William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Mkuu this is irrelevant to the subject na ingawa sina sababu ya kuijibu, lakini nitaligusa mbele. Inaonekana sasa tutaanza kujaribu kuchunguza members wa JF walivyozaliwa hapana hili halinihusu mkuu na wala halina uhusiano wowote na masilahi ya taifa.
- Lakini bado ninasimamia kwenye point yangu kuhusu uwezo mdogo wa Waziri Sophia na sababu yangu ya kuyaunga mkono maneno ya Malecela na Mama Kilango so far on this ishu.
1. Malecela amemjibu Waziri Sophia kwamba ni kichaa anahitaji kupimwa, na Mama Kilango amempa nafasi ya kumshitaki akiwa kama waziri wa Usalama wa Taifa, knowing kwamba Mama Kilango ni fisadi na Jeetu ni fisadi, na anao ushahidi yeye kama waziri atangulie nao kwenye sheria, also ninaelewa kwamba bado hajazungumza kwenye hiyo kamati.
2. On Waziri Sophia, ninasema kwamba uwezo wa kuwa waziri wa Usalama wa Taifa, hana kwa sababu ni too compromise kwani masiha yake binafsi hayawezi kumpa nafasi ya kumkemea kiongozi yoyote mla rushwa kwa sababu amediriki kuwaibia marafiki zake waume zao, infact mmoja wao wa hao marafiki zake alipogundua what Sophia did aliishia kupata stroke she never recovered na akaishia kufa, mwanamke aliyezaa na waume wanne viongozi wa serikali hiyo hiyo ambayo yeye ni waziri wa Usalama wa taifa, hawezi kuwakemea hao viongozi aliozaa nao wakipatikana na rushwa au wakihatarisha usalama wa taifa letu, in general hawezi kuwa kiongozi period!
3. Nilitegemea by now, baada ya kujibiwa Waziri Sophia atakuja na majibu ambayo ni ushahidi kwamba yeye ni mzima wa afya, na kwamba anao ushahidi kwamba Malecela alipewa hela na Jeetu, hela ambazo ni chafu na Malecela na mkewe walijua kuwa ni chafu lakini wakazipokea anyways, hayo sijayaona ila naona maneno mengi ambayo hayana faida yoyote kwa taifa.
- Ya watoto wa Malecela yatajibiwa na wao wenyewe na wala hayanihusu, mimi ninasimama pale pale kwenye point yangu kwamba Waziri Sophia hana uwezo wa kuwa waziri wa Usalama wa Taifa, na Malecela hana any burden ya ku-prove anything, mwenye hiyo burden ni waziri wa Usalama wa Taifa na Takukuru, Malecela sio kiongozi wa taifa tena alishaacha siku nyingi ninamuona kama wananchi wengine wa kawaida, isipokuwa Waziri anatakiwa kuenda mbele zaidi na haya madai yake, otherwise anakuwa kama Malecela alivyosema kwamba ni kichaaa!
- Na incase, binafsi mkuu nimezaliwa Ocean Road na nimekulia Ikulu maisha yangu yote utotoni, na hapana ninao wazazi wangu wawili wote wazima na wanaishi, na hawakunizaa vichakani na katika familia yangu nimezaliwa wa kwanza anayenifuatia lizaliwa miaka mitatu baadaye. Kwa hiyo katika kuzaliwa kwangu hakuibiwa mtu wala hakuwa anaogopwa mtu, ndio maana ninaamini kwamba unawazungumzia watu nisiowajua na hayanihusu, lakini ilikuwa ni lazima niweke ukweli wazi hapa ingawa kuzaliwa kwenye Hospitali au vichaka sidhani kama ni moja ya sheria za kujiunga na JF.
Na ninaomba nikuhakikishie kwamba msimamo wangu hauyumbishwi wala kutetereka na maneno yasiyokua na ushahidi wala facts, kama ulirusha hayo matusi juu ukinielekeza mimi basi umekosea sana mkuu maana hayanihusu wala hayanibadili anything, mimi ni mwanasiasa in my own rights na kwenye siasa ni kama kwenye vita na mapenzi, yote huwa ni sawa na nitaendelea hapa JF kuweka mawazo yangu kama kawaida na ninakukaribisha anytime kujadili taifa na masilahi yake.
- Kama ulifikiri utaninyamazisha na haya maneno kama ya Sophia basi nakuomba ufikirie tena! ukitaka info zangu za jinsi nilivyozaliwa mpaka leo ninaweza kukupa bila matatizo kama haya maneno yako yananihusu maana siamini kuwa yananihusu, ila usitafute maneno ya mtaani ukajaribu kuyafanya ukweli kama Sophia, tafuta facts!
- Mimi ninapomshukia anybody huwa ninakuwa na facts sio filimbi, ya kuhusu ndoa na watoto wa Malecela, labda ungeanza wewe mkuu kutuonyesha cheti cha ndoa ya mama na baba yako ukakiweka hapa JF kikathibitishwa kuwa ni cha kweli na wazazi wako ndio hasa wako, then ndio utakuwa na hiyo right ya kudai vya wengine kama ni lazima kuwa navyo kuwa member JF, otherwise huu mjadala ni muhimu sana kwa taifa, yaani wananchi wakawajua vizuri viongozi wao, ninajua watoto wote wa Malecela wote wamesoma na wana maisha na wako safi, Mama Kilango naye pia wote wako safi wamesoma na wana maisha, wa Sophia nimeshasema sitaki kurudia, na ninasikitika sana anaposhindwa kutumia nafasi yake kumtoa yule aliyefungwa maisha jela ya kule US, I know the poor guy, linasikitisha sana Sophia anaweza kumtoa yule kijana akitaka!
Aluta Continua!
FMEs!
- Lakini bado ninasimamia kwenye point yangu kuhusu uwezo mdogo wa Waziri Sophia na sababu yangu ya kuyaunga mkono maneno ya Malecela na Mama Kilango so far on this ishu.
1. Malecela amemjibu Waziri Sophia kwamba ni kichaa anahitaji kupimwa, na Mama Kilango amempa nafasi ya kumshitaki akiwa kama waziri wa Usalama wa Taifa, knowing kwamba Mama Kilango ni fisadi na Jeetu ni fisadi, na anao ushahidi yeye kama waziri atangulie nao kwenye sheria, also ninaelewa kwamba bado hajazungumza kwenye hiyo kamati.
2. On Waziri Sophia, ninasema kwamba uwezo wa kuwa waziri wa Usalama wa Taifa, hana kwa sababu ni too compromise kwani masiha yake binafsi hayawezi kumpa nafasi ya kumkemea kiongozi yoyote mla rushwa kwa sababu amediriki kuwaibia marafiki zake waume zao, infact mmoja wao wa hao marafiki zake alipogundua what Sophia did aliishia kupata stroke she never recovered na akaishia kufa, mwanamke aliyezaa na waume wanne viongozi wa serikali hiyo hiyo ambayo yeye ni waziri wa Usalama wa taifa, hawezi kuwakemea hao viongozi aliozaa nao wakipatikana na rushwa au wakihatarisha usalama wa taifa letu, in general hawezi kuwa kiongozi period!
3. Nilitegemea by now, baada ya kujibiwa Waziri Sophia atakuja na majibu ambayo ni ushahidi kwamba yeye ni mzima wa afya, na kwamba anao ushahidi kwamba Malecela alipewa hela na Jeetu, hela ambazo ni chafu na Malecela na mkewe walijua kuwa ni chafu lakini wakazipokea anyways, hayo sijayaona ila naona maneno mengi ambayo hayana faida yoyote kwa taifa.
- Ya watoto wa Malecela yatajibiwa na wao wenyewe na wala hayanihusu, mimi ninasimama pale pale kwenye point yangu kwamba Waziri Sophia hana uwezo wa kuwa waziri wa Usalama wa Taifa, na Malecela hana any burden ya ku-prove anything, mwenye hiyo burden ni waziri wa Usalama wa Taifa na Takukuru, Malecela sio kiongozi wa taifa tena alishaacha siku nyingi ninamuona kama wananchi wengine wa kawaida, isipokuwa Waziri anatakiwa kuenda mbele zaidi na haya madai yake, otherwise anakuwa kama Malecela alivyosema kwamba ni kichaaa!
- Na incase, binafsi mkuu nimezaliwa Ocean Road na nimekulia Ikulu maisha yangu yote utotoni, na hapana ninao wazazi wangu wawili wote wazima na wanaishi, na hawakunizaa vichakani na katika familia yangu nimezaliwa wa kwanza anayenifuatia lizaliwa miaka mitatu baadaye. Kwa hiyo katika kuzaliwa kwangu hakuibiwa mtu wala hakuwa anaogopwa mtu, ndio maana ninaamini kwamba unawazungumzia watu nisiowajua na hayanihusu, lakini ilikuwa ni lazima niweke ukweli wazi hapa ingawa kuzaliwa kwenye Hospitali au vichaka sidhani kama ni moja ya sheria za kujiunga na JF.
Na ninaomba nikuhakikishie kwamba msimamo wangu hauyumbishwi wala kutetereka na maneno yasiyokua na ushahidi wala facts, kama ulirusha hayo matusi juu ukinielekeza mimi basi umekosea sana mkuu maana hayanihusu wala hayanibadili anything, mimi ni mwanasiasa in my own rights na kwenye siasa ni kama kwenye vita na mapenzi, yote huwa ni sawa na nitaendelea hapa JF kuweka mawazo yangu kama kawaida na ninakukaribisha anytime kujadili taifa na masilahi yake.
- Kama ulifikiri utaninyamazisha na haya maneno kama ya Sophia basi nakuomba ufikirie tena! ukitaka info zangu za jinsi nilivyozaliwa mpaka leo ninaweza kukupa bila matatizo kama haya maneno yako yananihusu maana siamini kuwa yananihusu, ila usitafute maneno ya mtaani ukajaribu kuyafanya ukweli kama Sophia, tafuta facts!
- Mimi ninapomshukia anybody huwa ninakuwa na facts sio filimbi, ya kuhusu ndoa na watoto wa Malecela, labda ungeanza wewe mkuu kutuonyesha cheti cha ndoa ya mama na baba yako ukakiweka hapa JF kikathibitishwa kuwa ni cha kweli na wazazi wako ndio hasa wako, then ndio utakuwa na hiyo right ya kudai vya wengine kama ni lazima kuwa navyo kuwa member JF, otherwise huu mjadala ni muhimu sana kwa taifa, yaani wananchi wakawajua vizuri viongozi wao, ninajua watoto wote wa Malecela wote wamesoma na wana maisha na wako safi, Mama Kilango naye pia wote wako safi wamesoma na wana maisha, wa Sophia nimeshasema sitaki kurudia, na ninasikitika sana anaposhindwa kutumia nafasi yake kumtoa yule aliyefungwa maisha jela ya kule US, I know the poor guy, linasikitisha sana Sophia anaweza kumtoa yule kijana akitaka!
Aluta Continua!
FMEs!