitiri.
Kuna wakati Hali ilikuwa ngumu sana ...wakati huo tayari mwinyi ameingia na yeye akawa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa ulinzi .....kulitokea mushkel kidogo Kambi kubwa ya Tabora ...sasa kwa kuwa Hali ilikuwa ngumu viongozi wote wakuu wa nchi walijiuma umma kwenda kuongea na Askari ..kuwaeleza Hali halisi Ili wawe wavumilivu ....Ni Salim alienda kule akaongea na vijana wakamuelewa......, ukizingatia Askari wengi wakitaka yeye awe Rais na hakuwa ....angekuwa Sio mzalendo ....angeweza kuasi na akaongwa mkono ...
Kwa kifupi hata kitendo cha salim kupigiwa chapuo ..kwenda OAU ...KUNA msukumo mkubwa wa wahafidhina ambao walihakikisha hawi Rais ..1985 ...wakiamini kwa u maarufu aliokuwa nao Ndani ya jeshi na system nzima .....na kukubalika kwake na wananchi alikuwa na nafasi kubwa ya kuweza hata kumuondoa Mzee mwinyi 1990 au kuwa candidate alipomaliza muda wake 1995.
Kama mpango wa Mwalimu kumuachia Salim nchi 1985 ungefaulu alikuwa Ni the right person kufanya mabadiliko ya sera ...kutokna na kuwa na elimu mzuri ..exposure ...na kukubalika sana kimataifa.
Ijulikane kuwa Nyerere alitaka mtu wa kufanya reforms mbali ya yeye ....na aliamini kwa salim na Sio mtu mwingine ...., makosa aliyofanya Mzee mwinyi kwenye reforms ...Sio ya makusudi ...Bali alijitahidi kadiri ya uwezo wake ..
Candidly umeongea ....
KATIKA Watu wawili waliokubalika zaidi kwenye Jeshi la nchi hii Ni Nyerere ....wa pili wanayemuheshimu ni ....Salim AhMed Salim......., Kama alivyowasaidia wananchi walikuwa uchi ndio hivyo anatambulika jeshini ....Baada ya kutoka vitani ...magari mengi yalifia huko ....mengine yakawa grounded kwa kuwa serikali haikuwa na pesa ya vipuri.
Salim alienda Japan akiwa Prime Minister ....na akaomba msaada kwa kutumia influence yake kupitia rafiki yake ...ambaye walikuwa naye UN ...alipewa magari landcruizer left hand karibu 400 ..mpya ....akaja akagawa kwenye vikosi vyote jeshini .....akawa amewasitiri.
Kuna wakati Hali ilikuwa ngumu sana ...wakati huo tayari mwinyi ameingia na yeye akawa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa ulinzi .....kulitokea mushkel kidogo Kambi kubwa ya Tabora ...sasa kwa kuwa Hali ilikuwa ngumu viongozi wote wakuu wa nchi walijiuma umma kwenda kuongea na Askari ..kuwaeleza Hali halisi Ili wawe wavumilivu ....Ni Salim alienda kule akaongea na vijana wakamuelewa......, ukizingatia Askari wengi wakitaka yeye awe Rais na hakuwa ....angekuwa Sio mzalendo ....angeweza kuasi na akaongwa mkono ...
Kwa kifupi hata kitendo cha salim kupigiwa chapuo ..kwenda OAU ...KUNA msukumo mkubwa wa wahafidhina ambao walihakikisha hawi Rais ..1985 ...wakiamini kwa u maarufu aliokuwa nao Ndani ya jeshi na system nzima .....na kukubalika kwake na wananchi alikuwa na nafasi kubwa ya kuweza hata kumuondoa Mzee mwinyi 1990 au kuwa candidate alipomaliza muda wake 1995.
Kama mpango wa Mwalimu kumuachia Salim nchi 1985 ungefaulu alikuwa Ni the right person kufanya mabadiliko ya sera ...kutokna na kuwa na elimu mzuri ..exposure ...na kukubalika sana kimataifa.
Ijulikane kuwa Nyerere alitaka mtu wa kufanya reforms mbali ya yeye ....na aliamini kwa salim na Sio mtu mwingine ...., makosa aliyofanya Mzee mwinyi kwenye reforms ...Sio ya makusudi ...Bali alijitahidi kadiri ya uwezo wake ..
Last edited by a moderator: