A
Anonymous
Guest
Nimepita leo kwenye soko la vyakula la Ilala Boma maarufu kama Ilala Sokoni, jamani tunalishwa uchafu hili jiji kwanza nashangaa kwa hali hii kama kweli Dar haina wagonjwa wa Kipindupindu. Wauza Vyakula tena Vibichi wanakaa chini, wanatembea peku wengine, sehemu za kuuzia bidhaa (Vizimba) hakuna.
Cha kusikitisha zaidi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar yuko mita 50 tu kutoka hapo. Yaani anatengenishwa na Barabara tu. Lakini huko hajawahi kukanyaga kwenda kuangalia Wananchi wake wanafanya biashara katika mazingira gani na walaji wanalishwa nini na kwa style gani.
Badala ya kutumia nguvu kubwa kuelekeza usafi ufanywe kwenye mitaa, Mkuu wa mkoa anapaswa kuagiza usafi kwenye masoko maana huko ndio kuna shida kubwa.
Nimeambatanisha picha chini wakati naenda kununua matunda kwa kweli nimeahirisha na staki tena kula leo.
SOKO HILI LIMEWAHI RIPOTIWA MWEZI APRILI 2023: DOKEZO - Soko la Ilala, Dar es Salaam kwa uchafu huu itakuwa chimbuko la kipindupindu kama cha Msumbiji. Lifungwe
Cha kusikitisha zaidi Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar yuko mita 50 tu kutoka hapo. Yaani anatengenishwa na Barabara tu. Lakini huko hajawahi kukanyaga kwenda kuangalia Wananchi wake wanafanya biashara katika mazingira gani na walaji wanalishwa nini na kwa style gani.
Badala ya kutumia nguvu kubwa kuelekeza usafi ufanywe kwenye mitaa, Mkuu wa mkoa anapaswa kuagiza usafi kwenye masoko maana huko ndio kuna shida kubwa.
Nimeambatanisha picha chini wakati naenda kununua matunda kwa kweli nimeahirisha na staki tena kula leo.
SOKO HILI LIMEWAHI RIPOTIWA MWEZI APRILI 2023: DOKEZO - Soko la Ilala, Dar es Salaam kwa uchafu huu itakuwa chimbuko la kipindupindu kama cha Msumbiji. Lifungwe