He was a traitor and not a Liberator/ opposition

He was a traitor and not a Liberator/ opposition

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
51,819
Reaction score
100,981

Freeman Mbowe Aonekana Kwenye Uzinduzi wa Kituo cha Julius Nyerere​

Global Publishers

Hata kama umeondok, kama ilikuwa unaamini kwenye Liberation, una damu ya kutetea HAKI kama ulivyojinadi kwa zaidi ya miaka 30, huwezi kuungana na watesi wa wananchi kwa lolote.
1787390826791.jpeg
 
Kinachoumiza alikuwa anajua kabisa dhamira yake haikuwa ya ukombozi lakini bado akasababisha familia nyingi sasa hivi hazina ndugu zao.

Waendelee kupumzika kwa amani wakina Ben Saanane, Mawazo, Soka, Mzee Kibao na wengine wote waliouawa wakimuamini huyo mshenzi
 
Sokuwahi kuamini katika tuhuma za kimakabila, ila naanza kushawishika haya Makabila yana ushenzy:

1. Wanyiramba - Malaya.
2. Wamachame - Hila.
3. Wanyaturu - Malaya.
Wachagga waruteri hawanaga ustaarabu mbele ya pesa. Angalia jinsi askofu Shoo alivyo badilika ghafla baada ya kumwagiwa noti na Samia
 
Kinachoumiza alikuwa anajua kabisa dhamira yake haikuwa ya ukombozi lakini bado akasababisha familia nyingi sasa hivi hazina ndugu zao.

Waendelee kupumzika kwa amani wakina Ben Saanane, Mawazo, Soka, Mzee Kibao na wengine wote waliouawa wakimuamini huyo mshenzi
Umegusa roho yangu. WATOTO wa wati walikufa kumuunga mkono "mtetea haki",.kumbe ni traitor!
 
Kinachoumiza alikuwa anajua kabisa dhamira yake haikuwa ya ukombozi lakini bado akasababisha familia nyingi sasa hivi hazina ndugu zao.

Waendelee kupumzika kwa amani wakina Ben Saanane, Mawazo, Soka, Mzee Kibao na wengine wote waliouawa wakimuamini huyo mshenzi
Kweli kabisa hicho kitu kinaniuma saana mwenyezi Mungu ampe kinachomstahili Amina
 
Umegusa roho yangu. WATOTO wa wati walikufa kumuunga mkono "mtetea haki",.kumbe ni traitor!
Nafikiri huna sababu ya kumkasirikia kiasi hicho, kama aliongea ukweli wakati huo na ukaamini kuwa una wajibu wa kupambana kwaajili ya nchi yako, sasa hapo lawama ya nini tena,
It's a big disappointment kweli lakini ni somo.
Ni lazima kila mtu ajue lengo la pambano kabla hujaingia,
Maana wengi hapa wanapigana kwaajili ya Heche, Lissu, n.k
Guess what, the same kind of disappointment inaweza kuja hata kama hatuioni.

Namaanisha nini?
Lazima kila mmoja ajue anachokipigania, ili tuungane na wanaopigana upande mmoja na sisi.Na sio kuwabebesha mzigo watu wachache ambao ni wanadamu kama sisi.
 

Freeman Mbowe Aonekana Kwenye Uzinduzi wa Kituo cha Julius Nyerere​

Global Publishers

Hata kama umeondok, kama ilikuwa unaamini kwenye Liberation, una damu ya kutetea HAKI kama ulivyojinadi kwa zaidi ya miaka 30, huwezi kuungana na watesi wa wananchi kwa lolote.
View attachment 3654848
Mkuu mbona unalazimisha mtazamo wako ndiyo uwe mtazamo wa kila Mtanzania, na adui yako we adui wa kila mtu?
Kila mtu ana namna yake ya kuyaendea mambo na usilazimishe kuwa na universal perception juu ya mtu ama jambo fulani.
Tafuta pesa mwanangu, ni umasikini ndiyo unafanya uwe na chuki hata kwa watu ambao hawajakukosea. Njaa ina tabia ya kuleta hasira
 

Freeman Mbowe Aonekana Kwenye Uzinduzi wa Kituo cha Julius Nyerere​

Global Publishers

Hata kama umeondok, kama ilikuwa unaamini kwenye Liberation, una damu ya kutetea HAKI kama ulivyojinadi kwa zaidi ya miaka 30, huwezi kuungana na watesi wa wananchi kwa lolote.
View attachment 3654848
Naaah he is just a business man, and you know business man dont have sides just anyone who pays more
 
Back
Top Bottom