Mihemuko inawatia upofu wanakuwa kama mataahira vile. Masoko yanapaswa kuwepo kila mkoa na wilaya(kutegemeana na upatikanaji). Ndiyo sababu hata wilaya ya Chunya kuna soko "kuu" la madini ilhali Chunya si mkoa. Tatizo la mfumo wetu wa elimu mara nyingine humjaza mtu ujinga badala ya kuuondoa. Ndiyo sababu thread imejazwa na post za kimbea mbea tu.Kuna maoni ya baadhi ya watu wa Ufipa ukisoma unaweza jiuliza hawa wanawaza kutumia magoti Au ubongo??
Pungezeni mihemuko Vijana..
Viva JPM
Kama mimi nina ujinga mwingi kutokana na kuunga mkono maendeleo ya Chato, then tuna wajinga wengi sana na sio pekee yanguUna Ujinga mwingi
Mkuu wewe sio mjinga wewe una matatizo kwenye tumbo....unausaka ukuu wa wilaya kwanguvu sanaKama mimi nina ujinga mwingi kutokana na kuunga mkono maendeleo ya Chato, then tuna wajinga wengi sana na sio pekee.
P
Kutokana na kiasi cha dhahabu kinachopatikana katika mkoa wa Geita soko moja halitoshi. Una takwimu za mwaka huu Geita wametoa gold kiasi gani?Leo katika viunga vya Chato kumezinduliwa soko kuu la dhahabu. Hivi kumbe haya masoko ni kwa kila wilaya? Maana makao makuu pale Geita napo pana mjengo wa soko la dhahabu.
Hongera Chato kwa kuyafikia maendeleo ya kweli. Unapaa kwa kasi kweli kweli.
View attachment 1304965
Duh!. AsanteMkuu wewe sio mjinga wewe una matatizo kwenye tumbo....unausaka ukuu wa wilaya kwanguvu sana
Ikulu nayo iende chato. Something not right in my beloved country
Mkuu wewe huoni kuwa Mkoa wa Geita ndiyo una maeneo mengi ya machimbo ya madini na pia ndio Mkoa wenye mgodi mkubwa wa madini hapa bongo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabudi atamwombea za Wagogo wenzie..hukumsikia Waziri Prof.Kabudi akidai kura za kanda ya ziwa zinatosha kumpa ushindi Jpm?
..kama siyo mwenyeji wa huko tafuta chama kingine tu. Hata mikutano ya hadhara kidogo kidogo hotuba zimeanza kuwa za kilugha.
Soko la Dhahabu lijengwe pia Machame. La sivyo ni upendeleo tu.Ikulu nayo iende chato. Something not right in my beloved country
Ndiyo ni Mgogo wa Kilimatinde karibu na ManyoniWaziri Kabudi ni mgogo?
Ngoja mdau wa dhahabu aje atowe maoni yake kuhusu soko la dhahabu kuwa chato maana wengi wenu humu ni blh Blh tu siasa nyingi
Kazi na mchakato wa dhahabu yenyewe hamuijui
Iron lady njooo manengelo
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app