Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 573
- 2,553
Basi la abiria, mali ya Kampuni ya Abood limewaka moto eneo la Msamvu, Roundabout ya Morogoro. Chanzo cha ajali hiyo bado hakijajulikana.
Taarifa za awali zinadai kuwa hakuna abiria aliyepoteza maisha, na moto umefanikiwa kuzimwa.
Taarifa za awali zinadai kuwa hakuna abiria aliyepoteza maisha, na moto umefanikiwa kuzimwa.