Sokoine was not a hero, Salim was...

Sokoine was not a hero, Salim was...

The Boss

Candidly umeongea ....

KATIKA Watu wawili waliokubalika zaidi kwenye Jeshi la nchi hii Ni Nyerere ....wa pili wanayemuheshimu ni ....Salim AhMed Salim......., Kama alivyowasaidia wananchi walikuwa uchi ndio hivyo anatambulika jeshini ....Baada ya kutoka vitani ...magari mengi yalifia huko ....mengine yakawa grounded kwa kuwa serikali haikuwa na pesa ya vipuri.

Salim alienda Japan akiwa Prime Minister ....na akaomba msaada kwa kutumia influence yake kupitia rafiki yake ...ambaye walikuwa naye UN ...alipewa magari landcruizer left hand karibu 400 ..mpya ....akaja akagawa kwenye vikosi vyote jeshini .....akawa amewasitiri.

Kuna wakati Hali ilikuwa ngumu sana ...wakati huo tayari mwinyi ameingia na yeye akawa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa ulinzi .....kulitokea mushkel kidogo Kambi kubwa ya Tabora ...sasa kwa kuwa Hali ilikuwa ngumu viongozi wote wakuu wa nchi walijiuma umma kwenda kuongea na Askari ..kuwaeleza Hali halisi Ili wawe wavumilivu ....Ni Salim alienda kule akaongea na vijana wakamuelewa......, ukizingatia Askari wengi wakitaka yeye awe Rais na hakuwa ....angekuwa Sio mzalendo ....angeweza kuasi na akaongwa mkono ...

Kwa kifupi hata kitendo cha salim kupigiwa chapuo ..kwenda OAU ...KUNA msukumo mkubwa wa wahafidhina ambao walihakikisha hawi Rais ..1985 ...wakiamini kwa u maarufu aliokuwa nao Ndani ya jeshi na system nzima .....na kukubalika kwake na wananchi alikuwa na nafasi kubwa ya kuweza hata kumuondoa Mzee mwinyi 1990 au kuwa candidate alipomaliza muda wake 1995.

Kama mpango wa Mwalimu kumuachia Salim nchi 1985 ungefaulu alikuwa Ni the right person kufanya mabadiliko ya sera ...kutokna na kuwa na elimu mzuri ..exposure ...na kukubalika sana kimataifa.

Ijulikane kuwa Nyerere alitaka mtu wa kufanya reforms mbali ya yeye ....na aliamini kwa salim na Sio mtu mwingine ...., makosa aliyofanya Mzee mwinyi kwenye reforms ...Sio ya makusudi ...Bali alijitahidi kadiri ya uwezo wake ..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu,boss mimi nakupinga kwa 100% kila mtu alifanya kulingana na anavyo amini sokoine na nyerere waliamini ktk sera ya ujamaa,hvyo kutokana na ile vita kuathiri uchumi wa nchi waliona kukubali sera za ubepari ni sawa na kujiwekea kitanzi waliamini wananchi ni lazima wavumilie hali iliyokuwepo huku serikali ikiwa inatafuta suruhisho mojo wapo ni kubana matumizi ya serikali.
Kumbuka sera za IMF na WB tulizo zikubali ndo zinatutesa mpaka sasa.
Emu nikuulize,unahisi deni tulilo nalo sasa la zaidi ya Trillion 36 litakuja kuisha lini?
Sera za ubepari zinaua uchumi wa nchi nyingi duniani sasa leo utasemaje zilikuwa nzuri.nyerere aliliona hilo na ni kweli ndivyo inatokea.hatuta kuja kupata uchumi unaojitegemea hata kidogo
Nchi gani imefanikiwa kwa sera ya ujamaa na kujitegemea?
 
Watu walishaanza kutembea uchi. Leo labda tungekuwa tuanaishi mapangoni.

Sio kweli mkuu wangu...naamini tungekuwa mbali sana...Watu wachache wangeishi kwataabu lkn..Taifa lingekuwa Imara kuzalisha bidhaa zake...Angalia watawala waliotaka shortcut mpaka sasa kuna nini chamaana kimefanyika tunaomba hadi kujengewa VYOO then tunasema tumeendelea hii ni aibu.....!!!
 
Mkuu hivi unajua wakati wa uhaba wa Bidhaa ndio kipindi watu walibuni kufua nguo kwa Majani ya mPAPAI unadhani tungeendelea na zile dhiki mpaka leo tungekuwa wapi au hujui shida inamfanya MTU aongeze kiwango chakufikiri.... manake kutokana na shida ubunifu ungekuwa mkubwa Unajivunia kuagiza bidhaa za Kenya huoni kwamba akili zimegandia hapo Inafikia hatua Rais wa NCH anaamini ktk kuomba...ili kuongoza Taifs..lake...ni UJINGA...Hapa ndipo tulipokwamia......

kwa hiyo tungendelea kufua kwa mipapai wakati sabuni zipo hapo kenya ebo!!! ni bora tuimport mpaka tupate innovation mpya ya kwetu. kwani ukiimport inazuia vipi kubuni vya kwetu? wala sidhani importation ndio iliua viwanda vyetu ila hatukujipanga kuviendesha kitaalamu.

yaani kiwanda wajumbe wa bodi wote ni wanasiasa tena wapiga dili unategemea nini hapo km si kinakufa tu.

hata sasa wakianzisha viwanda wakaweka watu ambaao wao kazi ni kuitisha vikao vya bodi na kugawana posho havitachukua mwaka kufa
 
Sibonike na mtanzania1989 sielewi ni kwa nini mnadhani lengo la The Boss ni kumsema Magufuli. Mimi simtetei the boss lakini kwa nini watu mnakuwa kama vile kila wakati mnawaza Magufuli anaonewa na anatakiwa kupewa ulinzi wa ziada?

Mkuu, asiye haki, mwenye hila na unyang'anyi haishi kuweweseka. Yeye binafsi pamoja nao wote wazikubalio hujuma zake .
 
Last edited by a moderator:
Sio kweli mkuu wangu...naamini tungekuwa mbali sana...Watu wachache wangeishi kwataabu lkn..Taifa lingekuwa Imara kuzalisha bidhaa zake...Angalia watawala waliotaka shortcut mpaka sasa kuna nini chamaana kimefanyika tunaomba hadi kujengewa VYOO then tunasema tumeendelea hii ni aibu.....!!!

kwa nini unasema tungekua mbali? kuna uhusiano gani kati ya watu kuishi kwa tabu na kuzalisha bidhaaa zetu wenyewe?

kwani tusipoishi kwa tabu tungeshindwa nini kuzalisha?

tatizo hata technologia tulizokua tukitumia zilikua outdated hivyo kuzalisha kwa gharama kubwa wakati kitu hicho hicho kutoka nje ya nchi kinapatikana kwa bei chee

pia watu tuliowapa kusimamia hivyo viwandavyetu walikua wapigaji tu yaani kiwanda kinazalisha ikifika wakati wa kubadili technology kupata ya kisasa aidi hamna pesa unataraji kitaendelea? na hivyo ndivyo viwanda vyetu vilikufa kwakushindwa kupata technologia ya kuzalisha kwa gharama nafuu sababu watu walukua wanajilipa posho za vikao na wala sidhani km ni sababu ya kuingiza vitu kutoka nje
 
Wacha kupotosha, mageuzi ya kiuchumi yalitokana na report ya tume ya Paul Bomani, report ile iliainisha mambo mengi ya kufanyia kazi, hii ilitokana na kufeli kwa sera za sokoine.

hiyo repoti ilijibadilisha yenyewe into action?
kuwa mwelewa wewe viongozi ndio wachukua uamuzi, suala ni Salim au Sokoine?
 
Naamini mleta mada hakuwepo wakati wa sokoine na SAS.

Analeta story za kuambiwa.
 
Kinachoonekana kuwepo kwa wakati huo na kushuhudia kilichokuwa kikiendelea si sababu ya uelewa wa mambo.
 
kwa hiyo tungendelea kufua kwa mipapai wakati sabuni zipo hapo kenya ebo!!! ni bora tuimport mpaka tupate innovation mpya ya kwetu. kwani ukiimport inazuia vipi kubuni vya kwetu? wala sidhani importation ndio iliua viwanda vyetu ila hatukujipanga kuviendesha kitaalamu.

yaani kiwanda wajumbe wa bodi wote ni wanasiasa tena wapiga dili unategemea nini hapo km si kinakufa tu.

hata sasa wakianzisha viwanda wakaweka watu ambaao wao kazi ni kuitisha vikao vya bodi na kugawana posho havitachukua mwaka kufa

Mkuu...tangu tuanze kuiMport kuna kipi cha maana kimefanyika....Nakwambia hivi kama tungeishi kwa dhiki watu akili zingekaa sawa wee unaamini ktk kuagiA bidhaa....manake maisha siutayaona rahisi nandio kilichotokea niambie tangu wakati huo hadi leo....mnaagiza hadi Toothpick ni ujinga
 
Wengi hawakuwepo wakati huo wanafata wanayoyasoma au kuyasikia ambayo mengi yamebadilishwa uhalisia wake.

A question to you, why now?

Mjadal huu umeletwa sasa kwasababu bwana Pombe anakimbilia ku-deal na matokeo ya tatizo badala ya kushughulikia chanzo cha tatizo.
Refer issue ya Mkurugenzi wa Muhimbili.
Je sera ya afya iko madhubuti kuwezesha bajeti ya ndani Muhimbili kushuhulikia matatizo yaliyokutwa na Pombe hadi kumtimua mkurugenzi??
 
....Sokoine was a 'hero" in fulfilling his responsibilities as PM of his country TZ....Dr. Salim was likewise a 'hero' in fulfilling his duties as a diplomat for his country TZ....both achieved the best in fulfilling their herein mentioned tasks...However, Dr. Salim was not a better PM when compared to Sokoine....Sokoine was the best PM this country has ever had....this is fact...
 
Mkuu...tangu tuanze kuiMport kuna kipi cha maana kimefanyika....Nakwambia hivi kama tungeishi kwa dhiki watu akili zingekaa sawa wee unaamini ktk kuagiA bidhaa....manake maisha siutayaona rahisi nandio kilichotokea niambie tangu wakati huo hadi leo....mnaagiza hadi Toothpick ni ujinga

tueleze kwa ushahidi ni namna gani kuingiza bidhaa kumetuzuia kutengeneza za kwetu

tatizo sio kuingiza bidhaa ila ubunifu wetu ndio mdogo na hakuna ushahidi kwamba watu wakiteseka watakua wabunifu km ni hivyo kutokana na vita kila siku katika nchi za uarabuni ambazo nyingi zinaghrimu maisha yako wasingekua wao ndio waanzilishi wa vita ktk nchi zao wangejifunza

bongo zetu zimelala tu hata tukikaa na shida vipi hatutoki tujiongeze kivingine
 
Nimepitia comment zote na nimechanganya niliyoyasoma kwenye vitabu vya nje na ndani, pamoja na kushuhudia niliyoyaona wakati huo na ninayoyaona sasa, Tatizo la viongozi wote waliopita walikua hawana maono ya mbali kwa miaka mia moja au mbili zijazo ndio maana hawakujenga mifumo ya kutufikisha huko, kila mmoja anakuja la kwake na anaondoka nalo, walikua wanafanya kwa wakati huo basi, na ndio maana hawakukaa na kufikiri ni mfumo gani wa uchumi utalifaa taifa kwa miaka mia moja, waliochukua ubepari ndio waliofanikiwa kwani mfumo huu unataka watu washindane mshindi atakua boss na aliyeshindwa atakua mfanyakazi, lakini alipwe vizuri na ataishi vizuri.

Lakini ujamaa unafanya akili za watu kudumaa kwani hakuna ushindani mnatakiwa muwe sawa kufikiri, kuvaa, kulala nk, ukijitahidi kufikiri zaidi unapigwa ili uende chini huu ni ujinga, na ndicho kinachotugharimu sasa hivi hata Magufuli ukimuangalia kwa ndani na hata hizi siku chache kazini na kauli zake ni za kijamaa, hata viongozi serekalini hawezi kuweka mifumo ya ushindani ili wasitumie nguvu nying kushindana, na hilo utagundua ukienda kwenye office za serekali na watu binafsi.

Kwenye sector binafsi wanataka ushindani, serekalini hawataki, hivyo kuna vita vikali kwani serekali ambaye ni msimamizi na mtunga sera hataki ushindani hivyo wafanyakazi wa serekali wanapata shida sana wakitakiwa kuhudumia sector binafsi.

Nashauri Magufuli atafute washauri binafsi kuhusu uchumi, elimu, afya, na hawa watu watoke Israel, USA, Japani, Germani na Singapore. Hawa wana hekima, uzoefu na bidii kwani watakua na mkataba na wanalipwa hivyo lazima pawe na matokeo yaliyokubaliwa ndio wapate malipo yao, watashauri na kutekeleza mifumo na namna ya utekelezaji inayofaa.

Lakini akishikana na wabongo tutaona miaka mitano inaisha tunashangilia kutembelea hospital, kama wametoka ulaya kumbe wamezaliwa bongo, wamekulia bongo na wanazeekea bongo.
 
Mjadal huu umeletwa sasa kwasababu bwana Pombe anakimbilia ku-deal na matokeo ya tatizo badala ya kushughulikia chanzo cha tatizo.
Refer issue ya Mkurugenzi wa Muhimbili.
Je sera ya afya iko madhubuti kuwezesha bajeti ya ndani Muhimbili kushuhulikia matatizo yaliyokutwa na Pombe hadi kumtimua mkurugenzi??

na hapa ndipo tatizo letu lilipo kujitetea kusiko na mashiko tatizo hapa ni sera au kukosekana kwa vifaa?

swala ni vifaa kua vibovu sio sera alishikndwa nin huyo mkurugenzi kufanya ubunifu kihakikisha vifaa vinafanya kazi?

ameshindwa kazi aondoke utasemaje ww ni mkurugenzi wa hospitali wakati watu wanakufa hovyo tu bila sababu?
 
Viwanda viliuawa na wapiga deal,hadi salum anakamata uwaziri mkuu hali ya mashirika ya umma ilikua hoi,watu walikua wanajilia tu,walifanya la maana sana kuruhusu uchumi wa soko huria na ubinafsishaji,sasa hatujambo kiviwanda mpaka bidhaa za kenya zinastruggle sana kupata market sikuhizi,wala hakuna mtu anahangaika kuingiza sabuni,mafuta au ngano ya magendo toka kenya,maana vinatengezwa hapahapa
 
Back
Top Bottom