Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

Sofia Simba na Sakata la Mafisadi na Wapiganaji!

- Mkuu this is irrelevant to the subject na ingawa sina sababu ya kuijibu, lakini nitaligusa mbele. Inaonekana sasa tutaanza kujaribu kuchunguza members wa JF walivyozaliwa hapana hili halinihusu mkuu na wala halina uhusiano wowote na masilahi ya taifa.

- Lakini bado ninasimamia kwenye point yangu kuhusu uwezo mdogo wa Waziri Sophia na sababu yangu ya kuyaunga mkono maneno ya Malecela na Mama Kilango so far on this ishu.

1. Malecela amemjibu Waziri Sophia kwamba ni kichaa anahitaji kupimwa, na Mama Kilango amempa nafasi ya kumshitaki akiwa kama waziri wa Usalama wa Taifa, knowing kwamba Mama Kilango ni fisadi na Jeetu ni fisadi, na anao ushahidi yeye kama waziri atangulie nao kwenye sheria, also ninaelewa kwamba bado hajazungumza kwenye hiyo kamati.

2. On Waziri Sophia, ninasema kwamba uwezo wa kuwa waziri wa Usalama wa Taifa, hana kwa sababu ni too compromise kwani masiha yake binafsi hayawezi kumpa nafasi ya kumkemea kiongozi yoyote mla rushwa kwa sababu amediriki kuwaibia marafiki zake waume zao, infact mmoja wao wa hao marafiki zake alipogundua what Sophia did aliishia kupata stroke she never recovered na akaishia kufa, mwanamke aliyezaa na waume wanne viongozi wa serikali hiyo hiyo ambayo yeye ni waziri wa Usalama wa taifa, hawezi kuwakemea hao viongozi aliozaa nao wakipatikana na rushwa au wakihatarisha usalama wa taifa letu, in general hawezi kuwa kiongozi period!

3. Nilitegemea by now, baada ya kujibiwa Waziri Sophia atakuja na majibu ambayo ni ushahidi kwamba yeye ni mzima wa afya, na kwamba anao ushahidi kwamba Malecela alipewa hela na Jeetu, hela ambazo ni chafu na Malecela na mkewe walijua kuwa ni chafu lakini wakazipokea anyways, hayo sijayaona ila naona maneno mengi ambayo hayana faida yoyote kwa taifa.

- Ya watoto wa Malecela yatajibiwa na wao wenyewe na wala hayanihusu, mimi ninasimama pale pale kwenye point yangu kwamba Waziri Sophia hana uwezo wa kuwa waziri wa Usalama wa Taifa, na Malecela hana any burden ya ku-prove anything, mwenye hiyo burden ni waziri wa Usalama wa Taifa na Takukuru, Malecela sio kiongozi wa taifa tena alishaacha siku nyingi ninamuona kama wananchi wengine wa kawaida, isipokuwa Waziri anatakiwa kuenda mbele zaidi na haya madai yake, otherwise anakuwa kama Malecela alivyosema kwamba ni kichaaa!

- Na incase, binafsi mkuu nimezaliwa Ocean Road na nimekulia Ikulu maisha yangu yote utotoni, na hapana ninao wazazi wangu wawili wote wazima na wanaishi, na hawakunizaa vichakani na katika familia yangu nimezaliwa wa kwanza anayenifuatia lizaliwa miaka mitatu baadaye. Kwa hiyo katika kuzaliwa kwangu hakuibiwa mtu wala hakuwa anaogopwa mtu, ndio maana ninaamini kwamba unawazungumzia watu nisiowajua na hayanihusu, lakini ilikuwa ni lazima niweke ukweli wazi hapa ingawa kuzaliwa kwenye Hospitali au vichaka sidhani kama ni moja ya sheria za kujiunga na JF.

Na ninaomba nikuhakikishie kwamba msimamo wangu hauyumbishwi wala kutetereka na maneno yasiyokua na ushahidi wala facts, kama ulirusha hayo matusi juu ukinielekeza mimi basi umekosea sana mkuu maana hayanihusu wala hayanibadili anything, mimi ni mwanasiasa in my own rights na kwenye siasa ni kama kwenye vita na mapenzi, yote huwa ni sawa na nitaendelea hapa JF kuweka mawazo yangu kama kawaida na ninakukaribisha anytime kujadili taifa na masilahi yake.

- Kama ulifikiri utaninyamazisha na haya maneno kama ya Sophia basi nakuomba ufikirie tena! ukitaka info zangu za jinsi nilivyozaliwa mpaka leo ninaweza kukupa bila matatizo kama haya maneno yako yananihusu maana siamini kuwa yananihusu, ila usitafute maneno ya mtaani ukajaribu kuyafanya ukweli kama Sophia, tafuta facts!

- Mimi ninapomshukia anybody huwa ninakuwa na facts sio filimbi, ya kuhusu ndoa na watoto wa Malecela, labda ungeanza wewe mkuu kutuonyesha cheti cha ndoa ya mama na baba yako ukakiweka hapa JF kikathibitishwa kuwa ni cha kweli na wazazi wako ndio hasa wako, then ndio utakuwa na hiyo right ya kudai vya wengine kama ni lazima kuwa navyo kuwa member JF, otherwise huu mjadala ni muhimu sana kwa taifa, yaani wananchi wakawajua vizuri viongozi wao, ninajua watoto wote wa Malecela wote wamesoma na wana maisha na wako safi, Mama Kilango naye pia wote wako safi wamesoma na wana maisha, wa Sophia nimeshasema sitaki kurudia, na ninasikitika sana anaposhindwa kutumia nafasi yake kumtoa yule aliyefungwa maisha jela ya kule US, I know the poor guy, linasikitisha sana Sophia anaweza kumtoa yule kijana akitaka!

Aluta Continua!

FMEs!
 
Hivi FMES ukijua kila aina ya uchafu wa hawa jamaa can you stand by them?Mbona watu wengine huwa mnajitafutia pressure zisizo na sababu? who knows more kati yako wewe na Sofia Simba.
Story za hao akina mama wanazipata vitandani wakiwa na hao viongozi wa kiserikali,

- Mkuu ninachotetea ni kile walichoshutumiwa nacho Malecela na mkewe na sio anything else, wameshutumiwa kuhusu kupewa hela za kifisadi, sijaona ushahidi ndio maana ninawatetea Malecela na mkewe, Sophia ninamfahamu sana na Mama Anne pia ninamfahamu sana pia, lakini cha muhimu hapa ni facts au ushahidi ambao bado kuuona, mengine hayo ni yako na wala sina pressure mkuu, nilikuwa kazini ndio kwanza nimerudi home na ninajibu kama kawa!

tuhuma za madawa ni kali sana, na hautasikia zikisemwa, probably is the only bomb that will make Kilango not to move in any other part.
- Nimemuona Mama Kilango, akibeba biashara zake mjini Manhattan tena kichwani, akibeba viatu na nguo za kuuza bongo kichwani mwake, akitafuta hela za kuwasomesha watoto wake na nimemsaidia sana nikiwa US, sasa kama yeye anauza madawa basi na mimi ninashiriki maana hata hao police wa US kama wanajua basi na mimi pia wananijua kushiriki, kwenye hili nina-bet my life kwamba Mama Kilango hana anything to do na madawa, infact Sophia hakusema maneno haya kwenye kamati ni wewe umeyavalia njuga toka last weeek kwamba yalisemwa, Sophia hakusema ya madawa,

- Na besides ya madawa imekua ni maneno rahisi sana watu wanapokuwa na chuki na wengine wanawaona kuwazidi kimaisha, wangapi bongo tumeambiwa wanauza madawa wakati sio ukweli? Haya siku hizi na maneno ya kuwa ngoma ni maneno ya kawaida sana bongo siku hizi, watu wakizidiwa kimaisha tu basi ni madawa. nonsense!.


Sofia alichosema ni kweli kabisa na sijajua ubishi ni wa nini, na hana position ya kuwachukulia hatua yeyote maana kuanzia bosi wake Pinda alishasema hawawawezi mafisadi! mnategemea yeye afanye nini, lets be honest, JK kashindwa,PM-Pinda amekiri mwenyewe leo hii mnataka Simba afanye nini??
- Sophia alichosema ni kweli basi tusaidie ushahidi huo ulionao na sisi wengine mkuu!

FMES jasho lote hili unalolimwaga kutetea mafisadi hawa wa CCM, nakupa pole tunapoelekea uchaguzi, ugonjwa wa moyo utakupata ndugu
Ukijiweka kwenye kutetea hoja, umepona, ukitetea watu humu, unless una hakika kabisa 100% na hii sio rahisi kaka, sio rahisi.
- Nafikiri sio siri kwamba betweeen mimi na wewe nani atapata huo ugonjwa karibuni sana, ila one thing sio mimi!

By the way, JK amemfanya nini SS mpaka leo?
- Labda ungenisadia kuelewa amefanya nini kwa waziri wake kuitwa kichaa, waziri wako akiitwa kichaa Rais unatakiwa kufanya nini mkuu?

Nilishasema, na I will stand on this, sijajua povu kiasi gani litakutoka ila wewe ni fisadi!! pigia mstari fisadi. Kuna watu wanaogopa kukueleza humu!
- Bila ushahidi ni yale yale ya Sophia, yaani kelele za mlango sina ufisadi hata chembe, kama unaujua uweke hapa nimekuruhusu siku nyingi sana!

Andika maandishi yako makubwa humu, tukana, singizia, sema usemacho, ila I spotted you, sio kutokana na lingine lolote bali kutokana na post zako, kuwa you are nathing than fisadi mzuri kabisa wa CCM! Unanikumbusha sana; wimbo wa Ben E.King - Stand by Me.Tetea hii, kama siyo ya kifamily, basi iwe ya kweli kutetea nchi, lakini ukiwa kwenye right side, siyo CCM , siyo CCM,repeat with me, Siyo CCM!!!!!
- Sijawahi kuwatetea mafisadi ndani ya CCM, lakini siku zote ninawatetea viongozi wasafi ndani ya CCM na mahali popote pale ambao ninajua kuwa ni wasafi, na wewe ni haki yako kuamini anything ila one sio haki yako kunilazimisha kuamini anything, na siku zote ninasema na ninarudia kwamba CCM as a chama sio kichafu ila kina viongozi wachache wachafu!

Just examine yourself!
- Mkuu Waberoya, ungeanza kujiangalia wewe kwanza, na sina hata sababu ya kurudia hili maana ninasikia kinyaa sana tena hata kutapika!

FMEs!
 
FMES

Unaona wewe uliyekuwa unashabikia huyu jamaa anayejiita Engineer na kumpa kila thanks kwenye post zake kwenye ile issue ya Bwana mdogo mwakalinga na Mbuge wa kyela ona sasa!

Naona hili ni fundisho la kushabikia vichaa, mjue kwanza mtu kabla ya kumunga mkono huyu ebgineer akili yake siyo nzuri kazi yake ni kushinda vijiweni kyela na pikipiki yake akichonganisha watu ni hatari

- Shalom vipi mkuu unaiona kwa wasi wasi nini brother, mimi ndio FMEs sitishiki wala siogopi maneno yasiyokuwa na ushahidi wala facts, ebo ina maana nikisema wewe ni mtoto wa vichakani au choooni basi unakuwa bila facts, unless wewe ndiye uliyenizaa then yes au mimi ndiye niliyekuzaa halafu toka lini kuwa member wa JF ni lazima useme ulivyozaliwa, usibabaishwe na maneno ya kupoteza lengo na losers!

- Mimi ninaposema ya Sophia ninasema na facts, kwa sababu Waziri Sophia ameua mke wa Mzee Kitwana Kondo, na ni kutokana na marehemu kugundua kuwa Sophia alisaifiri na mzee kwa siri kwenda New York na kukaa naye kwa karibu mwezi mzima, mama wa watu akaishia kupata kihoro, stroke, mpaka kuishia kufa, mimi ninasimamia facts sio majungu mkuu!

- Seleli ameweka facts ndicho tunachotaka, mimi ninasimamia facts hata wewe ukisema facts nitakupa thanks, akiweka Waberoya facts nitampa thanks, na akiweka Engineer nitampa thanks, sijali mtu hapa ila najali hoja muhimu kwa taifa mkuu!

- Sijui Engineer au wewe mlizaliwaje, na wala hainihusu lakini inanihusu kujua CV ya Waziri wa Usalama wa taifa langu, ninapoona taifa langu linadidimia na mafisadi wanashamiri ninatafuta sababu, ninapoona Waziri wa Usalama wa Taifa anamsifia Fisadi namba moja Lowassa kuwa ni kiongozi safi na mwanaume wa shoka, ni wajibu wangu kama mwanachi kujua why? Ndio ninakuja kupata majibu kwamba tabia zake binafsi ni mbovu mno kwamba hawezi kuwa effective leader, amegombea ubunge sehemu tatu kwa mwaka huo huo mmoja na kote ameshindwa, lakini kwa sababu ya kuruka ruka na viongozi amepewa uwaziri anyways, hizi ni facts sio hadithi,

- Mimi ni mwananchi sio kiongozi hata nikiwa anything au nisipokuwa so what? wanaotaka uongozi ndio wanatakiwa kuwa responsible, Sophia hawezi kuwa Waziri mahali popote duniani ambako wananchi wa lile taifa wana nguvu na taifa lao, ukweli ni kwamba Tanzania tumegeuzwa kua wageni katika taifa letu, I mean wewe haikuumi waziri wa Usalama anapodai kwamba Lowassa na Rostam, Chenge na Makamba ni viongozi bora sana wa taifa hili? Kwangu inasikitisha sana, sasa ukiamua kunitukana kwa kuwa na mawazo haya sawa, lakini hauwezi kunibadili msimamo wangu!

Respect.


FMEs!
 
Mkuu wangu,

Hapendwi mtu hapa bali hoja yake. Mimi na FMES mawazo yetu yanakubaliana kwenye threads nyingi lakini yanapingana kwenye zingine.

Nimeshangazwa na mashambulizi yake kwa mama Sophia wakati tunajua hata ya hao anaowatetea hayako sawa.

Hakuna utumwa kwa mtu hapa, kila mtu atoe mawazo yake huru. Urafiki wa kwenye mtandao hauna maana yoyote.

- Mkuu haya wala hayanihusu, ni haki yangu kumu-examine na kuangalia CV ya kiongozi yoyote anayeniongoza, kwamba mimi nina urafiki na wewe how? Kwamba mimi ninakuogopa wewe never? Kwamba ninakufahamu no way! Kwamba mimi ni mtumwa wako au wewe ni mtumwa wangu no way!

- Kama wewe ulivyo huru na mimi niko hivyo hivyo huru, siogopi mtu hapa, sibabaikii mtu hapa JF, wala sina utumwa na mtu hapa, ninakuja hapa na kuweka mawazo yangu kwa uhuru wangu bila kuogopa, na ndio maana nikasema kwamba Sophia, hana uwezo wa kuwa Waziri kwa sababu nyingi na mojawapo ni viongozi aliozaa nao ambao mpaka leo ni viongozi, hawezi kuwathibiti akiwa Waziri wao wa Usalaama wa Taifa, haya ni mawazo yangu na ninayaweka bila tatizo tena anytime!

- Siishi kwenye kioo na wala sijawahi, sijui kama Malecela na mkewe wanaishi kwenye kioo, na wala sijawahi kuwa malaya, sijawahi kuzaa na wanawake wa watu wanne ambao waume wao ni marafiki zangu, na wala sijawahi kuiba mke wa mtu, nimeoa mke mmoja na mpaka leo niko naye na watoto, sijawahi hata ku-cheat au of my wife katika miaka 15 niliyooana naye, sasa hicho kioo ninachoishi kinachofanana na cha Sophia, kiongozi na mimi ni mwananchi wa kawaida ndio naona maajabu ya Musa kama sio ya Faruni!

- Na sitaki kuamini kwamba unanischanganyisha na mtu mwingine! lakini one thing sikuogopi na wala sijawahi kuogopa mtu kuanzia hapa au nje ya hapa, fear haijawahi kuwepo kwenye maisha yangu never!

- Sasa ninaenda kulala ili kesho kama kawa niwahi mzigo, ila nikihitajika tena kama kuna maswali zaidi sina tatizo maana sijawahi kukimbia vita maishani mwangu na hasa inapokuja kwenye masilahi ya taifa langu! Bwa! ha! ha!

FMEs!
 
Mkuu Mzee FMES, mimi hapa nakusupport 110%.

Waziri Simba kama kiongozi wa Usalama wa Taifa, hawezi na kisheria haruhusiwi kutumia ofisi yake kwa masuala yake binafsi au kichama. Hii ni hatari sana kwa sababu anawaweka watu roho juu, utashindana naye vipi wakati anaongoza vyombo vya moto???

Mimi nasema huyu mama aondolewe ASAP, sababu hii ni hatari sana kwa wananchi wa TZ tunaopinga ufisadi.
 
Jamani huyu fisadi anatuangusha wanawake, imagine ndio cheawomen wa yu-dablyuu-tee heh bad news. Kama bado anayo "dignity" hata kiduchu iliyobaki ajiondokee tu mwenyewe!!
 
Binti Simba, si ujing'atue tu jamani yaani huwezi kusoma alama za nyakati? ukagundua kuwa Wa Tz are up to here!!
 
Mkuu Mzee FMES, mimi hapa nakusupport 110%.

Waziri Simba kama kiongozi wa Usalama wa Taifa, hawezi na kisheria haruhusiwi kutumia ofisi yake kwa masuala yake binafsi au kichama. Hii ni hatari sana kwa sababu anawaweka watu roho juu, utashindana naye vipi wakati anaongoza vyombo vya moto???

Mimi nasema huyu mama aondolewe ASAP, sababu hii ni hatari sana kwa wananchi wa TZ tunaopinga ufisadi.

- Mkuu Moelex, heshima mbele wala usiwe na wasi wasi katika taifa hili bado tupo wachache tunaoamini in facts na ukweli na in the end tutashinda tu regardless ya mashambulizi hewa, si unajua mkuu kuwa haya ni mapambano ya fikra!

- Ila ubarikiwe unajua it takes a lot kusimama kama ulivyofanya na kuhesabiwa, sisi tutaendelea kusimamia ukweli na facts tu, eti Sophia anaweza kuwa Waziri Wa Usalama ni only in Tanzania na inasikitisha sana!

- Sasa ninawahi mzigoni ni asubuhi saa nane, mwenye maswali zaidi nitarudi later ila sikimbii vita never hata siku moja! Bwa! ha! ha! ha! wala simuogopi mtu au maneno bila facts!

Respect.


Field Marshall Es = Wazee Wa Sauti Ya Umeme ni Real Deal!
 
Mama Simba aombe msamaha kwa kusema ukweli? CCM yote ni lichama la mipasho bora wapashane tu na tuwajue vizuri.

Kama Malecela yuko kwenye payroll ya Jeetu, habari muhimu kama hiyo tungeliijuaje bila Sophia kuropoka?

Hakuna msafi ndani ya CCM na wacha waumbuane tu.

FMES, unatetea mafisadi wa nchi hii akiwemo Malecela, labda kwasababu na wewe ni fisadi yaani ni kizao cha mafisadi.
 
Mama wa watu wala haoni kama amekosea ,wala hajui na kujiuzuru kwake ni ngumu kama vile tajiri kuurithi ufalme wa mungu ( kichwa chake kina waza madudu)
 
Mama Simba aombe msamaha kwa kusema ukweli? CCM yote ni lichama la mipasho bora wapashane tu na tuwajue vizuri.

- Hakuna aliyesema Sophia aombe msamaha kwa anybody isipokuwa wale tu aliowaibia waume zao, na hasa watoto wa huyu marehemu mke wa KK ambaye aliishia kutangulia mbele ya haki kwa kugundua kuwa rafiki yake mpenzi Sophia amemuibia mumewe. Sasa ni watoto wa huyu mama ndio wanahitaji kuombwa msamaha na Waziri Sophia kwa uikibaka wake.

- Aiombe msamaha familia ya Marehemu Mbatia, maana anajua sana kilichoishia kumuua mama wa watu, na awaonyeshe fax aliyomtumia a day kabla hajaondoka Mwanza kuelekea kwenye kifo chake Mbeya alimuandikia nini kwenye ile fax? Awaombe msahama kwa kutokuhudhuria mazishi na msiba mzima wa Marehemu Mbatia, aliyekuwa msadizi wake wa karibu kikazi.

- CCM kupashana ni one thing na kina Seleli kuweka facts kuhusu wizi wa Rostam na Lowassa ni another story of its own na ndio hasa interest yetu watu kama mimi, ni kujua ni kwa nini Rais na Waziri Mkuu wanashindwa kuwachukulia hatua za kisheria hawa majambazi wakati ushahidi na facts zote zipo kama alivyoziweka wazi Seleli.


Kama Malecela yuko kwenye payroll ya Jeetu, habari muhimu kama hiyo tungeliijuaje bila Sophia kuropoka?

- Habari ya ukweli yaani facts, huwa haianzi na kama, na habari muhimu huwa hairopokwi, na kama Malecela kweli yumo kwenye payroll ya Jeetu ingekua tatizo alipokuwa waziri au kiongozi wa taifa, sasa hivi sio kiongozi tena anaweza kuwepo kwenye payroll yoyote ile as long havunji sheria ya jamhuri, na infact kama na any problems politically waambiwe wananchi wa jimbo lake, huku taifa viongozi ni kina Sophia kama wamo kwenye payroll ya Rostam then kama walivyompa zile Billioni mbili za kugombea UWT, anakuwa a compromise na hafai kuwa Waziri tena wa Takukuru!

Hakuna msafi ndani ya CCM na wacha waumbuane tu.
FMES, unatetea mafisadi wa nchi hii akiwemo Malecela, labda kwasababu na wewe ni fisadi yaani ni kizao cha mafisadi.

- Hakuna aliyemsafi CCM, lakini unampigia kampeni mgombea wa CCM hiyo hiyo ndio maana unaishia kumharibia sana mkuu hapa JF, mimi ni mwanachama wa CCM tena hai na mkereketwa lakini sina ufisadi hata chembe kama unaujua uweke hapa. Maisha yangu ni clean na wala siko kwenye kioo kama cha Sophia, unajua mti mbovu huzaa matunda mabovu sasa tizama maisha na familia za Mama Kilango na Sophia halafu ujijibu hilo!

- Simtetei Malecela ninatetea principle, wewe huwi fisadi kwa sababu nimesema wewe ni fisadi, hapana unakuwa iwapo nitaonyesha evidence kama alivyofanya Mbunge Seleli, ameonyesha evidence na facts, sio uzabi zabina na upashu, wewe nionyeshe evidence ya ufisadi wa Malecela japo mmoja tu, nitakukubali na kumtwanga hapa lakini siwezi kulazimishwa na wewe au matusi yako kukubali anything bila ushahidi, kama wewe na Sophia mna evidence za ufisadi wa Malecela utoeni tuuone otherwise inakuwa ni mipasho na ni nonsense!

- Ya kizazi hayo ni yako, sijui kizazi chako wala hujui cha kwangu jaribu kuheshimu hilo kwa sababu huwezi toa any evidence zinazohusu kizazi changu you have no clue kabisa, kama na mimi ilivyo on you, kama umeshiwa hoja tulia sisi tunaendelea kutwanga mahindi hapa mpaka kieleweke,

- Mimi ndiye FMES yaani Wazee wa sauti ya umeme = The Real Deal, kama ulikuwa unanisikia nafikiri umejifunza this time tabia za kudandia treni kwa mbele acha mkuu, katika uchaguzi wa Kyela sijaamua wa kum-support mpaka sasa lakini sio siri ninaanza kuelemea upande flani na when the time comes nitausema na sababu na nitatumia kila nguvu ya mwili wangu kumpigia kampeni mgombea nitakayemchagua na ninakuhakikishia kwa Miungu yangu yote kwamba atashinda. Sio wewe wala mtu yoyote huko kwenye NGO yako anayeweza kunitisha nani wa kum-support,

- Na ninaomba nikuambie wazi kwamba ninaiheshimu sana kazi ya Dr. Mwakyembe kwa taifa langu na siku zote nitaisifia tena bila tatizo kama Mungu anavyotaka kila inapobidi, sio wewe wala mtu yoyote kwenye hiyo NGO yako anayeweza kunitisha eti nimchukie Dr. Mwakyembe bila sababu, na itakapokuja time ya kuamua mgombea wa huko nitaangalia record kuanzia huko jimboni mpaka kwingine kote yaani kwenye taifa.

Mungu Aibariki Tanzania.


The Real Deal = FMEs!
 
katika uchaguzi wa Kyela sijaamua wa kum-support mpaka sasa lakini sio siri ninaanza kuelemea upande flani na when the time comes nitausema na sababu na nitatumia kila nguvu ya mwili wangu kumpigia kampeni mgombea nitakayemchagua na ninakuhakikishia kwa Miungu yangu yote kwamba atashinda. Sio wewe wala mtu yoyote huko kwenye NGO yako anayeweza kunitisha nani wa kum-support,

- Na ninaomba nikuambie wazi kwamba ninaiheshimu sana kazi ya Dr. Mwakyembe kwa taifa langu na siku zote nitaisifia tena bila tatizo kama Mungu anavyotaka kila inapobidi, sio wewe wala mtu yoyote kwenye hiyo NGO yako anayeweza kunitisha eti nimchukie Dr. Mwakyembe bila sababu, na itakapokuja time ya kuamua mgombea wa huko nitaangalia record kuanzia huko jimboni mpaka kwingine kote yaani kwenye taifa.

Maneno yanaujumbe mzito sana haya! Asante FMES Mzee wa dataz na facts!
 
- Hakuna aliyesema Sophia aombe msamaha kwa anybody isipokuwa wale tu aliowaibia waume zao, na hasa watoto wa huyu marehemu mke wa KK ambaye aliishia kutangulia mbele ya haki kwa kugundua kuwa rafiki yake mpenzi Sophia amemuibia mumewe. Sasa ni watoto wa huyu mama ndio wanahitaji kuombwa msamaha na Waziri Sophia kwa uikibaka wake.

- Aiombe msamaha familia ya Marehemu Mbatia, maana anajua sana kilichoishia kumuua mama wa watu, na awaonyeshe fax aliyomtumia a day kabla hajaondoka Mwanza kuelekea kwenye kifo chake Mbeya alimuandikia nini kwenye ile fax? Awaombe msahama kwa kutokuhudhuria mazishi na msiba mzima wa Marehemu Mbatia, aliyekuwa msadizi wake wa karibu kikazi.

- CCM kupashana ni one thing na kina Seleli kuweka facts kuhusu wizi wa Rostam na Lowassa ni another story of its own na ndio hasa interest yetu watu kama mimi, ni kujua ni kwa nini Rais na Waziri Mkuu wanashindwa kuwachukulia hatua za kisheria hawa majambazi wakati ushahidi na facts zote zipo kama alivyoziweka wazi Seleli.



- Habari ya ukweli yaani facts, huwa haianzi na kama, na habari muhimu huwa hairopokwi, na kama Malecela kweli yumo kwenye payroll ya Jeetu ingekua tatizo alipokuwa waziri au kiongozi wa taifa, sasa hivi sio kiongozi tena anaweza kuwepo kwenye payroll yoyote ile as long havunji sheria ya jamhuri, na infact kama na any problems politically waambiwe wananchi wa jimbo lake, huku taifa viongozi ni kina Sophia kama wamo kwenye payroll ya Rostam then kama walivyompa zile Billioni mbili za kugombea UWT, anakuwa a compromise na hafai kuwa Waziri tena wa Takukuru!



- Hakuna aliyemsafi CCM, lakini unampigia kampeni mgombea wa CCM hiyo hiyo ndio maana unaishia kumharibia sana mkuu hapa JF, mimi ni mwanachama wa CCM tena hai na mkereketwa lakini sina ufisadi hata chembe kama unaujua uweke hapa. Maisha yangu ni clean na wala siko kwenye kioo kama cha Sophia, unajua mti mbovu huzaa matunda mabovu sasa tizama maisha na familia za Mama Kilango na Sophia halafu ujijibu hilo!

- Simtetei Malecela ninatetea principle, wewe huwi fisadi kwa sababu nimesema wewe ni fisadi, hapana unakuwa iwapo nitaonyesha evidence kama alivyofanya Mbunge Seleli, ameonyesha evidence na facts, sio uzabi zabina na upashu, wewe nionyeshe evidence ya ufisadi wa Malecela japo mmoja tu, nitakukubali na kumtwanga hapa lakini siwezi kulazimishwa na wewe au matusi yako kukubali anything bila ushahidi, kama wewe na Sophia mna evidence za ufisadi wa Malecela utoeni tuuone otherwise inakuwa ni mipasho na ni nonsense!

- Ya kizazi hayo ni yako, sijui kizazi chako wala hujui cha kwangu jaribu kuheshimu hilo kwa sababu huwezi toa any evidence zinazohusu kizazi changu you have no clue kabisa, kama na mimi ilivyo on you, kama umeshiwa hoja tulia sisi tunaendelea kutwanga mahindi hapa mpaka kieleweke,

- Mimi ndiye FMES yaani Wazee wa sauti ya umeme = The Real Deal, kama ulikuwa unanisikia nafikiri umejifunza this time tabia za kudandia treni kwa mbele acha mkuu, katika uchaguzi wa Kyela sijaamua wa kum-support mpaka sasa lakini sio siri ninaanza kuelemea upande flani na when the time comes nitausema na sababu na nitatumia kila nguvu ya mwili wangu kumpigia kampeni mgombea nitakayemchagua na ninakuhakikishia kwa Miungu yangu yote kwamba atashinda. Sio wewe wala mtu yoyote huko kwenye NGO yako anayeweza kunitisha nani wa kum-support,

- Na ninaomba nikuambie wazi kwamba ninaiheshimu sana kazi ya Dr. Mwakyembe kwa taifa langu na siku zote nitaisifia tena bila tatizo kama Mungu anavyotaka kila inapobidi, sio wewe wala mtu yoyote kwenye hiyo NGO yako anayeweza kunitisha eti nimchukie Dr. Mwakyembe bila sababu, na itakapokuja time ya kuamua mgombea wa huko nitaangalia record kuanzia huko jimboni mpaka kwingine kote yaani kwenye taifa.

Mungu Aibariki Tanzania.

The Real Deal = FMEs!
.

Mi nyakyusa bwana. sasa inagombana yenyewe kwa yenyewe kwenye mtandao!!
 
Mama Simba aombe msamaha kwa kusema ukweli? CCM yote ni lichama la mipasho bora wapashane tu na tuwajue vizuri.

Kama Malecela yuko kwenye payroll ya Jeetu, habari muhimu kama hiyo tungeliijuaje bila Sophia kuropoka?

Hakuna msafi ndani ya CCM na wacha waumbuane tu.

FMES, unatetea mafisadi wa nchi hii akiwemo Malecela, labda kwasababu na wewe ni fisadi yaani ni kizao cha mafisadi.

kuna kitu hakiko sawa kichwani mwako. Unasema sophia ameropoka halafu unadai umejua habari hiyo ni kweli. Honestly ou make me sick. Usi-label watu ufisadi wakati ukiambiwa uelezee ifisadi wao unakunja mkia kama mbwa koko.
 
😕Hivi watanzania tutakuwa lini makini?? huyu ni changudoa anatakiwa apewe heshima hiyo tu kwamba ni changu!! kinachotakiwa hapa ni kumtaka Rais atuondolee huyu changu walikokutana watafutane hukohuko!! sasa kama angekuwa amentuma kuwakilsha nchi akawa emotional namna hii , hivi si tungekuwa tunapigana vita ingine!! hakubehave kama waziri!! mwakilishi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amebehave kama changudoa anatakiwa hawajibishwe!! hii ndo inatakiwa Rais aambiwe kama haoni kulinda kiti cha Rais wa JMT na mawaziri atakao wateua baadaye!! a full cabinet minister can not behave the way this bitch is behaving na akabaki kuwa waziri then Rais wa nchi anatupa picha kwamba huyu ni mwakilishi wake!! yaani rais wa nchi picha yake ni Huyu changu!!! God save Tanzania
Rais aone hili na atuondolee hii aibu.Nafikiri angekuwa mzee Kambarage huyu tungeisha msahau. hii ni aibu ya taifa!!!
 
Ukiwa Mropokaji...hutakiwi kuwemo au kuongoza taasisi nyeti kama TAKUKURU au UWT au kuitwa kiongozi wa Utawala bora

Tumeona akina Mramba, Yona na wengine wakipelekwa mahakamani kwa ku-abuse power walizokuwa nazo na facts ziko huko..........Wewe Sophia hebu tupelekee mahakamani hao Rostam, Lowassa, Hosea, Mnyika, Chenge, Msabaha mahakamani kwani facts ulishapewa na Bunge lilisharidhia.......
 
Na hapo ndo hasa shida kubwa ilipo! Sio wote waliojaaliwa kuona makosa.

Huyu mama mbona tulisha mwona tokea mwanzo kuwa kilaza tu tatizo la CCM hizi fadhira ndizo zinazo tufanya kuwa na viongozi wabovu na ambao hawana hata upeo wa kuongoza wao ni kuendeleza ngonjera za fitna na majungu. Tukiwaondoa hawa na hakika tutapiga hatua.
 
- Hakuna aliyesema Sophia aombe msamaha kwa anybody isipokuwa wale tu aliowaibia waume zao, na hasa watoto wa huyu marehemu mke wa KK ambaye aliishia kutangulia mbele ya haki kwa kugundua kuwa rafiki yake mpenzi Sophia amemuibia mumewe. Sasa ni watoto wa huyu mama ndio wanahitaji kuombwa msamaha na Waziri Sophia kwa uikibaka wake.

- Aiombe msamaha familia ya Marehemu Mbatia, maana anajua sana kilichoishia kumuua mama wa watu, na awaonyeshe fax aliyomtumia a day kabla hajaondoka Mwanza kuelekea kwenye kifo chake Mbeya alimuandikia nini kwenye ile fax? Awaombe msahama kwa kutokuhudhuria mazishi na msiba mzima wa Marehemu Mbatia, aliyekuwa msadizi wake wa karibu kikazi.

- CCM kupashana ni one thing na kina Seleli kuweka facts kuhusu wizi wa Rostam na Lowassa ni another story of its own na ndio hasa interest yetu watu kama mimi, ni kujua ni kwa nini Rais na Waziri Mkuu wanashindwa kuwachukulia hatua za kisheria hawa majambazi wakati ushahidi na facts zote zipo kama alivyoziweka wazi Seleli.



- Habari ya ukweli yaani facts, huwa haianzi na kama, na habari muhimu huwa hairopokwi, na kama Malecela kweli yumo kwenye payroll ya Jeetu ingekua tatizo alipokuwa waziri au kiongozi wa taifa, sasa hivi sio kiongozi tena anaweza kuwepo kwenye payroll yoyote ile as long havunji sheria ya jamhuri, na infact kama na any problems politically waambiwe wananchi wa jimbo lake, huku taifa viongozi ni kina Sophia kama wamo kwenye payroll ya Rostam then kama walivyompa zile Billioni mbili za kugombea UWT, anakuwa a compromise na hafai kuwa Waziri tena wa Takukuru!



- Hakuna aliyemsafi CCM, lakini unampigia kampeni mgombea wa CCM hiyo hiyo ndio maana unaishia kumharibia sana mkuu hapa JF, mimi ni mwanachama wa CCM tena hai na mkereketwa lakini sina ufisadi hata chembe kama unaujua uweke hapa. Maisha yangu ni clean na wala siko kwenye kioo kama cha Sophia, unajua mti mbovu huzaa matunda mabovu sasa tizama maisha na familia za Mama Kilango na Sophia halafu ujijibu hilo!

- Simtetei Malecela ninatetea principle, wewe huwi fisadi kwa sababu nimesema wewe ni fisadi, hapana unakuwa iwapo nitaonyesha evidence kama alivyofanya Mbunge Seleli, ameonyesha evidence na facts, sio uzabi zabina na upashu, wewe nionyeshe evidence ya ufisadi wa Malecela japo mmoja tu, nitakukubali na kumtwanga hapa lakini siwezi kulazimishwa na wewe au matusi yako kukubali anything bila ushahidi, kama wewe na Sophia mna evidence za ufisadi wa Malecela utoeni tuuone otherwise inakuwa ni mipasho na ni nonsense!

- Ya kizazi hayo ni yako, sijui kizazi chako wala hujui cha kwangu jaribu kuheshimu hilo kwa sababu huwezi toa any evidence zinazohusu kizazi changu you have no clue kabisa, kama na mimi ilivyo on you, kama umeshiwa hoja tulia sisi tunaendelea kutwanga mahindi hapa mpaka kieleweke,

- Mimi ndiye FMES yaani Wazee wa sauti ya umeme = The Real Deal, kama ulikuwa unanisikia nafikiri umejifunza this time tabia za kudandia treni kwa mbele acha mkuu, katika uchaguzi wa Kyela sijaamua wa kum-support mpaka sasa lakini sio siri ninaanza kuelemea upande flani na when the time comes nitausema na sababu na nitatumia kila nguvu ya mwili wangu kumpigia kampeni mgombea nitakayemchagua na ninakuhakikishia kwa Miungu yangu yote kwamba atashinda. Sio wewe wala mtu yoyote huko kwenye NGO yako anayeweza kunitisha nani wa kum-support,

- Na ninaomba nikuambie wazi kwamba ninaiheshimu sana kazi ya Dr. Mwakyembe kwa taifa langu na siku zote nitaisifia tena bila tatizo kama Mungu anavyotaka kila inapobidi, sio wewe wala mtu yoyote kwenye hiyo NGO yako anayeweza kunitisha eti nimchukie Dr. Mwakyembe bila sababu, na itakapokuja time ya kuamua mgombea wa huko nitaangalia record kuanzia huko jimboni mpaka kwingine kote yaani kwenye taifa.

Mungu Aibariki Tanzania.

The Real Deal = FMEs!

Kama kawaida yako badala ya kuchambua nilichoandika mimi unakimbilia kwenye siasa za Kyela. Unajidanganya bure maana mimi situmwi na mtu na niko huru hata kama kuna watu ninawaunga mkono.

Huyo Mwakalinga unayemtaja kwenye kila maandishi yako kuhusu mimi, naona wewe ndio unamchafua hapa huku ukijifanya unamtetea. Sidhani kama hata yeye ni mjinga na haelewi ukweli huo. Mbona wiki jana au juzi uliomba msamaha hapa kwa kuingiza suala la Mwakalinga kwenye mjadala huu huu? Au umesahau?

Kwenye siasa za Kyela karibu sana na mimi nitafurahi kuona watu wengi wanakuja kuendesha kampeni ili tuwachambue vizuri hao wanaotaka kuwa waheshimiwa. Ila wahi maana hilo boat linazama. Wamekuja hata akina Mengi na haijasaidia. Kama wewe una ubavu njoo tu. Kwa maandishi yako najua nani utampigia kampeni na mimi sioni shida yoyote. Labda shida itakuwa kwa huyo Mwakalinga ambaye huku unajifanya rafiki huku unamchafua hapa JF. Si uchague upande tu mapema?

Umemtukana mno Sophia kwenye thread hii, tena kwa kuingia kwenye mambo ya nguoni. Sisi watetea watu ambao hawawezi kujitetea wenyewe ikabidi kuingia kazini. Sawa Sophia ni malaya, lakini Malecela naye mbona malaya zaidi? Mambo ya ndoa yaweke pembeni mkuu maana utajiumbua bure hapa JF.

Kuna watu wengi mno wanajua ukweli na wanashangilia Engineer alivyoamua kukueleza ukweli. Kama hujui hii ni JF mkuu, watu wanajifanya hawapendi huku wanatuma PM kunipatia nyenzo zaidi za mashambulizi.

Karibu sana Kyela, sisi ndio watemi wa huku vijijini, ila acha kabisa kushambulia mambo ya nguoni ya watu wengine maana suti uliyovaa iko wazi tunaona mpaka ndani, utaadhirika bure bro! Ukiishi kwenye nyumba ya vioo, usirushe mawe.
 
- Jumapili hii inayokuja Saa 7:00 mchana nitatangaza rasmi hapa JF chaguo la mgombea wangu ninayemchagua kuniwakilisha huko Kyela, na nitakayempigia kampeni kufa na kupona kwa ajili ya masilahi ya taifa langu Tanzania.

NB: Mkuu Engineer ninawahi kazini lakini nikirudi nitakujibu ipasavyo.

FMEs!
 
Back
Top Bottom