Wakuu, kwa wakazi wa jiji la Dar tunatumia SOKO la Ilala kujipatia mahitaji yetu pale, ni aibu na udhalilishaji wa binadamu kuona binadamu anaweza kununua kitu cha kwenda kula toka pale.
SOKO hili lipo kama mita 150 toka ofisi ya mkuu wa mkoa Dar es Salaam na km 5-6 toka Ikulu ya Magogoni. Kwa wale wafugaji wa ng'ombe watanielewa nikisema SOKO hili Sasa hivi ni sawa na zizi la ng'ombe.
Lojo mpaka kwenye ugoko. Viongozi wetu muone aibu kuwa na SOKO kama hili chini yako.
Wewe bwana / bi afya wa mkoa na wilaya hata Waziri wa afya ikitokea kipindupindu kikalipuka toka pale mtabeba 'dhambi' hiyo.
Na Uongozi wa jiji la Ilala kweli mmelala amkeni.
SOKO hili lipo kama mita 150 toka ofisi ya mkuu wa mkoa Dar es Salaam na km 5-6 toka Ikulu ya Magogoni. Kwa wale wafugaji wa ng'ombe watanielewa nikisema SOKO hili Sasa hivi ni sawa na zizi la ng'ombe.
Lojo mpaka kwenye ugoko. Viongozi wetu muone aibu kuwa na SOKO kama hili chini yako.
Wewe bwana / bi afya wa mkoa na wilaya hata Waziri wa afya ikitokea kipindupindu kikalipuka toka pale mtabeba 'dhambi' hiyo.
Na Uongozi wa jiji la Ilala kweli mmelala amkeni.