Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Pasco nimegundua kitu kimoja, huyo muzee mnampoteza kwa ushauri wenu wa mafuta ya mgongo wa chupa.Naunga mkono maendeleo yote ya Chato
Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!
Wanabodi, Tangu kupatikana kwa taarifa ya kutelekezwa kujengwa kwa uwanja wa ndege wa Bukoba, eneo la Omukajunguti na badala yake sasa uwanja huo unajengwa Chato, kumetokea pingamizi kadhaa kupinga kujengwa kwa uwanja huo Chato kwa kutumia costs benefits index, hivyo mimi naunga mkono ujenzi...www.jamiiforums.com
P
Haiwezekani hadi Leo hii asisikie aibu hata kidogo kuwa speed hii ya 120 kwenye kona kusifiwa ni kujipeleka kuzimu!
Sent using Jamii Forums mobile app