Nashindwa kuandika nianzie wapi na niishie wapi!
Soko la Tegeta nyuki, ni soko linalovutia funza, inzi wa ajabu na kila aina ya wadudu
Halafu serikali inataka tujivunie eti tunaviongozi bora? Kwa lipi?
Mbunge wa eneo hilo naye yupo yupo tu na hana msaada wowote! Inakuwaje soko Liwe vile?
Ni soko chafu lililojaa maji machafu na tope jeusi la kutisha,
Halafu eti serikali inachukua ushuru pale! Inazipeleka wapi?
Ni soko lenye watu wengi sana na biashara kemkemu, lakini eti halikarabatiwi?
Kukizuka kipindupindi serikali ndo wa kuwajibika!
Soko la Tegeta nyuki, ni soko linalovutia funza, inzi wa ajabu na kila aina ya wadudu
Halafu serikali inataka tujivunie eti tunaviongozi bora? Kwa lipi?
Mbunge wa eneo hilo naye yupo yupo tu na hana msaada wowote! Inakuwaje soko Liwe vile?
Ni soko chafu lililojaa maji machafu na tope jeusi la kutisha,
Halafu eti serikali inachukua ushuru pale! Inazipeleka wapi?
Ni soko lenye watu wengi sana na biashara kemkemu, lakini eti halikarabatiwi?
Kukizuka kipindupindi serikali ndo wa kuwajibika!