Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,738
- 15,211
Mkuu wa wilaya ya Chato mkoani Geita amekanusha uvumi wa kwamba mbuga ya wanyama ya Burigi Chato imefungwa na wanyama wamekufa au wamekimbilia kwingine.
Mkuu huyo wa wilaya amesema mbuga hiyo ya Burigi Chato ipo imara na wanyama wanaendelea kuzaliana kwa kasi na mwaka huu mwezi wa 12 wameandaa tamasha kubwa la utalii Chato festival ili kuifungulia dunia uzuri wa mbuga hiyo.
View: https://youtu.be/h_Z4O_OrEBk?si=Qijd7E4TGvPZ72Bq
Mkuu huyo wa wilaya amesema mbuga hiyo ya Burigi Chato ipo imara na wanyama wanaendelea kuzaliana kwa kasi na mwaka huu mwezi wa 12 wameandaa tamasha kubwa la utalii Chato festival ili kuifungulia dunia uzuri wa mbuga hiyo.
View: https://youtu.be/h_Z4O_OrEBk?si=Qijd7E4TGvPZ72Bq