peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,827
- 21,447
Akifa mkuu unijulishe nikamchimbie kaburiWacha tu
Akifa mkuu unijulishe nikamchimbie kaburiWacha tu
Tulikutana pale enzi hizo FacultyDr. A.J.P Tarimo?
Matee alikuwa mtu wa mungu. Tarimo sijajua Kwanini hafiAliyekufa jana ni Prof. Amon Mattee, akifundisha Agricultural Extension, sijui siku hizi masomo yale yanaitwa vipi.
Basi namuombea msamahaMatee alikuwa mtu wa mungu. Tarimo sijajua Kwanini hafi
Aisee watu wa MainProf. Shirima
AJP Tarimo au classmate wangu?Anafundisha masomo gani mkuu?
Kwa sasa sifahama masomo anayofundisha, mimi kanifundisha miaka ya 2005 - 2007 na enzi hizo syllabus ilikuwa haijabadilika (ukicheki prospectus siku hizi degree programs zimeingiziwa masomo mapya mengi sana).Tarimo
Du! Mm crop physiology nilifundishwa na Dr Kimbi; na Dr Mrema kanifundisha Soil Chemistry. Inawezekana Tarimo alikuwa mnoko sana aisee, sio kwa kuchukiwa huko!Kwa sasa sifahama masomo anayofundisha, mimi kanifundisha miaka ya 2005 - 2007 na enzi hizo syllabus ilikuwa haijabadilika (ukicheki prospectus siku hizi degree programs zimeingiziwa masomo mapya mengi sana).
Enzi hizo alitufundisha course mbili: Principles of Agronomy & Crop physiology
Hahahaaaa, soil chemistry pia nimefundishwa na Mrema (mzee wa kutembea ananesa ). Tarimo alikuwa mzuri sana na mimi sikuwahi ku-experience any hardship dhidi yake.Du! Mm crop physiology nilifundishwa na Dr Kimbi; na Dr Mrema kanifundisha Soil Chemistry. Inawezekana Tarimo alikuwa mnoko sana aisee, sio kwa kuchukiwa huko!
Anatembea kama vile anatoka nje ya darasa kumbe bado yupo ndani........hatari!! 🤣 😅 😂Hahahaaaa, soil chemistry pia nimefundishwa na Mrema (mzee wa kutembea ananesa ). Tarimo alikuwa mzuri sana na mimi sikuwahi ku-experience any hardship dhidi yake.
Mzee wa Cation Exchange Capacity (CEC)Anatembea kama vile anatoka nje ya darasa kumbe bado yupo ndani........hatari!!
Sio kwa hasira hizo mkuu. Alikudisco?
Hapana Mkuu,alimla demu wangu na mimba juu.alimlala Demu wangu.