William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
- Kuhusu harusi na ufadhili wake, Auntie Sophia hakusema ukweli kwa sababu harusi iliandaliwa na kamati maalum kama inavyokuwa kwenye harusi zote bongo, Mwenyekiti wa kamati alikuwa Chiligati, akishirkiana na DC wa Dodoma Mjini, ikiwa ni pamoja na wanakamati kama Kimbau na Kitwana Kondo, na kina General Gau, sasa hawa hasa Chiligati wangetakiwa kuonyesha mahesabu waliyoyatumia ili kuweka ukweli unapotakiwa, kwa sababu ninazo copies zote za matumizi ya ile harusi na pesa zilizochangwa na majina wala sio tatizo.
- Maneno ya Auntie Sophia, siyaamini hata kidogo na ni uzushi mtupu kwa sababu ni mimi ndiye niliyetoa hela zangu za mfukoni kwanza kununua suti zote mbili za bwana harusi, na pia nilitoa hela zangu za mfukoni za kulipia honeymoon yao, ama sivyo hata honeymoon isingekuwepo, na kama kawaida yangu huwa ninatunza risiti ya kila kitu ninachofanya duniani, kwa hiyo ninasema kwamba Auntie Sophia, ana kazi kubwa sana kuthibitisha madai yake akiwa waziri wa Usalama wa taifa, kwa sababu ninazo risiti nyingi sana za hela zangu nilizotumia on the harusi, sasa kama kweli harusi ilifadhiliwa na fisadi, mimi na ndugu zangu hatukuwa na sababu ya kutoa hela nyingi sana tulizotumia kwenye ile harusi.
- Ya kugombea urais, hivi Mzee si alikuwa na hela za Iran, zilizobaki toka mwaka 1995. Halafu Auntie Sophia hapa tena anakuwa sio mkweli wala anayejali sheria, kwa sababu kampeni za urais wagombea wote walipokea hela toka kwa watu na sekta mbali mbali na haikuwa uvunjaji wa sheria za jamhuri, na ukweli niujuao ni kwamba kampeni ya mzee ilifadhiliwa na Shabibu, na kampeni ilikuwa na hela ndogo sana ndio maana haikufanikiwa, unless Shabibu ni fisadi then kweli mzee alichukua hela chafu, na kama ilivyokuwa kampeni ya Rais wa sasa ambako Auntie Sophia alikuwa mshiriki sasa angelinganisha hela zilizotumiwa na kambi zote na walikozitoa hela zao ndio ingependeza, lakini si kweli kabisa kwamba Patel ndiye aliyefadhili ile kampeni, walioifadhili kampeni ni shabibu na Mstaafu wa Idara, sasa the question inapaswa kuwa alikuwa akizitoa wapi zile hela kama at the sametime alikuwa akishirikiana na kina Rsotam na Lowassa? Kwa sababu all this came to the light baada ya uchaguzi na mtoto wa mstaafu kupewa ubunge wa bure na mtandao Sophia angekuwa mkweli angeisaidia sana hii kamati na taifa kwa ujumla na hasa kutokana na nafasi yake ya uwaziri wa Usalama wa Taifa.
Pole mkuu kwa yote, mi nilidhani ni jina tu unatumia na hakuna uhusiano wowote na JS Malecela maana wengine tulimzoea sana Ipyana (RIP).
- Mkuu ndio maana nimesema ninajaribu sana kumsihi Mama K, asiingie huu mtego wa kalubandika, maana wenye akili watashindwa kuwatofautisha, point yako ni nzito sana.
Ahsante.
William.
- Mkuu ndio maana nimesema ninajaribu sana kumsihi Mama K, asiingie huu mtego wa kalubandika, maana wenye akili watashindwa kuwatofautisha, point yako ni nzito sana.
Ahsante.
William.
aaaaagh sasa kwani kamati ndo inatoa hela..Jeatu alitoa 200m kama wachangiaji wengine.hapa ndo pakushika wanaojidai wapiganaji kumbe nao wananuka rushwa.Wizi mtupu hapaa
Hii thread kumbe imenoga hivi, kumbe kuna siri nyingi huku kwenye siasa.
Yani hilo ni la muhimu sana ... mwambie mama yeyey hadi Marekani wamempa tuzo kwa kutambua juhudi zake, na wananchi wanampenda ... yani yuko league nyingine kabisa na mama Simba .. anaweza tu kumwambia athibitshe madai yake ... na ni wazi hawezi kuthibitisha kwa sababu anasema huyu anan wivu wa kukosa ufirst lady .. sasa utathibitsha vipi tuhuma kama hizo? mama yeye anaweza kumjia na llist of issues zenye maswali ya taifa na kumtaka ajibu hayo... akifanya hivyo atakuwa amelinda heshima ... yani tafadhali asiingie kwenye kusutana ....... please .I have lot of respect for her ......by the way watu wengine they think she can even be the madam Presida siku moja kwa hiyo awe makini na jinsi atakavyoreact ... unajua Mwalimu Nyerere alikuwa anasema ... kuwa mambo mengine ni ya kijinga kiasi kwamba wala huitaji kujibu .. please...
we acha tu.kumbe Kilango anapiga makelele ni wivu wa kuukosa u first lady,,,na mze Six naye ni kuukosa U PM..Kazi ipo mwaka huu
Hii thread kumbe imenoga hivi, kumbe kuna siri nyingi huku kwenye siasa.
It's only in Tanzania where a person like Sophia Simba can become a leader and a cabinet minister for that fact. Mama kakaa kama muimbaji wa taarabu na hata maneno yake saa nyingine uta fikiri ni nyimbo za akina Hadija Kopa. If it wasn't for her being a minister i wouldn't waste my time on her.
we acha tu.kumbe Kilango anapiga makelele ni wivu wa kuukosa u first lady,,,na mze Six naye ni kuukosa U PM..Kazi ipo mwaka huu
- Ina maana Sophia basi ni babu kubwa maana anaweza kuingia vichwani mwa Spika na Kilango na kujua wanasumbuliwa na nini katika kulijenga taifa lao, ndio mana hawa kina Sophia wataishia kua hata marais wetu, maana wako wengi wenye mawazo kama yao! ha! ha! ha! ha!
Ahsante.
William.
NA TUSITOKE KWENYE MADA TUKAANZA KUJADILI MICHANGO YA HARUSI ILIKUWAJE .... MADA KUU HAPA NI UFISADI ...
Aisee hii habari ni kwa wenye password peke yake au ??
yes na wapo wengi kama wewe ambao mnamshangilia mwakyembe na ujambazi wake wa kuchukua posho mara mbili mbili,na kumuona si mkosaji pale alipoongoza kamati ya kuchunguza Richmond wakati kumbe na yeye ana kampuni yake anataka ianze kuzalisha umeme....
Huyu mama kazi imemshinda, bora akae pembeni awapishe wanaoweza kuongoza hiyo wizara.