peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,773
- 21,325
Wengi waliambulia kufa HIV Walkman’s hapo kwa ajili ya frustration Za kimaisha baada ya kumaliza
Alisoma sua probably alimaliza 1994 au 1993Amehitimu mwaka gani? Sikumbuki kama alisoma SUA
Je munaelewa historia yake kwamba kilianza kama chuo kinatoa diploma ya kilimo, baadae kikageuzwa kuwa Faculty of Agriculture, Forestry and Vet Sciences (kama sehemu ya UDSM) na ndiyo mwaka 1984 kikazaliwa kama SUA?Ahsante mkuu kwa kuweka huu uzi muhimu kwa Chuo chetu hiki.
Huyu jamaa bado yupo tu? Alinifundisha Soil Science mwaka 1979 kipindi hicho akiwa na Masters degree.Dr shayo Ngowi yupogo?alikuwa soil science
Kivipi?SUA imepotezea watu Muda na maisha mkuu. Asikuambie mtu
Unasomea kozi miaka 3 ukisota then unatafuta kazi maisha yako yote bila mafanikioKivipi?
Duh, mwenyezi Mungu amsaidie!Sure nasikia amepata cancer ya Mguu kwaiyo walikukata
Mkuu ShikamooHuyu jamaa bado yupo tu? Alinifundisha Soil Science mwaka 1979 kipindi hicho akiwa na Masters degree.
Marahaba kijana. Ni kweli kabisa tulikuwa tunakimbizana sana na zile annual exams. Ningeamua kubaki pale ningekuwa Profesa mstaafuMkuu Shikamoo
Enzi hizo mnagonga mitihani ya annual na terminal (hapakuwa na semester system). Ikiwa chini ya UDSM
Wengi tulikuwa tunajaza kwenda SUA bila kujua tunakwenda kusoma nini (labda wale ambao tayari walikuwa na diploma). Halafu mtu anakomaa lazima atafute kazi (mfano) ya kilimo kama amepata degree hiyo wakati angeweza kutafuta options nyingine akaendelea na masomo ya juu.Unasomea kozi miaka 3 ukisota then unatafuta kazi maisha yako yote bila mafanikio
Dr. A.J.P Tarimo?Dr Tarimo yupogo?
YapDr. A.J.P Tarimo?
Hili lijamaa lipogo?Dr. A.J.P Tarimo?
Kuna classmate wangu ni Dr sasa hivi aliniambia jamaa bado yupo na anaendelea kufundisha japo kwa mikataba.
Bora ungeniambia alizeeka akafaKuna classmate wangu ni Dr sasa hivi aliniambia jamaa bado yupo na anaendelea kufundisha japo kwa mikataba.
Kazeeeka saana!
Acha hizo bwana, jamaa bado anadunda, alikupeleka kwenye tuta nini?Bora ungeniambia alizeeka akafa
Wacha tuAcha hizo bwana, jamaa bado anadunda, alikupeleka kwenye tuta nini?
Hongera Classmate wake na Mwaisashukrani mkuu kwa kupata wazo hili,pili ninajivunia kuwa zao la SUA,Zao lenye tija kwa jamii na taifa pia