Soko kuu la dhahabu lazinduliwa Chato, Waziri Biteko atoa maagizo

Jamani, tatizo liko wapi?? Mlitaka hizi rasilimali zetu ziendelee kuibwa kila siku?? Huku walijaa wakutoka nje tu. Wakaja na vifedha vyao wakavibadili mpakani kwa njia mbaya. Wakaingia humu nchini na kutunyonya. Leo mmejengewa mahali sahihi pa kuiuza dhahabu yenu wenyewe mnabeza?? Hapana, hii nasema sio vyema. Jengo la dhahabu mnataka liwe la udongo?? Tuleteeni basi michoro
Swala ni kuwa je kam Geita kuna soko tayari na Chato ni Geita sasa kulikuwa na haja gani ya kujeng lingine chato?
Kam chato iko mbali sana na kweye hilo soko basi sawa otherwise ni matumizi mabaya ya rasilimali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo katika viunga vya Chato kumezinduliwa soko kuu la dhahabu. Hivi kumbe haya masoko ni kwa kila wilaya? Maana makao makuu pale Geita napo pana mjengo wa soko la dhahabu.

Hongera Chato kwa kuyafikia maendeleo ya kweli. Unapaa kwa kasi kweli kweli.

View attachment 1304965

Kama soko lipo simanjiro hukuhoji itakuwa chato ambayo sehem nyingi kuna madini mengi?
 
Naunga mkono maendeleo yote ya Chato

P
Mkuu mbona wewe umekuwa mtu wa kuunga mkono kila kitu. Even this kind of shit selfish unaunga tu mkono daah.

Ama kweli idadi ya wapiga kura tunazidi kupungua kila kukicha kwa sababu za Ongezeko kubwa la Wachumia Siasa. Huyu nae tushampoteza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iwe chato,ambayo ni geita au mwanza au dar au popote ni sawa tu..cha msingi mapato yafanye kazi kwa nchi nzima..wengine hatujari materials zipo wapi tunajari actions/matokeo..plus iyo itasaidia kanda za pendezoni kama vile kagera mwanza kigoma shinyanga..katika ukuaji uchumi pia maana biashara ikichangamka mikoa ya jirani lazima tunufaike mara dufu pia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijawahi kuona kiongozi mwenye uoendeleo kama tuliye naye sasa.


Hajaanza leo, kumbuka alipo kuwa waziri wa ujenzi aliwahi kupeleka taa za kuongozea magari sehemu ambayo ina magari hata 100 hayazidi.


Ni ubinafsi mkubwa , hata jengo lake ambalo ameweka tausi toka ikulu ni uhinafsi mkubwa kwa sababu ukisha chaguliwa kuwa Rais tunakupa nyumba ambayo ni ikulu na baada ya kutoka kuna utaratibu wa kujengewa nyumba , sasa yeye amejibegea jengo kama hoteli .


Tusipo angalia tutapata shida sana kwa huu utawala.

Mungu mlinde JK na mkapa na warioba , maana hawa ndio pekee wameshikilia msimamo wa katiba.

Mwinyi sijui kapewa nini katiba kesha ikanyaga, pinda ndio kabisa.. wengine hawaeleweki msimako wao.


Tunahitaji katiba mpya itakayo zuia mambo mambo kama haya.

Atatokea mtu siku moja akaingiza kwenye chama kabila lake tuu na viongozi kabila lake tuu kisha akapata urahisi wa kuikanyaga katiba kwa kigezo cha watu wanamtaka aendelee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Don’t worry, kuna watu hata wapelekewe maendeleo kiasi gani hawataendelea na wakiendelea basi kwa kasi ya kobe baada ya 10 years ndio utaelewa kauli yangu
 
Mkuu mbona wewe umekuwa mtu wa kuunga mkono kila kitu. Even this kind of shit selfish unaunga tu mkono daah.

Ama kweli idadi ya wapiga kura tunazidi kupungua kila kukicha kwa sababu za Ongezeko kubwa la Wachumia Siasa. Huyu nae tushampoteza.

Sent using Jamii Forums mobile app
No it's not true kuwa mimi naunga mkono kila kitu, no!, mimi naunga mkono kila kizuri kinachofanywa na Magufuli na awamu ya 5 lakini kwenye vibaya au mabaya ninakosoa sana tuu.
Karibu unirembelee mitaa hii.
P
 
Asilimia 90 ya waliocomment hapa hawaujui mkoa wa Geita.
Wilaya zote za mkoa wa Geita zina masoko ya madini.
Kuna soko LA madini Masumbwe wilaya ya Mbogwe,
Kuna soko la madini Ushirombo wilaya ya Bukombe,
Kuna soko la madini Geita,
Kuna soko la madini Nyang'hwale,
Kuna soko la madini Chato.
images (9).jpeg
D17YzUmWwAANLC2.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Kasi ya kuleta maendeleo Kwa kanda ya ziwa bado ni mdogo sana cjui kuna tatizo gani kwa Rais wetu jamani.Tunahitaji MUHIMBILI ihamie MWANZA au Chato, Mlimani city Shopping center ihamie mwanza Au chato.Viwanja vya ndege vijengwe kila kata.Viwanda vya Cement, Mbolea, samaki, sukari,magari na nk vyooote vijengwe kanda ya ziwa.Kwa kweli hii kanda ilichelewa saaaana na ilicheleweshwa na roho mbaya za marais waliotangulia.Huyu ameonesha nia ya kuijenga kanda ya ziwa lkn naona kama yuko TOO SLOW, Cjui anakwama wapi MZEE MAGU jamani!???.
 
Back
Top Bottom