Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Wana JF,
Pamoja na kulaani, nafikiri tumefanya kazi kubwa sana kuwabadilisha hawa watu hayo wanayoyasema. Miaka yote ya nyuma tangu tupate UHURU, tulicheza jinsi ma DJs wetu wa nchi walivyotupigia mziki. Kwa mara ya kwanza tumedisa na kusema, hapana. Hii miziki yenu mnayotupigia ya "SAFARI TRIPERS - Mkuki moyoni" hatuitaki tena. Sasa wamegundua kuwa mambo hayaendi na wamekuja kwa gia ya kuanza kuondoa AFRO zao kichwani ingawa bado wamevaa Raizon na Bugalou.
Inabidi sasa tuende hatua moja mbele yao. Kusema kupiga vita ufisadi siyo deal tena. Tuanze kuwabana viongozi wote kuwa JE UMEWAFANYA NINI MAFISADI? Mafisadi wanatakiwa kuadhibiwa na tena ilitakiwa mambo kama RUSSIA enzi za Mzee Joe Stallin. Wanachukuliwa MAFISADI wote viwanja vya jangwani na unawekwa UKUTA na jamaa wanafungwa pale na Watindiga na mishale yao ya SUMU wanakuja na kuwamaliza.
Hata BIBLIA inasema kuwa "damu husafisha makosa". Bila watu kadhaa kuja kumwaga damu zao pale, hakuna heshima hata siku moja kwa mali za Watanzania. Mafisadi siku zote wataiba na kusema "sana sana watanifukuza". Kama angelijua kuwa "ukiiba basi ni wanao watafaidi" sidhani kama watu wangelikuwa wanakula hata bila kunawa. Tukaze kamba kwani mwelekeo ni mzuri. Zamani hatukufahamu kabisa kuhusu hili (rejea ujumbe wa Mwanakijiji juu ya Watanzania Waasia kutujulisha ufisadi wa wenzao na viongozi wetu), baadaye tukaanza kuliongelea kwa shida na mwisho hadharani na sasa hata "vinyonga" wa bungeni na wao wanaanza kupigia kelele ufisadi. Nafikiri imebaki hatua moja tu sasa, kuwapandisha watu kizimbani na kuwatunza KEKO. Hata kama Mkapa akishinda, kitendo cha kupanda KIZIMBANI itakuwa mwanzo mzuri.
Pamoja na kulaani, nafikiri tumefanya kazi kubwa sana kuwabadilisha hawa watu hayo wanayoyasema. Miaka yote ya nyuma tangu tupate UHURU, tulicheza jinsi ma DJs wetu wa nchi walivyotupigia mziki. Kwa mara ya kwanza tumedisa na kusema, hapana. Hii miziki yenu mnayotupigia ya "SAFARI TRIPERS - Mkuki moyoni" hatuitaki tena. Sasa wamegundua kuwa mambo hayaendi na wamekuja kwa gia ya kuanza kuondoa AFRO zao kichwani ingawa bado wamevaa Raizon na Bugalou.
Inabidi sasa tuende hatua moja mbele yao. Kusema kupiga vita ufisadi siyo deal tena. Tuanze kuwabana viongozi wote kuwa JE UMEWAFANYA NINI MAFISADI? Mafisadi wanatakiwa kuadhibiwa na tena ilitakiwa mambo kama RUSSIA enzi za Mzee Joe Stallin. Wanachukuliwa MAFISADI wote viwanja vya jangwani na unawekwa UKUTA na jamaa wanafungwa pale na Watindiga na mishale yao ya SUMU wanakuja na kuwamaliza.
Hata BIBLIA inasema kuwa "damu husafisha makosa". Bila watu kadhaa kuja kumwaga damu zao pale, hakuna heshima hata siku moja kwa mali za Watanzania. Mafisadi siku zote wataiba na kusema "sana sana watanifukuza". Kama angelijua kuwa "ukiiba basi ni wanao watafaidi" sidhani kama watu wangelikuwa wanakula hata bila kunawa. Tukaze kamba kwani mwelekeo ni mzuri. Zamani hatukufahamu kabisa kuhusu hili (rejea ujumbe wa Mwanakijiji juu ya Watanzania Waasia kutujulisha ufisadi wa wenzao na viongozi wetu), baadaye tukaanza kuliongelea kwa shida na mwisho hadharani na sasa hata "vinyonga" wa bungeni na wao wanaanza kupigia kelele ufisadi. Nafikiri imebaki hatua moja tu sasa, kuwapandisha watu kizimbani na kuwatunza KEKO. Hata kama Mkapa akishinda, kitendo cha kupanda KIZIMBANI itakuwa mwanzo mzuri.