Poleni sana ndg maana si jambo rahisi hasa kwa hali ya maisha na uchumi kwa ujumla na wale wenye mikopo yaan daaah..!
Kuna dada mmoja anauza supu kwenye zile fremu za stand ana mzigooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umpatie mtaji wa kurejesha biashara yakeKuna dada mmoja anauza supu kwenye zile fremu za stand ana mzigooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu awape nguvu Mana wakianza kutafakari unakuta mtu anakufa ghafla, kumbe amdbeba uchungu mwingiUsiku wa Manane huwa na mambo mengi sanaa
Wengine wana kufa na kuna wanaozaliwa.
Hasara iliyoje hii?
Mali iliyochumwa kwa miaka inaenda kuteketea ndani ya sekunde daah poleni sanaa mliofikwa na huo mkasa.
Ila hakuwepo hata nabii ambaye angetabiri hiyo Ajali?
Kuna haja kitengo cha maafa kiwe kinawapa hata kifuta machozi
Kitengo chenyewe kinakula mpaka rambirambi ndo kitoe chchote kuwafuta machozi ???Usiku wa Manane huwa na mambo mengi sanaa
Wengine wana kufa na kuna wanaozaliwa.
Hasara iliyoje hii?
Mali iliyochumwa kwa miaka inaenda kuteketea ndani ya sekunde daah poleni sanaa mliofikwa na huo mkasa.
Ila hakuwepo hata nabii ambaye angetabiri hiyo Ajali?
Kuna haja kitengo cha maafa kiwe kinawapa hata kifuta machozi
Yaan ni nomaaaNawaza tu maisha ya saivi yalivyo magumu halafu unaanza tena upya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha kwamba hitilafu inasaidia awamu ya 5Hapo ukija kuchunguza sana..utaambiwa waliambiwa wahame wakazingua....sasa hiyo ndio style ya kuwahamisha