google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,629
- 13,694
Waisome mara ngapi ? Sasa hivi ni kufa na kupata magonjwa yasiyoambukizaHao wafanya biashara lazima waisome namba
Sent using Jamii Forums mobile app
Waisome mara ngapi ? Sasa hivi ni kufa na kupata magonjwa yasiyoambukizaHao wafanya biashara lazima waisome namba
Watanzania huwa tunapenda kuishi kwa kukariri
Mtu ana duka lina bidhaa zenye thamani ya milioni 20,haweki bima ya moto,ukiamka ukikutana na moto kama huu lazima upate kiharusi
Mkuu upo nyuma sana!bima ya bongo au ulaya?.
utazungushwa mpaka uone kizunguzungu na hvyo ni shot ya umeme.watakwambia kawadai tanesco.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe yaani ni bure kabisa ha ha haKuna dada mmoja anauza supu kwenye zile fremu za stand ana mzigooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona mbali.Una upeo mkubwa wa kufikiri.Au ndio zile sinema za kutuhamisha raia tusifatilie kikao cha Zitto na waandishi wa habari kesho nini?
Yani hata hewa utaanza kulipiwa kodiNawaza tu maisha ya saivi yalivyo magumu halafu unaanza tena upya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni huwa wanafanya hivyo...Hapo ukija kuchunguza sana..utaambiwa waliambiwa wahame wakazingua....sasa hiyo ndio style ya kuwahamisha
Mkuu Tanzania ina watu wanakaribia 60 M,wanaojua zito anafanya nini hawafiki hata 2M.So usifikir taifa zima linamuwaza ZitoAu ndio zile sinema za kutuhamisha raia tusifatilie kikao cha Zitto na waandishi wa habari kesho nini?
Wenye update naombeni mtujuze...
Poleni kwa wafanyabihashara wa hapo
Kuna dada mmoja anauza supu kwenye zile fremu za stand ana mzigooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ukija kuchunguza sana..utaambiwa waliambiwa wahame wakazingua....sasa hiyo ndio style ya kuwahamisha
YaaanNawaza tu maisha ya saivi yalivyo magumu halafu unaanza tena upya
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe yaani ni bure kabisa ha ha ha