Sokoine University of Agriculture (SUA) special Thread

Wengi waliambulia kufa HIV Walkman’s hapo kwa ajili ya frustration Za kimaisha baada ya kumaliza
 
Unasomea kozi miaka 3 ukisota then unatafuta kazi maisha yako yote bila mafanikio
Wengi tulikuwa tunajaza kwenda SUA bila kujua tunakwenda kusoma nini (labda wale ambao tayari walikuwa na diploma). Halafu mtu anakomaa lazima atafute kazi (mfano) ya kilimo kama amepata degree hiyo wakati angeweza kutafuta options nyingine akaendelea na masomo ya juu.
 
Back
Top Bottom