Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Hizi ndizo siasa za Tanzania. Waziri Simba kudai anapambana na mafisadi kweli ni kichekesho cha karne. Lakini hatuwezi kushangaa maana alianza Makamba kujipeleka Urambo kujipendekeza kwa Sitta ili ionekane kuwa wako the same page.
Kwa mwendo huu wa Waziri Simba tutajikuta tunamsikia Osama Bin Laden akidai anapambana dhidi ya ughaidi duniani au yule bilionea wa Mexico (Mexican drug lord Joaquin "El Chapo" Guzman Loera) anapambana na Drug Cartels nchini Mexico.
Watanzania bado hawajasahau Simba alivyomzodoa Bw. mengi kuhusu fisadi papa. Upepo unaweza kugeuza mwelekeo lakini watanzania wa sasa hawabadiliki kufuata upepo.
Kwa mwendo huu wa Waziri Simba tutajikuta tunamsikia Osama Bin Laden akidai anapambana dhidi ya ughaidi duniani au yule bilionea wa Mexico (Mexican drug lord Joaquin "El Chapo" Guzman Loera) anapambana na Drug Cartels nchini Mexico.
Watanzania bado hawajasahau Simba alivyomzodoa Bw. mengi kuhusu fisadi papa. Upepo unaweza kugeuza mwelekeo lakini watanzania wa sasa hawabadiliki kufuata upepo.