Kweli Sofia ameisha kula nyingi mpaka bilion nzima inamaana hizo ndogo ndogo hazina shida . Je mmeo na kashifa za sukari , hukulapo nini? Funga safari nenda kapate ushauli huko Same Mashaliki . kwenye shingo mlimsafisha Mkapa . hata hivyo hakutakata labda mmuombe Mungu afe mapema ila siku zake zinahesabika , mpaka tujue ikulu ni sehemu gani. pa biashara au pakutoa huduma za jamii tena zenye utukufu. Ee mora tunusuru na majanga makubwa kupita yote , siku moja wakina karamagi , lowassa, Rostam ,mkapa, na wote waliomiliki meremeta, kagoda ,kiwira, wasurubiwe kama mwanawako . Ila si kwa mapenzi yako bali mapenzi ya watanzania wanaoteseka kwa kuishi maisha kama ya ahela kabla ya kifo chao . Amina